Tamasha la AAF laanza kupokea maombi ya filamu zitakazoanza kushiriki mwaka huu
Thank you for your interest in the Arusha African Film Festival.
The festival is open to everyone with particular focus on the theme of AAFF: “Understanding Africa through Film.”
Filmmakers with stories and images that promote the understanding of Africa through film are most welcome to submit their films for the festival.
The categories are feature films, shorts and documentaries. All genres are welcome.
Films submitted should be of good production quality and of topical content that...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI WA AFRIKA KUSINI SIPHO MWAKABANE KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI OKTOBA 4 MWAKA HUU.
10 years ago
Dewji Blog18 May
Maisha Lab kuendesha warsha ya Uandishi wa filamu kwenye tamasha la ZIFF mwaka huu
NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOG
Tayari Maisha Lab ya Uganda wametangaza kupokea maombi ya wanaotaka kushiriki katika warsha maalum ya uandishi wa filamu itakayofanyika visiwani Zanzibar wakati wa tamasha la Filamu za Nchi za Majahazi maarufu kama ZIFF, kuanzia tarehe 18 hadi 25.
Hata hivyo, maombi toka kwa wanaotaka kushiriki katika warsha hii yameanza kupokewa na mwisho wa maombi ni tarehe 13 Juni, mwaka huu.
Warsha za Maisha Lab zimekuza vipaji vya waandishi wa filamu na wakurugenzi wa...
10 years ago
Dewji Blog02 May
HESLB yaanza kupokea maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB – Bw. George Nyatega.
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) jana (Ijumaa, Mei 1, 2015) imetoa mwongozo kwa wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo na ruzuku kwa ajili ya mwaka wa masomo 2015/2016 unaotarajiwa kuanza miezi michache ijayo.
Kwa mujibu wa mwongozo huo, ambao unaanza kupatakikana leo katika tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz), waombaji wote wamepewa takribani miezi miwili kuwasilisha maombi yao kuanzia Jumatatu,...
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Veronica kushiriki riadha mwaka huu
10 years ago
MichuziBODI YA MIKOPO YAANZA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO KUTOKA KWA WANAFUNZI KWA MWAKA WA MASOMO 2015-2016
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Ijumaa, Mei 1, 2015) imetoa mwongozo kwa wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo na ruzuku kwa ajili ya mwaka wa masomo 2015/2016 unaotarajiwa kuanza miezi michache ijayo.
Kwa mujibu wa mwongozo huo, ambao unapatikana katika tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz), waombaji wote wamepewa takribani miezi miwili kuwasilisha maombi yao kuanzia Jumatatu, Mei 4, 2015...
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
JB:Mwaka Huu Nitacheza Filamu Mbili Tu!!
Mwigizaji na mwongozaji wa filamu hapa bongo, Jacob stephen ‘JB’ ambae pia ni mkurugenzi na mliliki wa kampuni ya maswala ya filamu ya Jerusalem alitupia picha hiyo hapo juu na kuibandikia maelezo haya;
“Mzee huyo mwenye kofia anaitwa Chimbeni herry, hii ni moja kati ya scene utakazo ziona ndani ya mzee wa swaga.Hapo ni zanzibar,kati ya wasanii wazuri ambao hawajatumika vizuri ni pamoja na huyu.
Jamani anaweza,mwaka huu nitacheza filamu mbili (2) tu, lakini nitaanda nyingi ambazo...
9 years ago
Bongo Movies04 Jan
Nyerere Kutoa Filamu Kubwa Mwaka Huu
Steve Nyerere amesema baada ya kukaa kimya kwa miaka minne bila kutoa filamu, mwaka 2016 atawapa raha mashabiki wake.
“Nina miaka minne sijatengeneza wala kutoa sinema na si kwamba siuzi,” aliandika kwenye Instagram.
“Kwa mwaka nitakuwa natoa sinema 1 tu ila itakuwa zaidi ya vile tunavyofikiria, ni ubora wa hali ya juu sio kwa mwezi sinema 5, duu ni kumvuruga mteja. Maisha ni kujipanga na kujitambua unataka nini.”
Bongo5
9 years ago
Bongo507 Dec
Tamasha la Fiesta halitakuwepo mwaka huu
Wakati staa wa Nigeria, Wizkid anaondoka Tanzania mwezi uliopita aliwaahidi mashabiki wake kuwa angerejea tena Tanzania kwenye tamasha la Fiesta 2015 mwezi December, lakini taarifa mpya kutoka kwa waandaaji Clouds Media zinasema kuwa tamasha hilo halitakuwepo mwaka huu.
Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba ametoa sababu za kutofanyika kwa tamasha hilo kubwa mwaka huu.
“Fiesta mwaka huu tumekubaliana tusiifanye kwasababu tutakuwa tunabanana,” amesema...