Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFIKIZOLO WAMUOMBA KOLABO DIAMOND

Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limemuomba kolabo Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz ambapo jana (June 9) waliingia katika studio ya Oskido iliyoko Johannesburg kurekodi wimbo huo.“We doing a collaboration with Diamond,the song is sounding awesome yes” aliandika Theo Kgosinkwe wa Mafikizolo katika moja ya picha wakiwa studio na Diamond.Collabo hiyo ya Mafikizolo na Diamond itampa nafasi nzuri zaidi Platnumz sababu ya ukubwa walionao wanamuziki hao wa Afrika Kusini.
Mafikizolo ni...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mafikizolo na Diamond kushoot video ya collabo yao December 10

4X7A0037

Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limethibitisha kuwa video ya wimbo waliomshirikisha Diamond itafanyika December 10 mwaka huu.

4X7A0037

Taarifa hiyo imetolewa na member wa kundi hilo, Nhlanhla Nciza kupitia Instagram baada ya kumjibu shabiki wa Diamond aliyeuliza sababu ya kuchelewa kwa wimbo huo.

“We are shooting a video with @diamondplatnumz on the 10th of December boss we know you guys have been waiting, one love.”

Wimbo huo ulifanyika mwaka jana.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge...

 

10 years ago

GPL

DAYNA: SINA MPANGO WA KOLABO NA DIAMOND

WAKATI  staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, akitafutwa kufanya kolabo na wasanii mbalimbali, nyota wa muziki huo kutoka Moro Town, Dayana Nyange, ‘Dayna’ ameibuka na kusema hana mpango wa kufanya kazi na staa huyo hata kama anafanya vizuri kimataifa. Nyota wa muziki huo kutoka Moro Town, Dayana Nyange, ‘Dayna’. Akifunguka na Risasi Vibes, Dayna alisema kuwa hajaweka wazo la...

 

10 years ago

CloudsFM

Ruby afungukia kolabo yake na Diamond

Mkali wa ngoma inayotamba kwenye vituo mbalimbali za redio hapa nchini, ‘Yule’, Supa Nyota 2014,Ruby amesema kuwa kolabo yake na staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz itafuata baada ya ngoma yake ya sasa. ‘’Ilikuwa nifanye ngoma yangu ya kwanza na Diamond kama ilikuwa ikisemekana kuwa supa nyota atafanya ngoma yake ya kwanza na Diamond lakini uongozi umeona kuwa ngoma ya kwanza nifanye mwenyewe ya pili ndo nitafanya naye naamini itakuwa bonge la ngoma mashabiki wakae mkao wa tayari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ali Kiba: ‘Kolabo’ na Diamond haitatokea

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema haitakuja kutokea kufanya ‘kolabo’ na msanii wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ katika maisha yake. Kauli hiyo ya Ali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kopa kufanya kolabo na Alikiba, Diamond

MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, amesema katika kuchanganya ladha ya muziki kwa wapenzi wake, amepanga kufanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wakiwemo Alikiba na Diamond Platinumz....

 

9 years ago

Bongo5

Diamond na Mafikizolo kushoot video ya collabo yao ya 2014, mwezi ujao

mondi na mafikizoloMwaka jana (2014) mwezi June, Diamond Platnumz na kundi la Mafikizolo kutoka Afrika Kusini waliingia studio kufanya collabo ambayo haikuwahi kutoka. Mafikizolo ndio walioomba kufanya collabo hiyo (Ingia hapa). Kama ulikuwa umeshakata tamaa kutokana na muda mrefu kupita, zaidi ya mwaka bila kusikia chochote kuhusu collabo hiyo, habari njema kutoka kwa mshindi wa tuzo ya […]

 

10 years ago

Michuzi

Diamond Platnumz Kufanya kolabo na Usher Raymond?

+Ni stori ambazo tumekua nazo mtaani kwa kipindi kidogo ila mpaka zimefika hapa ujue tumepata kauli sahihi ambayo itasema ukweli.


Babu Tale (pichani) ni meneja wa Diamond Platnumz, amekutana kwenye hii Exclusive na dstv.com na kukubali kuizungumzia hiyo na ishu nyingine zote.


Kama wataka muziki ya kukupendeza basi jiburudishe na kipindi ya Official African Chart kila Jumanne saa 21:00 kwenye MTV Base.



Kupata chanzo na mengi mengine BOFYA HAPA

 

9 years ago

MillardAyo

Millen Magese kuonekana kwenye video mpya ya Mafikizolo ft Diamond Platnumz….(+Picha)

Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutokea Afrika Kusini ambapo kundi la Mafikizolo wameingia location kushoot video mpya ya single yao waliyomshirikisha Diamond Platnumz. Safari hii kundi hilo limeamua kushoot pia na supermodel kutokea Tanzania Millen Magese ambaye ataonekana katika video hiyo mpya iliyotayarishwa huko Johannesburg, Afrika Kusini. Hizi ni baadhi ya picha zikionesha Mafikizolo, Diamond Platnumz […]

The post Millen Magese kuonekana kwenye video mpya ya Mafikizolo ft Diamond...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani