Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabeste adai haumii muziki kutomlipa

Rapper Mabeste amesema haumizwi kichwa na kutopata pesa kutokana na muziki wake anaoufanya sasa. Mabeste ameiambia Bongo5 kuwa ameamua kuitengeneza kwanza brand yake mpaka afike kwenye standard nzuri. “Kutopata pesa kwenye muziki hakunifanyi kuwa na stress kwa sababu my plan si kujitengeneza ili ninapotoa ngoma nipate hapo hapo, ila mimi nimejitengeneza kwa ajili ya baadaye,” […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake

Rapper Mabeste amesema ataendelea kubaki na tattoo ya jina la mpenzi wake Lisa hata kama wataachana. Akizungumza na kipindi cha XXL, Mabeste alisema hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye maisha yake. “Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye ataendelea kuwepo […]

 

11 years ago

Bongo5

Mabeste: Nilisimama kufanya muziki ili kuwa karibu na mwanangu

Rapper Mabeste amedai kuwa ilimbidi asimame kufanya muziki kwa mwaka mmoja na zaidi ili kutenga muda wa kutosha wa kukaa nyumbani na mwanae wa kiume, Kendrick. Mabeste amesema kutenga muda huo ilikuwa ni muhimu kwake ili kumpa nafasi mwanae kumfahamu zaidi baba yake na pia kutumia muda huo kufanya shughuli zingine za kumuingizia kipato tofauti […]

 

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Mabeste asimulia mke wake alivyougua kwa muda mrefu hadi kudhani atampoteza

Rapper Mabeste ameeleza kwa urefu jinsi mke wake alivyougua kwa muda mrefu mara tu baada ya kujifungua mtoto wao wa kwanza, Kendrick. Mabeste amesema mke wake ambaye pia ndio meneja wake alizidiwa hadi ikafika wakati akahisi atampoteza. Kupitia Instagram, hivi ndivyo alivyoandika: “Wabongo hawakosi cha kusema! Okay its true my fans nime wa promise sana […]

 

10 years ago

Bongo5

Enrico adai ubora wa muziki wa Bongo Flava umeshuka

Mtayarishaji wa muziki wa Sound Crafters, Enrico amesema nyimbo zote zinazotoka miaka ya hivi karibuni hazina ubora sababu ambayo anadai inasababisha zisidumu. “Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea,” alisema. “Hakuna Bongo Flava ya kukaa miaka miwili,” Enrico aliambia E-Newz ya EATV Pia Enrico […]

 

9 years ago

Bongo5

Professor J adai atafanya muziki kwa viwango vikubwa zaidi

Professor akiwa kwenye shughuli za kisiasa

Mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule aka Professor J, amesema baada ya kushinda kiti cha ubunge atafanya muziki wake kwa ufanisi kushinda kipindi cha nyuma.

Professor akiwa kwenye shughuli za kisiasa</

Jay amesema umefika wakati wa yeye kufanya collabo na wasanii wakubwa. “Naendelea kufanya sanaa yangu na huenda nikaifanya kwa ufanisi mkubwa zaidi,” Jay aliiambia East Africa Radio wiki iliyopita.

“Unaweza ukasikia watanzania wanafanya kazi na akina Eminem na Jay Z, kwahiyo nategemea kufanya kwa next level kwa sababu naamini...

 

9 years ago

Bongo5

Julio adai hatokata tamaa na muziki hata kama haumlipi

Mshiriki wa BBA Julio

Staa wa muziki na mshiriki wa shindano la Big Brother Africa 2012, Julio Batalia, amesema hategemei muziki umlipe kwani bado yupo kwenye hatua za kujitangaza.

Julio

Julio ameiambia Bongo5, kuwa ingawa muziki umekuwa wa gharama kubwa katika maandalizi, hana budi kuendelea kufanya hivyo hivyo ili kujitenga.

“Mimi naamini muziki ni process ya muda mrefu,” amesema. “Kwahiyo mafanikio huenda yakachelewa lakini yatakuja tu. Kwahiyo mimi nipo katika stage hiyo sijali sana muziki unilipe kwa sasa kwa...

 

11 years ago

Bongo5

Madee adai muziki umekuwa mgumu kutokana na nyimbo kuwa nyingi

Mkali wa ‘Pombe Yangu’, Madee amesema muziki wa sasa ni mgumu kutokana na wasanii kuwa wengi nyimbo nyingi kutoka kwa wakati mmoja. Madee amesema kurundikana kwa nyimbo kunasababisha kuvipa wakati mgumu vituo vya redio na TV kuzipiga kwa wakati stahiki. “Sasa muziki unakuwa mgumu kwa sababu nyimbo zipo nyingi sana,” Madee ameiambia Bongo5. “Yaani kwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Temba adai mwaka 2015 umekuwa wa mafanikio kwa muziki wa Bongo

10919100_282718041852156_79790684_n

Mheshimiwa Temba amesema mwaka 2015 ni mwaka ambao wasanii wengi wamewekeza zaidi kwenye muziki wao.

10919100_282718041852156_79790684_n

Temba ameiambia Bongo5 kuwa anauona mwaka huu kama wa mapinduzi kwenye muziki.

“Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwenye muziki wetu, video nyingi za wasanii wa ndani zimepata airtime kwenye TV kubwa za nje ambapo ni tofauti na miaka iliyopita,” amesema.

“Yaani wasanii wamejaribu ku-invest zaidi kwenye muziki wao. Ukiangalia kama sisi ‘Kaunyaka’ tumeifanyia Afrika Kusini, Chege bado yupo Afrika...

 

10 years ago

Bongo5

Maunda Zorro adai hawezi kuendelea kufanya muziki wakati haumlipi

Maunda Zorro amesema ameamua kuuweka pembeni muziki na kuamua kufanya biashara zake binafsi. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa bora afanye biashara zinazomlipa kuliko kuendelea kufanya muziki usiomlipa. “Sijatoa kazi yoyote na sina mpango wa kutoa, kuna vitu vingine nafanya siwezi kufanya kitu ambacho hakinilipi,” amesema. “Kwahiyo kuna vitu vingine nafanya vya kuendesha maisha na kwenye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani