Roberto wa Amarula kufanya kolabo na msanii wa Tanzania
Msanii wa Zambia anayehit na wimbo wake, Amarula, Roberto pamoja na msanii wa Tanzania Galaxy, wanatarajia kuingia studio kufanya kolabo. Galaxy amesema tayari wameshafanya mazungumzo na msanii huyo na kinachofuata ni kuingia studio. “Kolabo hatujaifanya bado kwa sababu kuna kazi fulani zilitokea. Kwahiyo tukawa tumepanga tufanye siku nyingine kwa sababu si unajua nilikutana naye kwenye […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
Mkali wa Songi la ‘Amarula’ Roberto toka Zambia awasili nchini Tanzania, atua Mwanza pata mahojiano aliyofanya na Jembe FM 93.7
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vsbiy6qCklk/Vg6hcjY-2SI/AAAAAAABSeg/JDb12ehTbv8/s640/00.1JEMBE%2BROBERTO%2BAMARULA7.jpg)
BOFYA PLAY...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Vsbiy6qCklk/Vg6hcjY-2SI/AAAAAAABSeg/JDb12ehTbv8/s72-c/00.1JEMBE%2BROBERTO%2BAMARULA7.jpg)
MKALI WA SONGI LA 'AMARULA' ROBERTO TOKA ZAMBIA AWASILI NCHINI TANZANIA, ATUA MWANZA PATA MAHOJIANO ALIYOFANYA NA JEMBA FM 93.7
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vsbiy6qCklk/Vg6hcjY-2SI/AAAAAAABSeg/JDb12ehTbv8/s640/00.1JEMBE%2BROBERTO%2BAMARULA7.jpg)
9 years ago
Bongo510 Oct
Music: Roberto Ft. Patoranking — Amarula Remix
9 years ago
MichuziMWANAMUZIKI ROBERTO AMARULA KUTOKA ZAMBIA KUTUMBUIZA DAR ES SALAAM, DODOMA KATIKA TAMASHA LA INSTAGRAM WIKIENDI HII
11 years ago
CloudsFM15 Jul
JOH MAKINI APIGA KOLABO NA MSANII CHIDINMA WA NIGERIA
Wiki iliyopita Mkali wa Hip Hop, John Makini kutoka kampuni ya Weusi alidondoka Jijini Nairobi kwa ajili ya dili la kurekodi kipindi cha Coke Studio, kwenye ‘live performance’ John Makini alishare stage moja na mwanadada kutoka Nigeria Chidinma ambaye amewahi kunyakua tuzo za Nigeria Music Video Aawards pamoja na Kora Awards pia amewahi kuwa nominated kwenye tuzo za MTV na Chanel O music video awards, harakati za Joh wakamvuta Chidinma mpaka studio za R.K na kurekodi ngoma.
10 years ago
Bongo510 Feb
Nay wa Mitego atenga milioni 60 kukamilisha kolabo na msanii wa Nigeria
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Kopa kufanya kolabo na Alikiba, Diamond
MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, amesema katika kuchanganya ladha ya muziki kwa wapenzi wake, amepanga kufanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wakiwemo Alikiba na Diamond Platinumz....
10 years ago
CloudsFM15 Jan
BOB JUNIOR, CHAMELEONE KUFANYA KOLABO
Staa wa Bongo Fleva,Bob Junior anatarajia kufanya kolabo na msanii wa kimataifa wa nchini Uganda,Jose Chameleone.