Suma Mnazareti adai kujua mashabiki wanataka muziki upi ndio mtihani mkubwa
Suma Mnazareti anaamini kuwa mtihani mkubwa wanaokumbana nao wasanii wengi ni kujua muziki upi Watanzania wanautaka pamoja na muda gani. Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa hicho pia ni kitu kinachomsumbua. “Nafikiri sasa hivi kuna aina fulani ya muziki ambao upo pia ndio maana muda mrefu ilinibidi nikae kimya. Ilikuwa inaniuma kwa sababu hata watu wananiambia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Sep
Twiga Stars, Ivory Coast mtihani mkubwa
TIMU ya soka ya taifa ya wanawake Twiga Stars leo inashuka uwanjani kumenyana na wenzao wa Ivory Coast kwenye michuano ya Afrika (All Africa Games) inayofanyika Congo Brazzavile. Twiga Stars iliondoka nchini juzi pamoja na wachezaji wa michezo mingine kwa ndege maalumu tayari kwa kushindana.
9 years ago
Bongo525 Aug
Nina mtihani mkubwa wa kuipiku Imebaki Story — Hemedy PHD
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mtihani mkubwa kwa ANC, Rais Zuma bila ya Nelson Mandela
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
"Wanataka kuniua", Adai Biti
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Matatu ya kujua kutoka kwa Chris Brown >>> Radio na Muziki, kuitwa superstaa + Maisha ya jela!
Staa wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Chris Brown anashikilia headlines za burudani na album yake mpya, ROYALTY. Nimekutana na interview aliyofanya Chris siku chache zilizopita na humo ndani amegusia vitu vingi ikiwemo mchango wa station za radio kwenye muziki wake, mtazamo wake wa kuwa na kuitwa superstaa na maisha aliyoishi akiwa jela. Haya ndio […]
The post Matatu ya kujua kutoka kwa Chris Brown >>> Radio na Muziki, kuitwa superstaa + Maisha ya jela! appeared first on...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Mkubwa Fella kustaafu muziki
MENEJA wa Kundi la Temeke Wanaume Family, Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amesema wakati wake wa kujihusisha na masuala ya muziki anaona umefika mwisho, hivyo anataka kutoa nafasi kwa wengine. Akizungumza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeqXtA13zrKMp-fTgYV6QlkPSUO*RsWoW3Iwu229SBjM5PjFx3lOUVCMukoF4CjnGS8XvVxpfAOywj-Un9K9mOrF/dk.jpg)
DK.KIGWANGALA AUNGANA NA KAFULILA, ADAI KUNA WIZI MKUBWA UMEFANYIKA ESCROW
9 years ago
Bongo528 Oct
Mabeste adai haumii muziki kutomlipa
9 years ago
Habarileo21 Sep
Lowassa, huu ni ‘muziki mkubwa’ -Msukuma
MWENYEKITI wa CCM mkoa wa Geita, Joseph Msukuma amemvaa mgombea wa urais kupitia Chadema, Edward Lowassa na wengine waliohamia Ukawa akisema wanashukuru chama kimetua mzigo.