Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMUZIKI ROBERTO AMARULA KUTOKA ZAMBIA KUTUMBUIZA DAR ES SALAAM, DODOMA KATIKA TAMASHA LA INSTAGRAM WIKIENDI HII

Mwanamuziki na mtangazaji wa redio, Roberto Chindaba Banda 'maarufu Roberto Amarula kutoka nchini Zambia (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana , kuhusu onyesho lake atakalolifanya leo katika fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam na kesho ukumbi wa Ngalawa Pub mkoani Dodoma katika Tamasha la Instagram Party Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba ambao wamemleta msanii huyo hapa nchini kwa kushirikiana na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mkali wa Songi la ‘Amarula’ Roberto toka Zambia awasili nchini Tanzania, atua Mwanza pata mahojiano aliyofanya na Jembe FM 93.7

Mtangazaji wa Jembe FM host wa kipindi cha HIT ZONE kinachoruka hewani siku za Jumatatu hadi Ijumaa saa saba mchana hadi saa kumi jioni Timoth Ngalula aka ‘Mbaba’ akifanya mahojiano na mwanamuziki toka nchini Zambia Roberto ambaye ni mkali wa songi linalokwenda kwa jina la Amarula, ikiwa ni maandalizi ya show yake kali itakayofanyika kesho Jumamosi ya tarehe 3 oct 2015 Jembe Beach Resort Malimbe jijini Mwanza, Kiingilio ni shilingi 10,000/= Kawaida na VIP ni shilingi 50,000/=.

BOFYA PLAY...

 

9 years ago

Michuzi

MKALI WA SONGI LA 'AMARULA' ROBERTO TOKA ZAMBIA AWASILI NCHINI TANZANIA, ATUA MWANZA PATA MAHOJIANO ALIYOFANYA NA JEMBA FM 93.7

Mtangazaji wa Jembe FM host wa kipindi cha HIT ZONE kinachoruka hewani siku za Jumatatu hadi Ijumaa saa saba mchana hadi saa kumi jioni Timoth Ngalula aka 'Mbaba' akifanya mahojiano na mwanamuziki toka nchini Zambia Roberto ambaye ni mkali wa songi linalokwenda kwa jina la Amarula, ikiwa ni maandalizi ya show yake kali itakayofanyika kesho Jumamosi ya tarehe 3 oct 2015 Jembe Beach Resort Malimbe jijini Mwanza, Kiingilio ni shilingi 10,000/= Kawaida na VIP ni shilingi 50,000/=.BOFYA PLAY...

 

10 years ago

GPL

MWANAMUZIKI MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI HII JIJINI DAR

Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia. Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia. Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanamuziki mwanadada Mtanzania mwenye asili ya Italia kutumbuiza hoteli ya Mediterraneo Jumamosi hii jijini Dar

Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.

Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia.

3

Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.

Mkurugenzi wa Hoteli ya Mediterraneo waandaaji wa tamasha hilo, Samantar Abdinur...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAMUZIKI MWANADADA MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI JIJINI DAR ES SALAAM


Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
 Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia.
 Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.Mkurugenzi wa Hoteli ya Mediterraneo waandaaji wa tamasha hilo, Samantar Abdinur Lusuf...

 

10 years ago

Habarileo

`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m

MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.

 

10 years ago

Bongo5

Nyama Choma Festival: Dodoma ni wikiendi hii Royal Village, Dar ni Dec 6, UDSM Grounds

Lile tamasha maarufu zaidi la Nyama Choma sasa linahamia pande za Dodoma. Litafanyika Jumamosi hii, November 8 katika kiota cha Royal Village. Usikubali kupitwa na nyama za uhakika zilizochomwa na wachomaji bora zaidi mjini Dodoma, bila kusahau Heineken baridi, juisi za kila aina na vinjwaji vingine. Tamasha hili litarejea tena jijini Dar es Salaam, December […]

 

9 years ago

Bongo5

Roberto wa ‘Amarula’ kutumbuiza Dar, December 11

20151202213717

Amehit mno kwa wimbo wake Amarula. Hata watoto wadogo wamesikika wakiuimba wimbo huo.

20151202213717

Na sasa mashabiki wa muziki wa Dar es Salaam watapata fursa ya kumuona live mkali huyo kutoka nchini Zambia.

Roberto atatumbuiza Ijumaa ijayo, December 11 kwenye fukwe za Escape One maeneo ya Mikocheni, Dar es Salaam kwa kiingilio cha shilingi elfu kumi tu.

Hii ni mara ya kwanza kwa msanii huyo wa Brotherhood Music Crew, kutumbuiza Dar, lakini ya pili Tanzania kwakuwa miezi kadhaa iliyopita...

 

9 years ago

Dewji Blog

Roberto kufanya ziara ya kimuziki ya siku mbili nchini, kutumbuiza leo Escape One na kesho Dodoma

IMG_8097

Meneja Mawasiliano wa Freconic Ideaz, Krantz Mwantepele (kushoto), akizungumza katika mkutano  na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha msanii maarufu kutoka nchini Zambia, Roberto Amarula (wa tatu kushoto) anayetarajiwa kutumbuiza leo katika fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar kabla ya kuelekea Dodoma kwenye tamasha la Instagram Party kesho Jumamosi.

IMG_8033

Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba akizungumzia kuhusu ziara ya Roberto Amarula nchini.

IMG_8049

Mwanamuziki na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani