Mkali wa Songi la ‘Amarula’ Roberto toka Zambia awasili nchini Tanzania, atua Mwanza pata mahojiano aliyofanya na Jembe FM 93.7
Mtangazaji wa Jembe FM host wa kipindi cha HIT ZONE kinachoruka hewani siku za Jumatatu hadi Ijumaa saa saba mchana hadi saa kumi jioni Timoth Ngalula aka ‘Mbaba’ akifanya mahojiano na mwanamuziki toka nchini Zambia Roberto ambaye ni mkali wa songi linalokwenda kwa jina la Amarula, ikiwa ni maandalizi ya show yake kali itakayofanyika kesho Jumamosi ya tarehe 3 oct 2015 Jembe Beach Resort Malimbe jijini Mwanza, Kiingilio ni shilingi 10,000/= Kawaida na VIP ni shilingi 50,000/=.
BOFYA PLAY...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Vsbiy6qCklk/Vg6hcjY-2SI/AAAAAAABSeg/JDb12ehTbv8/s72-c/00.1JEMBE%2BROBERTO%2BAMARULA7.jpg)
MKALI WA SONGI LA 'AMARULA' ROBERTO TOKA ZAMBIA AWASILI NCHINI TANZANIA, ATUA MWANZA PATA MAHOJIANO ALIYOFANYA NA JEMBA FM 93.7
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vsbiy6qCklk/Vg6hcjY-2SI/AAAAAAABSeg/JDb12ehTbv8/s640/00.1JEMBE%2BROBERTO%2BAMARULA7.jpg)
9 years ago
MichuziMWANAMUZIKI ROBERTO AMARULA KUTOKA ZAMBIA KUTUMBUIZA DAR ES SALAAM, DODOMA KATIKA TAMASHA LA INSTAGRAM WIKIENDI HII
9 years ago
Bongo505 Oct
Roberto wa Amarula kufanya kolabo na msanii wa Tanzania
9 years ago
Bongo510 Oct
Music: Roberto Ft. Patoranking — Amarula Remix
10 years ago
GPLDNA, KENRAZY, GRANDPA FAMILY WATIKISA JEMBE NI JEMBE JIJINI MWANZA
10 years ago
GPLSHOO YA JOH MAKINI NDANI YA JEMBE NI JEMBE, MWANZA YAACHA HISTORIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GJ-8MLJZOhI/VCusZTQkGEI/AAAAAAAGm5M/5VA9F1xAjzw/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Mwanza, Nyama Choma Festival inakuja Rock City - Jembe Ni Jembe Oktoba 25, 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-GJ-8MLJZOhI/VCusZTQkGEI/AAAAAAAGm5M/5VA9F1xAjzw/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ci-L9sZRXas/VCusYWC5zlI/AAAAAAAGm48/vHBq498x9sk/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JkDnTqvhmbk/VCusYs_D5WI/AAAAAAAGm5E/1FjfxdspU6I/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rAc213RHzPE/VCusYhj72FI/AAAAAAAGm5A/GwbPEti-PuA/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CqRYuySSglw/U-W6KtEobrI/AAAAAAACnCE/CqNkDBmALHE/s72-c/11.jpg)
HAFLA YA MEET AND GREAT YAFANA NDANI YA UFUKWE WA CLUB YA JEMBE NI JEMBE JIJINI MWANZA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CqRYuySSglw/U-W6KtEobrI/AAAAAAACnCE/CqNkDBmALHE/s1600/11.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iMzXMcHxuWs/U7uLnf3zC6I/AAAAAAAFw_Y/TP0FNkaGr8Q/s72-c/image.jpeg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...