Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kopa kufanya kolabo na Alikiba, Diamond

MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, amesema katika kuchanganya ladha ya muziki kwa wapenzi wake, amepanga kufanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wakiwemo Alikiba na Diamond Platinumz....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Diamond Platnumz Kufanya kolabo na Usher Raymond?

+Ni stori ambazo tumekua nazo mtaani kwa kipindi kidogo ila mpaka zimefika hapa ujue tumepata kauli sahihi ambayo itasema ukweli.


Babu Tale (pichani) ni meneja wa Diamond Platnumz, amekutana kwenye hii Exclusive na dstv.com na kukubali kuizungumzia hiyo na ishu nyingine zote.


Kama wataka muziki ya kukupendeza basi jiburudishe na kipindi ya Official African Chart kila Jumanne saa 21:00 kwenye MTV Base.



Kupata chanzo na mengi mengine BOFYA HAPA

 

10 years ago

Bongo5

Alikiba azungumzia uwezekano wa kufanya wimbo na Diamond Platnumz

Ulichokuwa ukisubiri kwa muda mrefu huenda kikatokea hivi karibuni. Collabo ya Alikiba na Diamond Platnumz mabibi na mabwana inanukia. Akizungumza na kipindi cha Jahazi cha Clouds FM leo (20/8), Alikiba amesema upo uwezekano wa kufanya kazi ya pamoja kama kukitokea mabadiliko. “Mawazo ya kolabo yapo, mawazo unapata mengi tu, hiyo nimeshaisikia vilevile, na wewe sio […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond au Alikiba? Mr Blue aeleza yupi anayependa kufanya naye ngoma

Kihistoria, Diamond na Alikiba ni wadogo zake Mr Blue. Wakati Mr Blue anatamba na ngoma zake ikiwemo Mapozi, hakuna aliyekuwa akiwafahau wawili hao. Na kuna wakati Blue aliwahi kusimulia namna alivyokerwa na tabia ya Diamond ya kutembea na ex wake akiwe Wema na Najma. Hata Hivyo rapper huyo wa Pesa, amesema anawakubali wote Alikiba na […]

 

9 years ago

MillardAyo

EXLUSIVE: Majibu ya Alikiba kuhusu kolabo yake na Davido

Ni Exclusive Interview Alikiba aliyoifanya na MillardAyo baada ya maswali kuendelea kuwepo kuhusu walipofikia baada ya Davido kuongea kwenye Interview na Millard Ayo July 2014 na kusema single nyingine na mkali wa bongofleva itakua ni yeye na Alikiba, sasa kujua alichosema Alikiba tazama hii Interview hapa chini.

The post EXLUSIVE: Majibu ya Alikiba kuhusu kolabo yake na Davido appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

CloudsFM

BOB JUNIOR, CHAMELEONE KUFANYA KOLABO

Staa wa Bongo Fleva,Bob Junior anatarajia kufanya kolabo na msanii wa kimataifa wa nchini Uganda,Jose Chameleone.

Maandalizi ya ngoma hiyo tayari inafanywa kwenye studio mbili ya Sharobaro Music na studio ya chameleone, na itakua ni ngoma inayofuata kutoka kwa msanii Bob Junior.

 

9 years ago

Bongo5

Ruby ajipanga kufanya kolabo na Christian Bella

Muimbaji wa ‘Na Yule’, Ruby amesema anatarajia kumshirikisha Christian Bella. Akizungumza kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, Ruby alisema muda wowote wataingia studio na kuandaa kazi hiyo. “Tunataka kufanya kolabo kwa sababu wasanii kwa wasanii kufanya kolabo sio kitu kibaya. Halafu Bella anafanya vizuri na pia anani- appreciate na mimi nam-appreciate. He is […]

 

9 years ago

Bongo5

Roberto wa Amarula kufanya kolabo na msanii wa Tanzania

Msanii wa Zambia anayehit na wimbo wake, Amarula, Roberto pamoja na msanii wa Tanzania Galaxy, wanatarajia kuingia studio kufanya kolabo. Galaxy amesema tayari wameshafanya mazungumzo na msanii huyo na kinachofuata ni kuingia studio. “Kolabo hatujaifanya bado kwa sababu kuna kazi fulani zilitokea. Kwahiyo tukawa tumepanga tufanye siku nyingine kwa sababu si unajua nilikutana naye kwenye […]

 

9 years ago

Global Publishers

Trey Songz ataka kufanya kolabo na Davido

936full-trey-songzSTAA wa muziki wa R&B duniani, Trey Songz, kwa sasa yupo nchini Nigeria kwa ajili ya tamasha kubwa la muziki linalofanyika kila mwaka, Lagos, Nigeria lijulikanalo kama Pepsi Rhythm Unplugged 2015 na kuweka mikakati ya kutaka kufanya kolabo na staa wa muziki nchini humo, Davido.

davido-beardsTrey aliyasema hayo alipokuwa akitaka kupanda jukwaani kwa ajili ya kupiga shoo katika tamasha hilo ambapo alimwagia sifa Davido na kusema kuwa ni moja kati ya wasanii anaowakubali sana kwani ameweza kuubadilisha...

 

11 years ago

CloudsFM

MAFIKIZOLO WAMUOMBA KOLABO DIAMOND

Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limemuomba kolabo Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz ambapo jana (June 9) waliingia katika studio ya Oskido iliyoko Johannesburg kurekodi wimbo huo.“We doing a collaboration with Diamond,the song is sounding awesome yes” aliandika Theo Kgosinkwe wa Mafikizolo katika moja ya picha wakiwa studio na Diamond.Collabo hiyo ya Mafikizolo na Diamond itampa nafasi nzuri zaidi Platnumz sababu ya ukubwa walionao wanamuziki hao wa Afrika Kusini.
Mafikizolo ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani