Diamond adai kolabo yake na Ne-Yo imewatisha wasanii wa Nigeria
Diamond Platnumz amesema kolabo yake na msanii wa Marekani, Ne-Yo, imekuwa tishio kubwa kwa wasanii wa Nigeria. Muimbaji huyo amesema Kcee na kundi la Bracket wameusikia wimbo huo na wakadata. Akizungumza na waandishi wa habari jana katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere akitokea Texas, Marekani katika utoaji wa tuzo za Afrimma, Diamond […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM13 Feb
Ruby afungukia kolabo yake na Diamond
10 years ago
Bongo522 Jun
Diamond asitisha kupokea maombi ya collabo za wasanii wa Nigeria
9 years ago
Bongo506 Oct
Dully Sykes awabeza wasanii wanaofanya kolabo ‘za kimataifa’
10 years ago
Bongo503 Dec
Diamond: Nilivyofika Nigeria nilikuwa najiona kama mkiwa, siwaoni wasanii wenzangu hata Ally simuoni
11 years ago
CloudsFM10 Jun
MAFIKIZOLO WAMUOMBA KOLABO DIAMOND
Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limemuomba kolabo Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz ambapo jana (June 9) waliingia katika studio ya Oskido iliyoko Johannesburg kurekodi wimbo huo.
“We doing a collaboration with Diamond,the song is sounding awesome yes” aliandika Theo Kgosinkwe wa Mafikizolo katika moja ya picha wakiwa studio na Diamond.
Collabo hiyo ya Mafikizolo na Diamond itampa nafasi nzuri zaidi Platnumz sababu ya ukubwa walionao wanamuziki hao wa Afrika Kusini.
Mafikizolo ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5WEo2Vt-F4E/VK5IlsS7sGI/AAAAAAAAQpQ/xwdl7RmVqe0/s72-c/10890525_406552556176055_575413897_n.jpg)
Baada ya Kupiga Show ya Nguvu Nigeria, Diamond Afunguka na Kusema Haamini Macho yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-5WEo2Vt-F4E/VK5IlsS7sGI/AAAAAAAAQpQ/xwdl7RmVqe0/s640/10890525_406552556176055_575413897_n.jpg)
“Nimefurahi maana hii inaonyesha jinsi gani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUlfWFUFFlkMZQGCa*aBoVPTYf*NTyUb7PT3vdfZeIUCpJrI8425HH6r2aqUe09D0764I5OC5pbQoz9mxwmDwTxb/c.jpg)
DAYNA: SINA MPANGO WA KOLABO NA DIAMOND
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Kopa kufanya kolabo na Alikiba, Diamond
MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, amesema katika kuchanganya ladha ya muziki kwa wapenzi wake, amepanga kufanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wakiwemo Alikiba na Diamond Platinumz....
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Ali Kiba: ‘Kolabo’ na Diamond haitatokea
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema haitakuja kutokea kufanya ‘kolabo’ na msanii wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ katika maisha yake. Kauli hiyo ya Ali...