Pogba: Man United nilikuwa kama mapumzikoni
TURIN, ITALIA
KIUNGO wa klabu ya Juventus na timu ya Taifa ya Ufaransa, Paul Pogba, amedai kwamba kwa sasa anapiga kazi kubwa kwenye klabu hiyo tofauti na wakati anaitumikia Manchester United.
Mchezaji huyo amesema wakati yupo katika klabu ya Manchester United ilikuwa kama yupo mapumzikoni, lakini Juventus anapiga kazi kubwa.
Pogba aliwahi kuitumikia klabu ya Manchester United mwaka 2012 ambapo alipata nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza mara tatu kikiwa chini ya kocha Sir Alex...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
TalkSPORT.Com28 Mar
Former Manchester United man wants Paul Pogba and Bruno Fernandes to play together in midfield
5 years ago
The Sun13 Mar
10pm Man Utd news LIVE: Pogba return next week, United lose £500m from coronavirus, Bellingham £31m transfer a
5 years ago
The Sun13 Mar
11pm Man Utd news LIVE: Pogba return next week, United lose £500m from coronavirus, Bellingham £31m transfer a
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka …
Headlines za Jose Mourinho kuhusishwa kukaribia kujiunga na klabu ya Manchester United bado zinazidi kushika kasi sehemu mbalimblia, kwa wapenzi na mashabiki wa soka duniani kote kwa sasa vijiwe vyao mara nyingi mada kuu ni Louis van Gaal na Jose Mourinho. December 25 Mtu wangu wa nguvu nimekutana na list kutoka sokka.com ya wachezaji watano wa […]
The post Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka … appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
5 years ago
The Sun16 Feb
10pm Man Utd news LIVE: Ramsey and Rabiot offered in Pogba swap, Man City mocked over Euro ban, Mbappe
5 years ago
The Sun16 Feb
9pm Man Utd news LIVE: Ramsey and Rabiot offered for Pogba, Man City mocked over Euro ban, Mbappe transfer
10 years ago
Bongo503 Dec
Diamond: Nilivyofika Nigeria nilikuwa najiona kama mkiwa, siwaoni wasanii wenzangu hata Ally simuoni
5 years ago
The Peoples Person15 Mar
Paul Pogba outstanding despite absence from Manchester United first-team