Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hemed: Nitatoa albamu hata kama hazilipi

hemedNA CHRISTOPHER MSEKENA

MWIGIZAJI Hemed Suleiman ‘PHD’ anatarajia kuachia albamu aliyoiita Virgo mapema mwakani tofauti na wasanii wengine wanaodai albamu hazilipi.

Albamu hiyo itakuwa ya kwanza tangu alipoingia katika muziki na anatarajia kuachia wimbo wa ‘Itabaki story’ ili kuwapa mashabiki wake alichokiandaa katika albamu hiyo.

“Itabaki story’ ni wimbo ambao upo ndani ya albamu hiyo pia nitaachia nyimbo nyingine mbili kama utambulisho wa albamu yangu ya kwanza toka nimeanza muziki,”...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA HEMED SALUM HEMED

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akishiriki katika mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) mkaazi wa Kinuni Zanzibar aliyefariki katika ajali ya barabarani wakati akitoka mkutanoni Makunduchi. Mazishi hayo yamefanyika Msikiti Ngamia, Kilimahewa.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akishiriki katika mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) mkaazi wa Kinuni Zanzibar...

 

5 years ago

Michuzi

MAWAIDHA YA SWAUMU NA AL MARHUM MUFTI SHEIK HEMED BIN JUMAA BIN HEMED


issamichuzi · MAWAIDHA YA SHEIKH HEMED BIN JUMAA BIN HEMED

 

9 years ago

Raia Mwema

Hata kama ni jiwe tutalichagua!

KURA za maoni zilizotolewa kuonyesha Dk.

Privatus Karugendo

 

10 years ago

Bongo Movies

Iyobo: Hata Kama Aunt Amenizidi Umri

DANSA  wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo amenyanyua kinywa chake na kusema hata kama mpenzi wake, Aunt Ezekiel amemzidi umri, ataendelea kumpenda hivyohivyo.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL juzikati, Iyobo.

alisema watu wengi wamekuwa wakihoji yeye kumpenda Aunt
ambaye ana umri wa miaka 29, hawajui tu mapenzi hayaangalii umri kwani miaka ni namba tu za kuhesabika.

“Age is just a number, mimi sioni tatizo kuwa  na Aunt. Nategemeaanizalie, awe mama wa watoto wangu. Kuhusu wale...

 

10 years ago

GPL

IYOBO: HATA KAMA AUNT AMENIZIDI UMRI, HAIHUSU

Dansa grade one wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo akiwa na  Aunt Ezekiel. Stori: mwandishi wetu/Risasi
DANSA grade one wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo amenyanyua kinywa chake na kusema hata kama mpenzi wake, Aunt Ezekiel amemzidi umri, ataendelea kumpenda hivyohivyo.
Akizungumza na mwanahabari wetu juzikati, Iyobo. alisema watu wengi wamekuwa wakihoji yeye kumpenda Aunt
ambaye ana...

 

9 years ago

Bongo Movies

Hata Kama ni ‘Used’, Johari Ana Thamani Yake

NENO! Mwigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ameweka wazi kwamba wasanii wengi wachanga wamekuwa wakipenda kutumia jina la ‘used’ kwa wasanii wakongwe lakini kwa upande wake anajiona bado ana thamani kubwa.

Johari ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, japokuwa wanamuita ‘used’ lakini akisimama katika kucheza filamu, thamani yake inakuwa ni kubwa kwani kile anachokifanya anakifahamu vyema wala hawezi kutetereka.

“Sawa, mimi ni ‘used’ lakini thamani...

 

10 years ago

Vijimambo

HATA KAMA MSAFIRI KAFIRI LAKINI HII NI HATARI

Jikumbushe na hiki kibao hapa chini kiroho safi unaweza kujipakulia 

 

10 years ago

Mwananchi

Za escrow hata kama ni za mtu, deni lingelipwa na Watanzania

Sakata la akaunti ya escrow, ambalo watu wamejichotea fedha kama vile watu wanavyozoa mafuta yaliyomwagika kwenye gari la mafuta lililopata ajali bado lipo midomoni mwa watu.

 

9 years ago

Bongo5

Nitaimba hata Taarab kama itanilipa – Nay wa Mitego

nay

Baada ya kutoa wimbo mpya, Nyumbani Kwetu, Nay wa Mitego amedai kuwa amepokea changamoto za baadhi ya wasanii kumdiss kuwa amehama kwenye hip hop na kufanya muziki mwingine.

nay

Nay ameiambia Bongo5 kuwa anafanya muziki unaohitajika na mashabiki wake na yupo tayari kuimba hata Taarab kama itamlipa.

“Wapo ambao wanaendelea kudiss nimetoka kabisa kwenye Hip Hop na sipaswi kujiita mwanahiphop. Muziki ndio kazi yangu na ninafanya kile wanachohitaji mashabiki, nitaimba hata Taarab kama itakuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani