Kopa kufanya kolabo na Alikiba, Diamond
MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, amesema katika kuchanganya ladha ya muziki kwa wapenzi wake, amepanga kufanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wakiwemo Alikiba na Diamond Platinumz....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDiamond Platnumz Kufanya kolabo na Usher Raymond?
Babu Tale (pichani) ni meneja wa Diamond Platnumz, amekutana kwenye hii Exclusive na dstv.com na kukubali kuizungumzia hiyo na ishu nyingine zote.
Kama wataka muziki ya kukupendeza basi jiburudishe na kipindi ya Official African Chart kila Jumanne saa 21:00 kwenye MTV Base.
Kupata chanzo na mengi mengine BOFYA HAPA
10 years ago
Bongo520 Aug
Alikiba azungumzia uwezekano wa kufanya wimbo na Diamond Platnumz
10 years ago
Bongo522 Sep
Diamond au Alikiba? Mr Blue aeleza yupi anayependa kufanya naye ngoma
9 years ago
MillardAyo06 Jan
EXLUSIVE: Majibu ya Alikiba kuhusu kolabo yake na Davido
Ni Exclusive Interview Alikiba aliyoifanya na MillardAyo baada ya maswali kuendelea kuwepo kuhusu walipofikia baada ya Davido kuongea kwenye Interview na Millard Ayo July 2014 na kusema single nyingine na mkali wa bongofleva itakua ni yeye na Alikiba, sasa kujua alichosema Alikiba tazama hii Interview hapa chini.
The post EXLUSIVE: Majibu ya Alikiba kuhusu kolabo yake na Davido appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
CloudsFM15 Jan
BOB JUNIOR, CHAMELEONE KUFANYA KOLABO
Staa wa Bongo Fleva,Bob Junior anatarajia kufanya kolabo na msanii wa kimataifa wa nchini Uganda,Jose Chameleone.
Maandalizi ya ngoma hiyo tayari inafanywa kwenye studio mbili ya Sharobaro Music na studio ya chameleone, na itakua ni ngoma inayofuata kutoka kwa msanii Bob Junior.
9 years ago
Bongo512 Oct
Ruby ajipanga kufanya kolabo na Christian Bella
9 years ago
Bongo505 Oct
Roberto wa Amarula kufanya kolabo na msanii wa Tanzania
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Trey Songz ataka kufanya kolabo na Davido
STAA wa muziki wa R&B duniani, Trey Songz, kwa sasa yupo nchini Nigeria kwa ajili ya tamasha kubwa la muziki linalofanyika kila mwaka, Lagos, Nigeria lijulikanalo kama Pepsi Rhythm Unplugged 2015 na kuweka mikakati ya kutaka kufanya kolabo na staa wa muziki nchini humo, Davido.
Trey aliyasema hayo alipokuwa akitaka kupanda jukwaani kwa ajili ya kupiga shoo katika tamasha hilo ambapo alimwagia sifa Davido na kusema kuwa ni moja kati ya wasanii anaowakubali sana kwani ameweza kuubadilisha...
11 years ago
CloudsFM10 Jun
MAFIKIZOLO WAMUOMBA KOLABO DIAMOND
Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limemuomba kolabo Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz ambapo jana (June 9) waliingia katika studio ya Oskido iliyoko Johannesburg kurekodi wimbo huo.“We doing a collaboration with Diamond,the song is sounding awesome yes” aliandika Theo Kgosinkwe wa Mafikizolo katika moja ya picha wakiwa studio na Diamond.Collabo hiyo ya Mafikizolo na Diamond itampa nafasi nzuri zaidi Platnumz sababu ya ukubwa walionao wanamuziki hao wa Afrika Kusini.
Mafikizolo ni...