Black Rhino aeleza faida za msanii kurekodi nyimbo nyingi na kuziweka maktaba
Rapper Black Rhino anawakumbusha wasanii wenzake faida za kurekodi nyimbo nyingi kila wanapopata muda na kuzihifadhi maktaba kwaajili ya matumizi ya baadae hata watakapoaga dunia. Rhino amesema faida ya kwanza msanii anapokuwa na akiba kubwa ya nyimbo ni hata atakapoaga dunia, nyimbo zake mpya zitaendelea kubaki na kuwafaidisha ndugu kutokana na mauzo ya albums. “Ni […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo519 Nov
Nina nyimbo nyingi sana so msishtuke kuona natoa nyimbo 2 au 3 kwa mpigo – Wakazi
![wakazi2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wakazi2-300x194.jpg)
Rapper Wakazi amesema kuwa mashabiki wake wasishtuke wakiona anaachia nyimbo 2 au 3 kwa mpigo kwasababu ana nyimbo nyingi sana alizorekodi na anazoendelea kurekodi kwaajili ya album zake mbili.
Kupitia Instagram Wakazi amesema kuanzia kesho anaanza kuachia nyimbo hizo kwaajili ya mashabiki wake.
“Nimekuwa studio kwa Muda mrefu nikiandaa Albums zangu mbili, na wakati bado zoezi hilo linaendelea I think it’s only right I start releasing some of the songs for my fans. Nina nyimbo nyingi sana...
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Tamisemi yakiri sekondari nyingi kukosa maktaba
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Faida nyingi za uyoga kiafya
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4LlsKQSMmWE/VfgIayk7LSI/AAAAAAAH4_c/ocYWeAK5F8c/s72-c/01.jpg)
READ INTERNATIONAL KUJENGA MAKTABA ZA SEKONDARI NYINGI ZAIDI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4LlsKQSMmWE/VfgIayk7LSI/AAAAAAAH4_c/ocYWeAK5F8c/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--ae-wkzGoUM/VfgIaxZwXJI/AAAAAAAH4_Y/jTlTSagBqTA/s640/02.jpg)
10 years ago
Bongo516 Oct
Picha: Akothee (Kenya) apanga kufanya remix na Black Coffee na kurekodi wimbo na Mafikizolo
10 years ago
Bongo527 Jun
Video: Black Rhino Ft Ishmae & YoungboiVeezo – We Get it on
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P6bAjyKKtbU/XpQX62g_rEI/AAAAAAALm14/hHqJ3szIb308xcIhfNheerTsrVHY57zZACLcBGAsYHQ/s72-c/4626e88e-41af-40c1-a155-544c60058837.jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMDA) ILIVYOWEKA HISTORIA YA KUREKODI KIASI CHA MVUA NYINGI TANGU MWAKA 1970
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mwaka 2019 umeweka rekodi na kushika nafasi ya nne kwa kuwa na kiasi cha mvua nyingi tangu mwaka 1970
Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt. Agnes Kijazi ameyasema hayo mbele ya waandishi wa habari alipokuwa akitoa uzinduzi wa ripoti ya tathmini ya hali ya hewa wakati wa kikao cha Bodi ya TMA kilichofanyika katika ofisi za Makao Makuu ya TMA Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Akizindua ripoti hiyo, Dkt. Kijazi ...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-vrVBdbjbJA/default.jpg)
9 years ago
Bongo523 Oct
Nawashauri vijana wenzangu waoe mapema kama mimi — Black Rhino