Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka …

Headlines za Jose Mourinho kuhusishwa kukaribia kujiunga na klabu ya Manchester United bado zinazidi kushika kasi sehemu mbalimblia, kwa wapenzi na mashabiki wa soka duniani kote kwa sasa vijiwe vyao mara nyingi mada kuu ni Louis van Gaal na Jose Mourinho. December 25 Mtu wangu wa nguvu nimekutana na list kutoka sokka.com ya wachezaji watano wa […]

The post Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka … appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho …

Hizi ni stori au mkusanyiko wa mawazo ya waandishi wa habari wa Uingereza na wchambuzi wa masuala ya soka Uingereza, Jose Mourinho na Louis van Gaal ndio makocha ambao walikuwa wanahusishwa kwa kiasi kikubwa kupewa nafasi ya kufukuzwa kazi kutokana na mwenendo wa timu zao. Tayari Jose Mourinho kafukuzwa Chelsea ila hatujui Man United wataamua […]

The post Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho … appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Kocha Jose Mourinho atimuliwa Chelsea

José Mourinho

Chelsea imemtimua meneja wake Jose Mourinho.

José Mourinho

Kocha huyo raia wa Ureno mwenye miaka 52, alikuwa akiifundisha Chelsea kwa awamu ya pili kuanzia June 2013.

Chelsea imekuwa na msimu mbaya zaidi kwa kufungwa mechi 16 hadi sasa.

Pep Guardiola, Guus Hiddink, Brendan Rodgers na Juande Ramos ni majina yanayotajwa zaidi kushika nafasi yake.

Akiwa na Chelsea, kocha huyo alishinda ubingwa wa ligi kuu ya England mara tatu, mbili katika awamu yake ya kwanza kati ya mwaka 2004 na 2007.

Jiunge na...

 

5 years ago

Manchester Evening News

Former Man Utd manager Jose Mourinho jokes about Man City 2018 title win after UEFA ban verdict

Former Man Utd manager Jose Mourinho jokes about Man City 2018 title win after UEFA ban verdict  Manchester Evening NewsOpinion: Barcelona beckons for Pep Guardiola in the wake of Manchester City’s Champions League ban  CaughtOffsideMan City fan says Financial Fair Play has been hijacked by UEFA to stop clubs joining the elite  GIVEMESPORTBernardo Silva Admits Desire to Return to Benfica After 'Leaving Too Early'  90min'Will Man Utd get Man City's 2018 Premier League title?' - Mourinho jokes...

 

9 years ago

StarTV

Klabu Ya Chelsea Yamfuta kazi kocha Jose Mourinho.

 

Bodi ya klabu ya Chelsea The Blues ya England hatimaye imefikia uamauzi wa kumfuta kazi kocha Jose Mourinho chini ya mmiliki wake Roman Abramovic kufuatia  matokeo mabaya kwenye ligi kuu ya England  ikiwa katika nafasi ya 16 ya msimamo wa ligi hiyo.

Klabu hiyo bado haijatangaza rasmi lakini tayari bodi  imepeana mkono wa kwaheri  ikiwa ni miezi saba tangu  alipoiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa EPL msimu uliopita.

Kipigo cha jumatatu wiki hii dhidi ya Leicester City  cha mabao 2-1...

 

9 years ago

MillardAyo

Kilichomkuta kocha Jose Mourinho baada ya matokeo mabaya mfululizo…

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England, Chelsea wameendelea kuwa na bahati mbaya baada ya kuendelea kupata matokea mabaya mfululizo. Kilichonifikia leo ni kuhusu kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho kufutwa kazi baada ya kuendelea na matokeo mabaya mfululizo…uamuazi huo unaufanya uongozi wa klabu hiyo kumlipa kiasi cha pauni milioni 40 kama sehemu ya mkataba wake. […]

The post Kilichomkuta kocha Jose Mourinho baada ya matokeo mabaya mfululizo… appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Jose Mourinho asema hakuna bora kama yeye

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amesisitiza kuwa yeye ni bora kushinda yeyote yule katika kuifunza klabu hiyo licha kupoteza mechi tatu mfululizo katika msimu huu. Baada ya kichapo hicho cha mabao 3-1 dhidi ya Everton ,Mourinho alisema kuwa watu wengi sasa wanafurahia janga lake. “Haya ni matokeo mabaya zaidi katika kazi yangu,” alisema Mourinho. “Sijazoea […]

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kumtimua Jose Mourinho, Chelsea imetangaza kocha wa muda wa timu yao ….

Uongozi wa klabu ya Chelsea December 16 iliripotiwa kuweka kikao cha dharura kujadili mwenendo wa timu yao kwa sasa, Chelsea baada ya kukaa kikao hicho cha bodi, December 17 walitangaza rasmi kumfuta kazi Jose Mourinho na nafasi yake kubaki wazi. Stori mpya ni kuwa uongozi wa klabu ya Chelsea December 19 umetangaza rasmi kumteua kwa […]

The post Baada ya kumtimua Jose Mourinho, Chelsea imetangaza kocha wa muda wa timu yao …. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Mirror Online

Jose Mourinho's part in helping Man Utd with Bruno Fernandes

Jose Mourinho's part in helping Man Utd with Bruno Fernandes  Mirror OnlineBruno Fernandes reveals Ole Gunnar Solskjaer role in sealing Manchester United switch  Sky SportsMan Utd news LIVE: Deal completed as Ed Woodward activates contract option, transfer plans  ExpressThe five Matchester United stars who could be sold this summer  The Peoples Person5 Players Named as Potential Casualties of Manchester United Summer Reshuffle  90minView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani