Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond: Nilivyofika Nigeria nilikuwa najiona kama mkiwa, siwaoni wasanii wenzangu hata Ally simuoni

Baada ya Diamond Platnumz kutua jijini Dar es salaam December 2 akitokea Afrika Kusini akiwa na tuzo zake 3 za Channel O, alikutana na wadau, mashabiki pamoja na waandishi pale Escape 1 kuzungumzia ushindi wake na safari nzima ilivyokuwa. Miongoni mwa maeneo aliyozungumzia ni pamoja na umoja unaohitajika kwa wasanii wa Tanzania ili waweze kuwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BOZI: WASANII WENZANGU WALITAKA KUNIUA

Msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’. Mayasa Mariwata MSANII wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ amefunguka kuwa anaamini amepigwa ‘juju’ kutokana na kuugua ugonjwa ambao haukutambulika hospitalini. Akizungumza machache na paparazi wetu akiwa nyumbani kwake anapougulia maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Bozi alisema, anaamini amerogwa na wasanii wenzake wasiopenda maendeleo...

 

9 years ago

Mtanzania

Pogba: Man United nilikuwa kama mapumzikoni

AS Roma v Juventus FC  - Serie ATURIN, ITALIA

KIUNGO wa klabu ya Juventus na timu ya Taifa ya Ufaransa, Paul Pogba, amedai kwamba kwa sasa anapiga kazi kubwa kwenye klabu hiyo tofauti na wakati anaitumikia Manchester United.

Mchezaji huyo amesema wakati yupo katika klabu ya Manchester United ilikuwa kama yupo mapumzikoni, lakini Juventus anapiga kazi kubwa.

Pogba aliwahi kuitumikia klabu ya Manchester United mwaka 2012 ambapo alipata nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza mara tatu kikiwa chini ya kocha Sir Alex...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond adai kolabo yake na Ne-Yo imewatisha wasanii wa Nigeria

Diamond Platnumz amesema kolabo yake na msanii wa Marekani, Ne-Yo, imekuwa tishio kubwa kwa wasanii wa Nigeria. Muimbaji huyo amesema Kcee na kundi la Bracket wameusikia wimbo huo na wakadata. Akizungumza na waandishi wa habari jana katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere akitokea Texas, Marekani katika utoaji wa tuzo za Afrimma, Diamond […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond asitisha kupokea maombi ya collabo za wasanii wa Nigeria

Diamond Platnumz sasa ni ‘hotcake’ kiasi cha kuwafanya wasanii wengi wa Afrika kutamani kufanya naye collabo, lakini kwa uamuzi mpya alioupitisha wasanii wa Nigeria ambao hawajafanikiwa kufanya nae wataikosa nafasi hiyo. Platnumz ambaye Jumamosi iliyopita pamoja na msanii wa Afrika Kusini, Donald wameshoot video ya collabo yao mpya, amesema kwa sasa amefunga milango ya kupokea […]

 

9 years ago

Bongo5

Nawashauri vijana wenzangu waoe mapema kama mimi — Black Rhino

Rapper Black Rhino ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania ambao tayari wameanzisha familia. Rhino ameoa na ana mtoto mmoja wa kike. Akizungumzia upande wa pili wa maisha yake mbali na muziki, Black Rhino ambaye ni mdogo wa Professor Jay a.k.a ‘mbunge mtarajiwa’, amesema kuwa licha ya kuoa miaka mitatu iliyopita lakini anajiona alichelewa sana. “Mimi […]

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee awashauri wasanii kuwekeza kwenye muziki kama yeye, Diamond na Ommy Dimpoz

Hii itakuwa ni wiki nzuri sana kwa Vanessa Mdee ambaye weekend iliyopita alifanikiwa kushinda tuzo ya Afrimma huko Dallas, Marekani pamoja na kuachia wimbo mpya ‘Never Ever’ na video yake. Vee Money ambaye amewashinda Victoria Kimani, Juliana Kanyomozi na Khadija Kopa kwenye kipengele cha ‘Best Female East Africa’, ametoa ushauri kwa wasanii wengine wa Tanzania […]

 

9 years ago

Raia Mwema

Hata kama ni jiwe tutalichagua!

KURA za maoni zilizotolewa kuonyesha Dk.

Privatus Karugendo

 

10 years ago

Bongo Movies

Iyobo: Hata Kama Aunt Amenizidi Umri

DANSA  wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo amenyanyua kinywa chake na kusema hata kama mpenzi wake, Aunt Ezekiel amemzidi umri, ataendelea kumpenda hivyohivyo.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL juzikati, Iyobo.

alisema watu wengi wamekuwa wakihoji yeye kumpenda Aunt
ambaye ana umri wa miaka 29, hawajui tu mapenzi hayaangalii umri kwani miaka ni namba tu za kuhesabika.

“Age is just a number, mimi sioni tatizo kuwa  na Aunt. Nategemeaanizalie, awe mama wa watoto wangu. Kuhusu wale...

 

9 years ago

Mtanzania

Hemed: Nitatoa albamu hata kama hazilipi

hemedNA CHRISTOPHER MSEKENA

MWIGIZAJI Hemed Suleiman ‘PHD’ anatarajia kuachia albamu aliyoiita Virgo mapema mwakani tofauti na wasanii wengine wanaodai albamu hazilipi.

Albamu hiyo itakuwa ya kwanza tangu alipoingia katika muziki na anatarajia kuachia wimbo wa ‘Itabaki story’ ili kuwapa mashabiki wake alichokiandaa katika albamu hiyo.

“Itabaki story’ ni wimbo ambao upo ndani ya albamu hiyo pia nitaachia nyimbo nyingine mbili kama utambulisho wa albamu yangu ya kwanza toka nimeanza muziki,”...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani