Diamond asitisha kupokea maombi ya collabo za wasanii wa Nigeria
Diamond Platnumz sasa ni ‘hotcake’ kiasi cha kuwafanya wasanii wengi wa Afrika kutamani kufanya naye collabo, lakini kwa uamuzi mpya alioupitisha wasanii wa Nigeria ambao hawajafanikiwa kufanya nae wataikosa nafasi hiyo. Platnumz ambaye Jumamosi iliyopita pamoja na msanii wa Afrika Kusini, Donald wameshoot video ya collabo yao mpya, amesema kwa sasa amefunga milango ya kupokea […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo518 Nov
Video: Diamond atease wimbo mpya wa Tekno wa Nigeria, je ni collabo?
![tekno-miles-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tekno-miles-1-300x194.jpg)
Mkali wa ‘Duro’ Tekno Miles kutoka Nigeria anatarajia kuachia wimbo mpya wiki ijayo, baada ya kufanya vizuri na single ya ‘Duro’ ambayo imeshika chati mbalimbali za Afrika.
Mshindi wa tuzo 3 za Afrima 2015, Diamond ambaye yuko Nigeria alikoenda kwenye tuzo hizo, amewaonjesha mashabiki kupitia akaunti yake ya Instagram kionjo cha wimbo huo. Platnumz amepost video aliyojirekodi akiwa na Tekno kwenye gari yake wakisikiliza wimbo huo huku Tekno akiimba.
“Forget About DURO… we are about to...
10 years ago
Bongo506 Feb
AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje
9 years ago
Bongo516 Oct
Diamond adai kolabo yake na Ne-Yo imewatisha wasanii wa Nigeria
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Tamasha la AAF laanza kupokea maombi ya filamu zitakazoanza kushiriki mwaka huu
Thank you for your interest in the Arusha African Film Festival.
The festival is open to everyone with particular focus on the theme of AAFF: “Understanding Africa through Film.”
Filmmakers with stories and images that promote the understanding of Africa through film are most welcome to submit their films for the festival.
The categories are feature films, shorts and documentaries. All genres are welcome.
Films submitted should be of good production quality and of topical content that...
10 years ago
Dewji Blog02 May
HESLB yaanza kupokea maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB – Bw. George Nyatega.
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) jana (Ijumaa, Mei 1, 2015) imetoa mwongozo kwa wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo na ruzuku kwa ajili ya mwaka wa masomo 2015/2016 unaotarajiwa kuanza miezi michache ijayo.
Kwa mujibu wa mwongozo huo, ambao unaanza kupatakikana leo katika tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz), waombaji wote wamepewa takribani miezi miwili kuwasilisha maombi yao kuanzia Jumatatu,...
10 years ago
Bongo503 Dec
Diamond: Nilivyofika Nigeria nilikuwa najiona kama mkiwa, siwaoni wasanii wenzangu hata Ally simuoni
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU YASOGEZA MBELE TAREHE YA MWISHO YA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa muda wa kuwasilisha maombi ya mikopo umeongezwa mbele hadi tarehe 31 Julai, 2015.
Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa fursa wale ambao kwa sababu mbalimbali hawakuweza kufanya maombi ya mikopo katika muda uliopangwa. Itakumbukwa kuwa, awali Bodi ilianza kupokea maombi kwa njia ya mtandao tarehe 4 Mei, 2015 na mwisho wa kuwasilisha maombi ulipangwa kuwa tarehe 30 Juni, 2015.
Kupitia...
9 years ago
Bongo511 Dec
Roberto wa ‘Amarula’ awataja wasanii wa Tanzania aliofanya nao collabo
![Roberto](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Roberto-300x194.png)
Hit maker wa ‘Amarula’, Roberto kutoka Zambia amewataja wasanii wa Tanzania ambao tayari amefanya nao kazi na ambao anatarajia kufanya nao collabo.
Roberto ambaye amekuja Tanzania kwaajili ya show leo Dec 11 jijini Dar, amesema amefanya collabo na Vanessa Mdee na wanatarajia kuitoa mwakani.
“Wimbo niliofanya na Vanessa umekamilika, sasa tunafanyia kazi mipango ya kuitoa unajua nina mheshimu Vanessa na muziki wake na yeye ananiheshimu pia hivyo tulikubaliana tusiitoe hivi hivi tu tuwe na...
10 years ago
Bongo514 Sep
Wycleif Jean kufanya collabo na Shaa na wasanii wa Coke Studio Africa