Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUME ADAI KUKIMBIWA NA MKE!

Stori: Mayasa Mariwata
Kweli? Jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Ally Musa, mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro anadai kukimbiwa na mkewe aliyemtaja kwa jina moja la Sauda. Bw. Ally Musa anyedai kukimbiwa na mkewe(Sauda). Akizungumza na gazeti hili, mume wa Sauda alisema kwamba, mkewe huyo ambaye alifunga naye pingu za maisha mwaka 2009, siku zote za maisha yao ya ndoa walikuwa wakiishi kwa amani na furaha tele… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAINDA ADAI KUKIMBIWA NA WANAUME

Brighton Masalu Mwigizaji wa kitambo Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amesema kutokana na muonekano wake wa ‘usiriaz’, imekuwa ni kinga imara inayosababisha kukimbiwa na wanaume wakware. Akizungumza na Amani, Mainda aliyewahi kuripotiwa kutoka na mwigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ alisema wakati mwingine wanaume huangalia ‘hali ya hewa’ kwa mwanamke kabla ya kumfuata na kumueleza mambo ya...

 

11 years ago

GPL

MUME, MKE WATEKWA!

KIJANA aliyetambulika kwa jina la Dickson Mathias (35), na msichana aliyejulikana kwa jina la Mariam Kimaya wanadaiwa kutekwa kwa nyakati tofauti baada ya kufunga ndoa ya siri katika Kanisa la KKT, Tegeta jijini Dar, Mei Mosi, 2012, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Mariam Kimaya anayedaiwa kutekwa. Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi makubwa, dada wa Dickson, Aneth Mbaga alisema tukio hilo lilitokea baada ya Dickson...

 

10 years ago

Mwananchi

MUME KWA MKE TAJIRI

UME KWA MKE TAJIRI Mke akiwa tajiri, mwanamume maskini Hana uwezo fakiri, mke hatamthamini Natunga hili shairi, nisemayo naamini Mume kwa mke tajiri

 

10 years ago

BBCSwahili

Mke amkimbia mume kingono

Palikuwa na kituko cha mwaka kilichotukia katika kituo cha polisi bulenga, wakati mwanamke mmoja alipokuwa akiomba poo kwa mumewe.

 

11 years ago

GPL

MUME, MKE VARANGATI MAHAKAMANI

Stori: Haruni Sanchawa
TIMBWILI! Jamaa mmoja na mkewe ambao wote hawakujulikana majina mara moja wamezua varangati la aina yake mahakamani kisa kikiwa ni kufutiwa kesi na kushindwa kuheshimu amri za maafande. Polisi wakimdhibiti jamaa huyo. Tukio hilo la aina yake lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar baada ya mume huyo kufutiwa kesi iliyokuwa ikimkabili ya unyayasaji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mume aua mke na kutoweka

MWILI wa mwanamke aliyefamika kwa jina la Ekanga Michael (30), umekutwa korongoni maeneo ya Mwanga Vamia karibu na kambi ya jeshi, Manispaa ya Kigoma Ujiji ikidaiwa kuuawa na mumewe. Akifafanua...

 

10 years ago

GPL

MKE WA SHETTA ADAI TALAKA

Musa Mateja na Imelda Mtema
KIMENUKA! Siku chache baada ya habari ya staa wa Bongo Fleva anayesumbua na wimbo wa Shikorobo, Nurdin Bilal ‘Shetta’ kudaiwa kulala chumba kimoja na mwigizaji Rose Ndauka kuandikwa gazetini, mkewe Neila Yusuf ameshindwa kuvumilia na kudai talaka yake, Risasi Mchanganyiko linakujuza. Staa wa Bongo Fleva anayesumbua na wimbo wa Shikorobo, Nurdin Bilal ‘Shetta’ akiwa na...

 

10 years ago

Habarileo

Mke azungumzia mume kuhamia Chadema

MKE wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro mkoani hapa, Fatuma Ngorisa ambaye ameteuliwa kuwa diwani wa Viti Maalumu (UWT) amesema kuwa kuhama kwa mume wake, ni uamuzi wake binafsi, hakumshirikisha hivyo hawezi kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

11 years ago

Michuzi

MKE NA MUME WAKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA

 Pichani juu na chini ni Gari aina ya Toyota Corolla yenye namba za usajili T.589 AZS likiwa limebeba magunia ya madawa ya kulevya aina ya bhangi mara baada ya kukamatwa eneo la Sanawari jijini Arusha na askari wa kitengo cha kuzuia Madawa ya Kulevya mkoani humo. (Picha na woinde shizza,Arusha) 
Na Woinde Shizza,Arusha.
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewakamata  watu watano wakiwa na magunia saba ya madawa ya kulevya aina ya bhangi wakiwemo mke na mume.
 Awali askari wa Kitengo cha Kuzuia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani