Madee adai muziki umekuwa mgumu kutokana na nyimbo kuwa nyingi
Mkali wa ‘Pombe Yangu’, Madee amesema muziki wa sasa ni mgumu kutokana na wasanii kuwa wengi nyimbo nyingi kutoka kwa wakati mmoja. Madee amesema kurundikana kwa nyimbo kunasababisha kuvipa wakati mgumu vituo vya redio na TV kuzipiga kwa wakati stahiki. “Sasa muziki unakuwa mgumu kwa sababu nyimbo zipo nyingi sana,” Madee ameiambia Bongo5. “Yaani kwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Nov
Temba adai mwaka 2015 umekuwa wa mafanikio kwa muziki wa Bongo
![10919100_282718041852156_79790684_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10919100_282718041852156_79790684_n1-300x194.jpg)
Mheshimiwa Temba amesema mwaka 2015 ni mwaka ambao wasanii wengi wamewekeza zaidi kwenye muziki wao.
Temba ameiambia Bongo5 kuwa anauona mwaka huu kama wa mapinduzi kwenye muziki.
“Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwenye muziki wetu, video nyingi za wasanii wa ndani zimepata airtime kwenye TV kubwa za nje ambapo ni tofauti na miaka iliyopita,” amesema.
“Yaani wasanii wamejaribu ku-invest zaidi kwenye muziki wao. Ukiangalia kama sisi ‘Kaunyaka’ tumeifanyia Afrika Kusini, Chege bado yupo Afrika...
9 years ago
Bongo510 Oct
Queen Darleen ahofia kutoa nyimbo mpya kutokana na ushindani kwenye soko la muziki
9 years ago
Bongo526 Aug
Nahreel aeleza furaha yake kutokana na Top 10 ya MTV Base kuwa na nyimbo 4 za Bongo alizotengeneza yeye
9 years ago
Bongo509 Nov
Lollypop adai bado hajaifanya kazi ya kuandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi
![Lollipop](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/Lollipop-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki na mtunzi wa nyimbo, Lollypop, amesema bado hajaamua kuifanya kazi ya kuwaandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi.
Akizungumza katika kipindi cha 5T40 cha Radio 5 ya Arusha, Lollypop alisema wasanii wengi aliofanya nao kazi ni watu wake wa karibu.
“Mimi kuandika kwanza sio kazi official, huwa naandika kuna situation zinatokea na zinanibidi niandike na naandika na watu ambao tuko close sana,” alisema. “Haitokeagi tu nakaa naanza kuandika nyimbo mtu anakuja ananilipa...
9 years ago
Bongo518 Sep
Zaiid adai alifanya cover ya Trap Queen kudhihirisha kuwa si mwandishi wa nyimbo ngumu tu (Video)
9 years ago
Bongo519 Nov
Nina nyimbo nyingi sana so msishtuke kuona natoa nyimbo 2 au 3 kwa mpigo – Wakazi
![wakazi2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wakazi2-300x194.jpg)
Rapper Wakazi amesema kuwa mashabiki wake wasishtuke wakiona anaachia nyimbo 2 au 3 kwa mpigo kwasababu ana nyimbo nyingi sana alizorekodi na anazoendelea kurekodi kwaajili ya album zake mbili.
Kupitia Instagram Wakazi amesema kuanzia kesho anaanza kuachia nyimbo hizo kwaajili ya mashabiki wake.
“Nimekuwa studio kwa Muda mrefu nikiandaa Albums zangu mbili, na wakati bado zoezi hilo linaendelea I think it’s only right I start releasing some of the songs for my fans. Nina nyimbo nyingi sana...
9 years ago
Bongo515 Dec
Muziki wa makundi ni miyeyusho – Madee
![Madee2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/Madee2-300x300.jpg)
Baada ya bosi wa Tip Top Connection, Babu Tale kuweka wazi msimamo wake wa kutotoa wimbo wa pamoja wa wasanii wa kundi hilo kwa kudai hailipi, mmoja kati ya wasanii wanaounda kundi hilo, Madee amekubaliana na uamuzi huo.
Madee ameiambia Bongo5 kuwa wao kama wasanii wa kundi hilo wapo tayari kwa maamuzi yoyote yenye tija kwa kundi lao.
“Unajua sisi tupo chini ya uongozi na kiongozi ni Babu Tale na yeye kashaamua hilo, so mimi siwezi kumbishia kwa sababu yeye ndio ameliona hilo liko sawa....
9 years ago
Bongo509 Oct
Black Rhino aeleza faida za msanii kurekodi nyimbo nyingi na kuziweka maktaba
9 years ago
Bongo508 Oct
Dr Cheni adai soko la filamu limeyumba kutokana na tatizo la umeme!