Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Suma Mnazareti adai kujua mashabiki wanataka muziki upi ndio mtihani mkubwa

Suma Mnazareti anaamini kuwa mtihani mkubwa wanaokumbana nao wasanii wengi ni kujua muziki upi Watanzania wanautaka pamoja na muda gani. Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa hicho pia ni kitu kinachomsumbua. “Nafikiri sasa hivi kuna aina fulani ya muziki ambao upo pia ndio maana muda mrefu ilinibidi nikae kimya. Ilikuwa inaniuma kwa sababu hata watu wananiambia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars, Ivory Coast mtihani mkubwa

TIMU ya soka ya taifa ya wanawake Twiga Stars leo inashuka uwanjani kumenyana na wenzao wa Ivory Coast kwenye michuano ya Afrika (All Africa Games) inayofanyika Congo Brazzavile. Twiga Stars iliondoka nchini juzi pamoja na wachezaji wa michezo mingine kwa ndege maalumu tayari kwa kushindana.

 

9 years ago

Bongo5

Nina mtihani mkubwa wa kuipiku Imebaki Story — Hemedy PHD

Hemedy PHD amewataka mashabiki wa muziki wake kukaa mkao wa kula kwa ujio wa kazi yake mpya iitwayo Some Day aliyomshirikisha Mr Blue. Hata hivyo amedai kuwa ana kazi kubwa kuweza kuupiku wimbo wake uliopita. Hemedy ambaye kwa sasa anatamba na video ya wimbo, Imebaki Story, ameiambia E-Newz ya EATV kuwa anajipanga kufanya kitu kikubwa […]

 

11 years ago

Mwananchi

Mtihani mkubwa kwa ANC, Rais Zuma bila ya Nelson Mandela

>Licha ya kuacha simanzi na majozi kwa wananchi wa Afrika Kusini na dunia nzima, kifo cha Rais wa kwanza wa kizalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ni kama kimempa nafasi ya kupumua Rais Jacob Zuma.

 

11 years ago

BBCSwahili

"Wanataka kuniua", Adai Biti

Tendai Biti mwanachama mashuhuri wa upinzani Zimbabwe anasema bomu lilirushwa kwa makaazi yake

 

9 years ago

MillardAyo

Matatu ya kujua kutoka kwa Chris Brown >>> Radio na Muziki, kuitwa superstaa + Maisha ya jela!

Staa wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Chris Brown anashikilia headlines za burudani na album yake mpya, ROYALTY. Nimekutana na interview aliyofanya Chris siku chache zilizopita na humo ndani amegusia vitu vingi ikiwemo mchango wa station za radio kwenye muziki wake, mtazamo wake wa kuwa na kuitwa superstaa na maisha aliyoishi akiwa jela. Haya ndio […]

The post Matatu ya kujua kutoka kwa Chris Brown >>> Radio na Muziki, kuitwa superstaa + Maisha ya jela! appeared first on...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkubwa Fella kustaafu muziki

MENEJA wa Kundi la Temeke Wanaume Family, Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amesema wakati wake wa kujihusisha na masuala ya muziki anaona umefika mwisho, hivyo anataka kutoa nafasi kwa wengine. Akizungumza...

 

11 years ago

GPL

DK.KIGWANGALA AUNGANA NA KAFULILA, ADAI KUNA WIZI MKUBWA UMEFANYIKA ESCROW

Makala: Elvan Stambuli
MBUNGE wa Nzega (CCM), Dk. Hamisi Kigwangala ambaye pia ni  Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ameungana na Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kwa kudai kuwa ni kweli kuna wizi mkubwa umefanyika katika akaunti ya Escrow. Mbunge wa Nzega, Dkt. Hamis Kigwangala akiongea na wanahabari wa Global Publishers (hawapo pichani). Akizungumza na safu hii Dk.… ...

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste adai haumii muziki kutomlipa

Rapper Mabeste amesema haumizwi kichwa na kutopata pesa kutokana na muziki wake anaoufanya sasa. Mabeste ameiambia Bongo5 kuwa ameamua kuitengeneza kwanza brand yake mpaka afike kwenye standard nzuri. “Kutopata pesa kwenye muziki hakunifanyi kuwa na stress kwa sababu my plan si kujitengeneza ili ninapotoa ngoma nipate hapo hapo, ila mimi nimejitengeneza kwa ajili ya baadaye,” […]

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa, huu ni ‘muziki mkubwa’ -Msukuma

MWENYEKITI wa CCM mkoa wa Geita, Joseph Msukuma amemvaa mgombea wa urais kupitia Chadema, Edward Lowassa na wengine waliohamia Ukawa akisema wanashukuru chama kimetua mzigo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani