Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Za escrow hata kama ni za mtu, deni lingelipwa na Watanzania

Sakata la akaunti ya escrow, ambalo watu wamejichotea fedha kama vile watu wanavyozoa mafuta yaliyomwagika kwenye gari la mafuta lililopata ajali bado lipo midomoni mwa watu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Serikali yapiga marufuku ukataji wa miti nchini hata kama ikiwa mtu amepanda nyumbani kwake

unnamed3Naibu waziri wa Serikali za Mitaa, Aggrey Mwanri akiwa na wataalamu na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu wakikagua msitu wa Siha mkoani Kilimanjaoro alipotembelea juzi . Waziri Nyalandu aliruhusu nguzo nza umeme kupita katika msitu huo ili kuwezesha wananchi wa wilaya hiyo kupata umeme.
unnamedWaziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsalimia mmoja wa wagonjwa waliofuata huduma katika zahanati ya Ngarenanyuki wilayani Arumeru ,juzi  alipoitembelea baada ya Mbunge wa jimbo...

 

9 years ago

Raia Mwema

Hata kama ni jiwe tutalichagua!

KURA za maoni zilizotolewa kuonyesha Dk.

Privatus Karugendo

 

9 years ago

Mwananchi

Mambo yanayohusu deni la Taifa kama hoja katika kampeni

Katika safu hii maalumu kwa uchaguzi, mitazamo mbalimbali ya kiuchumi inatolewa na kuchambuliwa na mwandishi. Lengo ni kutoa maoni, miongozo na chambuzi vitavyowahusu wagombea wa nafasi mbalimbali zikiwamo zile za urais, ubunge na udiwani. Maoni, miongozo na uchambuzi vitawahusu pia wapiga kura.

 

10 years ago

Bongo Movies

Iyobo: Hata Kama Aunt Amenizidi Umri

DANSA  wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo amenyanyua kinywa chake na kusema hata kama mpenzi wake, Aunt Ezekiel amemzidi umri, ataendelea kumpenda hivyohivyo.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL juzikati, Iyobo.

alisema watu wengi wamekuwa wakihoji yeye kumpenda Aunt
ambaye ana umri wa miaka 29, hawajui tu mapenzi hayaangalii umri kwani miaka ni namba tu za kuhesabika.

“Age is just a number, mimi sioni tatizo kuwa  na Aunt. Nategemeaanizalie, awe mama wa watoto wangu. Kuhusu wale...

 

9 years ago

Mtanzania

Hemed: Nitatoa albamu hata kama hazilipi

hemedNA CHRISTOPHER MSEKENA

MWIGIZAJI Hemed Suleiman ‘PHD’ anatarajia kuachia albamu aliyoiita Virgo mapema mwakani tofauti na wasanii wengine wanaodai albamu hazilipi.

Albamu hiyo itakuwa ya kwanza tangu alipoingia katika muziki na anatarajia kuachia wimbo wa ‘Itabaki story’ ili kuwapa mashabiki wake alichokiandaa katika albamu hiyo.

“Itabaki story’ ni wimbo ambao upo ndani ya albamu hiyo pia nitaachia nyimbo nyingine mbili kama utambulisho wa albamu yangu ya kwanza toka nimeanza muziki,”...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli: Nina deni kubwa kwa Watanzania

Rais John Magufuli amesema ana deni kubwa kwa Watanzania baada ya wananchi kuonyesha imani kwake, huku akiwaambia wapinzani kuwa uchaguzi umekwisha na yeye ndiye Rais.

 

11 years ago

Habarileo

'Bunge Maalum mna deni kwa Watanzania'

WABUNGE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kuona wana deni kwa Watanzania la kuwapatia katiba nzuri ambayo italeta ustawi kwa miaka mingi ijayo. Hayo yalisemwa jana na Dora Mpilimbi ambaye ni balozi kiongozi katika kitongoji cha Chinangali mtaa wa Nala kata ya Nala wakati wa mahojiano na mwandishi wa habari hizi.

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram

Wiki iliyopita mmoja wa waanzilishi wa kundi la Mtu Chee, Country Boy alisema kuwa Young Dee amejiengua kwenye kundi hilo na nafasi yake imechukuliwa na Young Killer. Wiki hii kuna cover imeanza kusambazwa ya ngoma mpya ya Mtu Chee ambayo kweli wanaonekana Country Boy, Stamina na Young Killer. Bongo5 imemtafuta Young Killer kutaka kufahamu kuhusu […]

 

10 years ago

Vijimambo

HATA KAMA MSAFIRI KAFIRI LAKINI HII NI HATARI

Jikumbushe na hiki kibao hapa chini kiroho safi unaweza kujipakulia 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani