Nawashauri vijana wenzangu waoe mapema kama mimi — Black Rhino
Rapper Black Rhino ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania ambao tayari wameanzisha familia. Rhino ameoa na ana mtoto mmoja wa kike. Akizungumzia upande wa pili wa maisha yake mbali na muziki, Black Rhino ambaye ni mdogo wa Professor Jay a.k.a ‘mbunge mtarajiwa’, amesema kuwa licha ya kuoa miaka mitatu iliyopita lakini anajiona alichelewa sana. “Mimi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Jul
Wakongwe wenzangu wengi wamepigwa KO kimuziki, mimi nadunda bado — Dully Sykes
10 years ago
Bongo527 Jun
Video: Black Rhino Ft Ishmae & YoungboiVeezo – We Get it on
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-vrVBdbjbJA/default.jpg)
9 years ago
Bongo509 Oct
Black Rhino aeleza faida za msanii kurekodi nyimbo nyingi na kuziweka maktaba
10 years ago
Bongo503 Dec
Diamond: Nilivyofika Nigeria nilikuwa najiona kama mkiwa, siwaoni wasanii wenzangu hata Ally simuoni
9 years ago
Bongo517 Dec
Music: Black Rhino Ft HDN & Chibwa Man – Time ya Kumeki Doo
![Black Rhino](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Black-Rhino-300x194.jpg)
Rapper ambaye aliwahi kufanya vizuri TZ kipindi cha nyuma ambacho game ya Bongo fleva ilikuwa inaanza kushika, Black Rhino alikuwa mmoja wapo alifanya vizuri na ngoma kama ‘Usipime‘, ‘Chagua Moja‘ ya Fid Q! kaachia ngoma nyingine impya inaitwa “Time ya Kumeki Doo” humu ndani amewashirikisha HDN na Chibwa Man. Studio Free Nation Sound.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio)
Ukitaja list ya mastaa wa rap ambao waliwahi kufanya vizuri TZ toka kipindi ambacho game ya Bongo fleva ilianza kushika, huwezi kuacha jina la Black Rhino. Unaikumbuka ‘Usipime‘ ?!! Au unakumbuka ile michano ya kwenye ‘Chagua Moja‘ ya Fid Q ?!! Basi huyu ndio Black Rhino kwenye ukali wake, kaja na ngoma nyingine ambayo imetambulishwa […]
The post Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio) appeared first on...
9 years ago
Bongo522 Sep
Black Rhino asimulia jinsi collabo ya Chagua Moja ya Fid Q, Langa na Adili ilivyowaweka kwenye ushindani wa kutaka kufunikana
10 years ago
Vijimambo05 Mar
UKIWA NA MKE KAMA HUYU MUME NYUMBANI MAPEMA NA JIKONI ATAINGIA
![](http://api.ning.com/files/jIM5ZSWhuBbC9BuGvoMvjcPYr5QL-tRslmxvRJRN5wPRSjM5U05DWVZtyvSiydW*LYhxB4uELLijajbszDTCI*aDtw2XNVeF/IMG20150223WA0007.jpg?width=650)
Akizungumza na waandishi wetu, mmoja wa mashuhuda alisema wawili hao walioana...