MUME, MKE WATEKWA!
![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q3o-n5KIczPxT0vJDVJlJCevk7ZoBvTrdjn7ihRvQtLNjUc9maLADoIsIDHjK-K-3N8fOsJkaHZWOQpfLdJ9P3e/mume.jpg?width=650)
KIJANA aliyetambulika kwa jina la Dickson Mathias (35), na msichana aliyejulikana kwa jina la Mariam Kimaya wanadaiwa kutekwa kwa nyakati tofauti baada ya kufunga ndoa ya siri katika Kanisa la KKT, Tegeta jijini Dar, Mei Mosi, 2012, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Mariam Kimaya anayedaiwa kutekwa. Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi makubwa, dada wa Dickson, Aneth Mbaga alisema tukio hilo lilitokea baada ya Dickson...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mke amkimbia mume kingono
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-yZgY*Sei*vk6Lde6Uw0--tXYTmrwd*nTWgE3h*0YmBgquaNMXMcMImevBg5iOBGQXU0VMtTNZ9-65JovJwIpUU/mke.jpg)
MUME, MKE VARANGATI MAHAKAMANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuqv9D4AmId4C-gWj7t6xPLzetpoPOJBmE7KPy9knNLn5nQ07E04hm8XG9kTz79Xi4nxZavCXu4xohd9QX*PEDSO/MUMEcopy.jpg?width=650)
MUME ADAI KUKIMBIWA NA MKE!
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Mume aua mke na kutoweka
MWILI wa mwanamke aliyefamika kwa jina la Ekanga Michael (30), umekutwa korongoni maeneo ya Mwanga Vamia karibu na kambi ya jeshi, Manispaa ya Kigoma Ujiji ikidaiwa kuuawa na mumewe. Akifafanua...
10 years ago
Mwananchi05 Jun
MUME KWA MKE TAJIRI
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mume aua mke kwa kisu
WATU watano wamekufa mkoani Rukwa katika matukio tofauti, akiwemo Silvia Patrick aliyeuawa na mumewe kwa kuchomwa kisu kifuani kutokana na wivu wa mapenzi. Joseph Dominick (33) baada ya kumuua mkewe huyo mwenye miaka 26, alijaribu kujiua kwa kujichoma kisu tumboni, lakini hakufa na amelazwa katika Kituo cha Afya cha Kamasamba wilayani Momba mkoani Mbeya akiwa chini ya ulinzi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTt1Be2bNCUmpWT0AjgDBK-45IUSC287ktT3PKACBZjE1EvEQ5gjapVoLcuMauF6luFmjry*0nQUXqNnnQt3qa3G/Kajala.jpg)
MKE: KAJALA NIACHIE MUME WANGU!
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mume amchoma mke sehemu za siri
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Mume, mke wakutwa na mabomu, risasi
JESHI la Polisi nchini limetangaza kuwa Jiji la Arusha si salama tena baada ya kukamata watu wanane wakihusihwa na matukio mbalimbali ya milipuko, wakiwemo mtu na mke wake waliokutwa nyumbani...