MWANAMUZIKI ROBERTO AMARULA KUTOKA ZAMBIA KUTUMBUIZA DAR ES SALAAM, DODOMA KATIKA TAMASHA LA INSTAGRAM WIKIENDI HII
Mwanamuziki na mtangazaji wa redio, Roberto Chindaba Banda 'maarufu Roberto Amarula kutoka nchini Zambia (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana , kuhusu onyesho lake atakalolifanya leo katika fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam na kesho ukumbi wa Ngalawa Pub mkoani Dodoma katika Tamasha la Instagram Party Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba ambao wamemleta msanii huyo hapa nchini kwa kushirikiana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
Mkali wa Songi la ‘Amarula’ Roberto toka Zambia awasili nchini Tanzania, atua Mwanza pata mahojiano aliyofanya na Jembe FM 93.7
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vsbiy6qCklk/Vg6hcjY-2SI/AAAAAAABSeg/JDb12ehTbv8/s640/00.1JEMBE%2BROBERTO%2BAMARULA7.jpg)
BOFYA PLAY...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Vsbiy6qCklk/Vg6hcjY-2SI/AAAAAAABSeg/JDb12ehTbv8/s72-c/00.1JEMBE%2BROBERTO%2BAMARULA7.jpg)
MKALI WA SONGI LA 'AMARULA' ROBERTO TOKA ZAMBIA AWASILI NCHINI TANZANIA, ATUA MWANZA PATA MAHOJIANO ALIYOFANYA NA JEMBA FM 93.7
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vsbiy6qCklk/Vg6hcjY-2SI/AAAAAAABSeg/JDb12ehTbv8/s640/00.1JEMBE%2BROBERTO%2BAMARULA7.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI HII JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog29 May
Mwanamuziki mwanadada Mtanzania mwenye asili ya Italia kutumbuiza hoteli ya Mediterraneo Jumamosi hii jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg)
Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia.
Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.
Mkurugenzi wa Hoteli ya Mediterraneo waandaaji wa tamasha hilo, Samantar Abdinur...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s72-c/U.jpg)
MWANAMUZIKI MWANADADA MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg)
Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
10 years ago
Habarileo09 Aug
`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m
MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.
10 years ago
Bongo505 Nov
Nyama Choma Festival: Dodoma ni wikiendi hii Royal Village, Dar ni Dec 6, UDSM Grounds
9 years ago
Bongo503 Dec
Roberto wa ‘Amarula’ kutumbuiza Dar, December 11
![20151202213717](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151202213717-300x194.jpg)
Amehit mno kwa wimbo wake Amarula. Hata watoto wadogo wamesikika wakiuimba wimbo huo.
Na sasa mashabiki wa muziki wa Dar es Salaam watapata fursa ya kumuona live mkali huyo kutoka nchini Zambia.
Roberto atatumbuiza Ijumaa ijayo, December 11 kwenye fukwe za Escape One maeneo ya Mikocheni, Dar es Salaam kwa kiingilio cha shilingi elfu kumi tu.
Hii ni mara ya kwanza kwa msanii huyo wa Brotherhood Music Crew, kutumbuiza Dar, lakini ya pili Tanzania kwakuwa miezi kadhaa iliyopita...
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Roberto kufanya ziara ya kimuziki ya siku mbili nchini, kutumbuiza leo Escape One na kesho Dodoma
Meneja Mawasiliano wa Freconic Ideaz, Krantz Mwantepele (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha msanii maarufu kutoka nchini Zambia, Roberto Amarula (wa tatu kushoto) anayetarajiwa kutumbuiza leo katika fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar kabla ya kuelekea Dodoma kwenye tamasha la Instagram Party kesho Jumamosi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba akizungumzia kuhusu ziara ya Roberto Amarula nchini.
Mwanamuziki na...