Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Roberto wa ‘Amarula’ kutumbuiza Dar, December 11

20151202213717

Amehit mno kwa wimbo wake Amarula. Hata watoto wadogo wamesikika wakiuimba wimbo huo.

20151202213717

Na sasa mashabiki wa muziki wa Dar es Salaam watapata fursa ya kumuona live mkali huyo kutoka nchini Zambia.

Roberto atatumbuiza Ijumaa ijayo, December 11 kwenye fukwe za Escape One maeneo ya Mikocheni, Dar es Salaam kwa kiingilio cha shilingi elfu kumi tu.

Hii ni mara ya kwanza kwa msanii huyo wa Brotherhood Music Crew, kutumbuiza Dar, lakini ya pili Tanzania kwakuwa miezi kadhaa iliyopita...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Roberto wa ‘Amarula’ awataja wasanii wa Tanzania aliofanya nao collabo

Roberto

Hit maker wa ‘Amarula’, Roberto kutoka Zambia amewataja wasanii wa Tanzania ambao tayari amefanya nao kazi na ambao anatarajia kufanya nao collabo.

Roberto

Roberto ambaye amekuja Tanzania kwaajili ya show leo Dec 11 jijini Dar, amesema amefanya collabo na Vanessa Mdee na wanatarajia kuitoa mwakani.

“Wimbo niliofanya na Vanessa umekamilika, sasa tunafanyia kazi mipango ya kuitoa unajua nina mheshimu Vanessa na muziki wake na yeye ananiheshimu pia hivyo tulikubaliana tusiitoe hivi hivi tu tuwe na...

 

9 years ago

Michuzi

MWANAMUZIKI ROBERTO AMARULA KUTOKA ZAMBIA KUTUMBUIZA DAR ES SALAAM, DODOMA KATIKA TAMASHA LA INSTAGRAM WIKIENDI HII

Mwanamuziki na mtangazaji wa redio, Roberto Chindaba Banda 'maarufu Roberto Amarula kutoka nchini Zambia (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana , kuhusu onyesho lake atakalolifanya leo katika fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam na kesho ukumbi wa Ngalawa Pub mkoani Dodoma katika Tamasha la Instagram Party Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba ambao wamemleta msanii huyo hapa nchini kwa kushirikiana na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Roberto kufanya ziara ya kimuziki ya siku mbili nchini, kutumbuiza leo Escape One na kesho Dodoma

IMG_8097

Meneja Mawasiliano wa Freconic Ideaz, Krantz Mwantepele (kushoto), akizungumza katika mkutano  na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha msanii maarufu kutoka nchini Zambia, Roberto Amarula (wa tatu kushoto) anayetarajiwa kutumbuiza leo katika fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar kabla ya kuelekea Dodoma kwenye tamasha la Instagram Party kesho Jumamosi.

IMG_8033

Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba akizungumzia kuhusu ziara ya Roberto Amarula nchini.

IMG_8049

Mwanamuziki na...

 

9 years ago

BBC

Africa in pictures: 4 December - 11 December 2015

Fashionistas in Tanzania, royalty in Nigeria, and a flying Mandela

 

11 years ago

BBC

Africa in pictures: 13 December-19 December 2013

Saving babies, the black king and Lagos labourers

 

9 years ago

BBC

Africa in pictures: 12 December - 17 December 2015

Robo-cops on parade, funny funerals and breaking stones

 

10 years ago

BBC

Africa in pictures: 4 December-11 December 2014

Shoes on show, veiled glamour and pyramid-jumping

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Wizkid kutumbuiza Dar mwezi huu

Msanii wa Nigeria, Wizkid anatarajia kuja Tanzania kwa mara ya kwanza kutoa burudani October 31 kwenye tamasha la ‘Wizkid in Dar.’ Msanii huyo wa Ojuelegba, analetwa na kampuni ya King Solomon Entertainment ikishirikiana na East Africa Radio. #HABARI Msanii mkali toka Nigeria WIZKID @wizkidayo anatarajiwa kuwasha moto ndani ya jiji la Dar oktoba 31 pic.twitter.com/8Rq5KRoO31 […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani