Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madee adai muziki umekuwa mgumu kutokana na nyimbo kuwa nyingi

Mkali wa ‘Pombe Yangu’, Madee amesema muziki wa sasa ni mgumu kutokana na wasanii kuwa wengi nyimbo nyingi kutoka kwa wakati mmoja. Madee amesema kurundikana kwa nyimbo kunasababisha kuvipa wakati mgumu vituo vya redio na TV kuzipiga kwa wakati stahiki. “Sasa muziki unakuwa mgumu kwa sababu nyimbo zipo nyingi sana,” Madee ameiambia Bongo5. “Yaani kwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Temba adai mwaka 2015 umekuwa wa mafanikio kwa muziki wa Bongo

10919100_282718041852156_79790684_n

Mheshimiwa Temba amesema mwaka 2015 ni mwaka ambao wasanii wengi wamewekeza zaidi kwenye muziki wao.

10919100_282718041852156_79790684_n

Temba ameiambia Bongo5 kuwa anauona mwaka huu kama wa mapinduzi kwenye muziki.

“Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwenye muziki wetu, video nyingi za wasanii wa ndani zimepata airtime kwenye TV kubwa za nje ambapo ni tofauti na miaka iliyopita,” amesema.

“Yaani wasanii wamejaribu ku-invest zaidi kwenye muziki wao. Ukiangalia kama sisi ‘Kaunyaka’ tumeifanyia Afrika Kusini, Chege bado yupo Afrika...

 

9 years ago

Bongo5

Queen Darleen ahofia kutoa nyimbo mpya kutokana na ushindani kwenye soko la muziki

Vituo vya radio vimekuwa vikipokea kazi mpya za wasanii wa Bongo karibia kila siku, hii ikiwa inamaanisha kuwa ushindani ni mkubwa kutokana na wingi wa wasanii ambao wote wana malengo ya kulikamata soko ambalo wateja wake ni wale wale (mashabiki). Hali hiyo imekuwa ikiwalazimu wasanii kuwaza nje ya box, ili kuhakikisha kazi wanazotoa hazimezwi na […]

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel aeleza furaha yake kutokana na Top 10 ya MTV Base kuwa na nyimbo 4 za Bongo alizotengeneza yeye

Muziki wa Bongo unaendelea kukua siku hadi siku na kutambulika kimataifa, kutokana na kazi za wasanii wetu kuendelea kushika chati mbalimbali kwenye vituo vikubwa vya kimataifa hadi kufika nafasi za juu. MTV Base wana chati ya video 10 za Afrika iitwayo Official African Chart, na miongoni mwa video zilipo katika chati hiyo wiki hii, 4 […]

 

9 years ago

Bongo5

Lollypop adai bado hajaifanya kazi ya kuandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi

Lollipop

Mtayarishaji wa muziki na mtunzi wa nyimbo, Lollypop, amesema bado hajaamua kuifanya kazi ya kuwaandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi.

Lollipop

Akizungumza katika kipindi cha 5T40 cha Radio 5 ya Arusha, Lollypop alisema wasanii wengi aliofanya nao kazi ni watu wake wa karibu.

“Mimi kuandika kwanza sio kazi official, huwa naandika kuna situation zinatokea na zinanibidi niandike na naandika na watu ambao tuko close sana,” alisema. “Haitokeagi tu nakaa naanza kuandika nyimbo mtu anakuja ananilipa...

 

9 years ago

Bongo5

Zaiid adai alifanya cover ya Trap Queen kudhihirisha kuwa si mwandishi wa nyimbo ngumu tu (Video)

Rapper Zaiid amedai kuwa aliamua kufanya cover ya wimbo wa Fetty Wap, Trap Queen kudhihirisha uwezo wake wake katika kufanya ngoma za aina tofauti na watu walivyomzoea. “Kwa familia ambayo imenizunguka mimi tunaitwaga hardcore, hatuwezi kufanya aina nyingine ya muziki,” Zaiid ameiambia Bongo5. “Lakini mara nyingi mimi huwa nawaambia watu kuwa nimechagua kufanya hip hop, […]

 

9 years ago

Bongo5

Nina nyimbo nyingi sana so msishtuke kuona natoa nyimbo 2 au 3 kwa mpigo – Wakazi

wakazi2

Rapper Wakazi amesema kuwa mashabiki wake wasishtuke wakiona anaachia nyimbo 2 au 3 kwa mpigo kwasababu ana nyimbo nyingi sana alizorekodi na anazoendelea kurekodi kwaajili ya album zake mbili.

wakazi2

Kupitia Instagram Wakazi amesema kuanzia kesho anaanza kuachia nyimbo hizo kwaajili ya mashabiki wake.

“Nimekuwa studio kwa Muda mrefu nikiandaa Albums zangu mbili, na wakati bado zoezi hilo linaendelea I think it’s only right I start releasing some of the songs for my fans. Nina nyimbo nyingi sana...

 

9 years ago

Bongo5

Muziki wa makundi ni miyeyusho – Madee

Madee2

Baada ya bosi wa Tip Top Connection, Babu Tale kuweka wazi msimamo wake wa kutotoa wimbo wa pamoja wa wasanii wa kundi hilo kwa kudai hailipi, mmoja kati ya wasanii wanaounda kundi hilo, Madee amekubaliana na uamuzi huo.

Madee2

Madee ameiambia Bongo5 kuwa wao kama wasanii wa kundi hilo wapo tayari kwa maamuzi yoyote yenye tija kwa kundi lao.

“Unajua sisi tupo chini ya uongozi na kiongozi ni Babu Tale na yeye kashaamua hilo, so mimi siwezi kumbishia kwa sababu yeye ndio ameliona hilo liko sawa....

 

9 years ago

Bongo5

Black Rhino aeleza faida za msanii kurekodi nyimbo nyingi na kuziweka maktaba

Rapper Black Rhino anawakumbusha wasanii wenzake faida za kurekodi nyimbo nyingi kila wanapopata muda na kuzihifadhi maktaba kwaajili ya matumizi ya baadae hata watakapoaga dunia. Rhino amesema faida ya kwanza msanii anapokuwa na akiba kubwa ya nyimbo ni hata atakapoaga dunia, nyimbo zake mpya zitaendelea kubaki na kuwafaidisha ndugu kutokana na mauzo ya albums. “Ni […]

 

9 years ago

Bongo5

Dr Cheni adai soko la filamu limeyumba kutokana na tatizo la umeme!

Msanii wa filamu, Dr Cheni amesema kuwa biashara ya filamu kwa sasa imeshuka kutokana na tatizo la umeme linaloendelea. Dr Cheni ameambia Bongo5 kuwa mawakala wanalalamika kushindwa kuuza kazi za filamu kama walivyotarajia kutokana na tatizo la umeme. “Soko la filamu sasa hivi linasumbua kutokana na haya matatizo ya umeme,” amesema Cheni. “Umeme ukisumbua na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani