UKIWA NA MKE KAMA HUYU MUME NYUMBANI MAPEMA NA JIKONI ATAINGIA
Naomi Peter akitoa kipondo kwa mumewe.UPEPO umegeuka! Imani ya kwamba wanaume ndiyo wamekuwa wakiwapa kipondo wake zao imegeuka, safari hii mwanamke aliyejulikana kwa jina la Naomi Peter akimpa kipondo ‘hevi’ mumewe John Shila mchana kweupe!Wawili hao wakazi wa Misheni, jijini Mwanza waliibua timbwili la aina yake ambalo liliwavuta watu wengi chanzo kikiwa ni mwanaume huyo kumkataa mtoto aliyezaa na mwanamke huyo.
Akizungumza na waandishi wetu, mmoja wa mashuhuda alisema wawili hao walioana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc6x1YlAqD*ss5cPCp5PhqbSCVQbfMzBa*yv6g9Bp-11YlTFHUCdI*E4hlbVhvXK1yce*nnU89xzCjSPS*3bqrHy/3.jpg?width=650)
KAMA MKE NA MUME WANAPIGANA PICHA ZA UTUPU, WAPENZI JE?
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sKJ50WEg15g/Uw-PohYDbvI/AAAAAAAFQIw/SZnCbKc5IO0/s72-c/c3da4e7ed262f53a64a9e4baac6ec273+(1).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini hatutaki wawe na haki kama tulio nyumbani, kwanini?
Ndugu zangu,
Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania.
Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu walio ughaibuni? Hofu hii ni ya kihistoria.
Kwanini kongamano hili la kwanza kufanyika lisiwe la mwisho kufanyika katika sura yake hii, kwamba maudhui ya kongamano yenyewe kuwa ni ; connect, engage, inform and ivest nako kunakosekana dhana integration kwa maana ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q3o-n5KIczPxT0vJDVJlJCevk7ZoBvTrdjn7ihRvQtLNjUc9maLADoIsIDHjK-K-3N8fOsJkaHZWOQpfLdJ9P3e/mume.jpg?width=650)
MUME, MKE WATEKWA!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-19pDQzx8Aww/XtvJ_5UNMFI/AAAAAAALs0Q/hwNoZcwF7O0qE4ZlQc8e_zryVOoopcmCwCLcBGAsYHQ/s72-c/s6.jpg)
KUNDI LA PILI LA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI LINATARAJIWA KUREJEA NYUMBANI MAPEMA WIKI IJAYO
Kundi la pili la Watanzania waliokwama nchini Afrika Kusini kutokana na Lockdown nchini humo iliyosababishwa na ugonjwa wa Corona linatarajia kurejeshwa nchini mwanzoni mwa wiki ijayo mara tu baada ya taratibu za safari hiyo kukamilika, imefahamika.
Kwa mujibu wa ubalozi wa Tanzania nchini humo, jumla ya Watanzania 63 wamekuwa katika harakati za kutaka kurejea nyumbani lakini wamekwama kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kuchelewa kwa vibali vya kusafiri nje...
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Mume aua mke na kutoweka
MWILI wa mwanamke aliyefamika kwa jina la Ekanga Michael (30), umekutwa korongoni maeneo ya Mwanga Vamia karibu na kambi ya jeshi, Manispaa ya Kigoma Ujiji ikidaiwa kuuawa na mumewe. Akifafanua...
10 years ago
Mwananchi05 Jun
MUME KWA MKE TAJIRI