Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKIWA NA MKE KAMA HUYU MUME NYUMBANI MAPEMA NA JIKONI ATAINGIA

Naomi Peter akitoa kipondo kwa mumewe.UPEPO umegeuka! Imani ya kwamba wanaume ndiyo wamekuwa wakiwapa kipondo wake zao imegeuka, safari hii mwanamke aliyejulikana kwa jina la Naomi Peter akimpa kipondo ‘hevi’ mumewe John Shila mchana kweupe!Wawili hao wakazi wa Misheni, jijini Mwanza waliibua timbwili la aina yake ambalo liliwavuta watu wengi chanzo kikiwa ni mwanaume huyo kumkataa mtoto aliyezaa na mwanamke huyo.
Akizungumza na waandishi wetu, mmoja wa mashuhuda alisema wawili hao walioana...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMA MKE NA MUME WANAPIGANA PICHA ZA UTUPU, WAPENZI JE?

Mapenzi ya sasa yamejaa sarakasi nyingi sana, kwa yule aliyebahatika kuingia kwenye uhusiano anatakiwa kuwa makini kuhakikisha mapenzi hayamtibulii maisha yake.Yapo mambo mengi ya kuwa nayo makini, changamoto kubwa na ya msingi ambayo wengi tunakumbana nayo ni uhakika kama kweli wanaodai wanatupenda wanamaanisha au wana zuga? Kwamba yule anayesema anakupenda ukimpasua kwenye moyo wake wewe utakuwa ndiye uliyechukua nafasi? Wengi...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini hatutaki wawe na haki kama tulio nyumbani, kwanini?

MJENGWA

Ndugu zangu,

Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania.

Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu walio ughaibuni? Hofu hii ni ya kihistoria.

Kwanini kongamano hili la kwanza kufanyika lisiwe la mwisho kufanyika katika sura yake hii, kwamba maudhui ya kongamano yenyewe kuwa ni ; connect, engage, inform and ivest nako kunakosekana dhana integration kwa maana ya...

 

11 years ago

GPL

MUME, MKE WATEKWA!

KIJANA aliyetambulika kwa jina la Dickson Mathias (35), na msichana aliyejulikana kwa jina la Mariam Kimaya wanadaiwa kutekwa kwa nyakati tofauti baada ya kufunga ndoa ya siri katika Kanisa la KKT, Tegeta jijini Dar, Mei Mosi, 2012, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Mariam Kimaya anayedaiwa kutekwa. Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi makubwa, dada wa Dickson, Aneth Mbaga alisema tukio hilo lilitokea baada ya Dickson...

 

5 years ago

Michuzi

KUNDI LA PILI LA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI LINATARAJIWA KUREJEA NYUMBANI MAPEMA WIKI IJAYO

Na Mwandishi wetu, Pretoria


Kundi la pili la Watanzania waliokwama nchini Afrika Kusini kutokana na Lockdown nchini humo iliyosababishwa na ugonjwa wa Corona linatarajia kurejeshwa nchini mwanzoni mwa wiki ijayo mara tu baada ya taratibu za safari hiyo kukamilika, imefahamika.


Kwa mujibu wa ubalozi wa Tanzania nchini humo, jumla ya Watanzania 63 wamekuwa katika harakati za kutaka kurejea nyumbani lakini wamekwama kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kuchelewa kwa vibali vya kusafiri nje...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mume aua mke na kutoweka

MWILI wa mwanamke aliyefamika kwa jina la Ekanga Michael (30), umekutwa korongoni maeneo ya Mwanga Vamia karibu na kambi ya jeshi, Manispaa ya Kigoma Ujiji ikidaiwa kuuawa na mumewe. Akifafanua...

 

10 years ago

Mwananchi

MUME KWA MKE TAJIRI

UME KWA MKE TAJIRI Mke akiwa tajiri, mwanamume maskini Hana uwezo fakiri, mke hatamthamini Natunga hili shairi, nisemayo naamini Mume kwa mke tajiri

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani