Za escrow hata kama ni za mtu, deni lingelipwa na Watanzania
Sakata la akaunti ya escrow, ambalo watu wamejichotea fedha kama vile watu wanavyozoa mafuta yaliyomwagika kwenye gari la mafuta lililopata ajali bado lipo midomoni mwa watu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi26 Oct
Serikali yapiga marufuku ukataji wa miti nchini hata kama ikiwa mtu amepanda nyumbani kwake
![unnamed3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/unnamed37.jpg)
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/unnamed29.jpg)
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Mambo yanayohusu deni la Taifa kama hoja katika kampeni
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
Iyobo: Hata Kama Aunt Amenizidi Umri
DANSA wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo amenyanyua kinywa chake na kusema hata kama mpenzi wake, Aunt Ezekiel amemzidi umri, ataendelea kumpenda hivyohivyo.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL juzikati, Iyobo.
alisema watu wengi wamekuwa wakihoji yeye kumpenda Aunt
ambaye ana umri wa miaka 29, hawajui tu mapenzi hayaangalii umri kwani miaka ni namba tu za kuhesabika.
“Age is just a number, mimi sioni tatizo kuwa na Aunt. Nategemeaanizalie, awe mama wa watoto wangu. Kuhusu wale...
9 years ago
Mtanzania21 Sep
Hemed: Nitatoa albamu hata kama hazilipi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MWIGIZAJI Hemed Suleiman ‘PHD’ anatarajia kuachia albamu aliyoiita Virgo mapema mwakani tofauti na wasanii wengine wanaodai albamu hazilipi.
Albamu hiyo itakuwa ya kwanza tangu alipoingia katika muziki na anatarajia kuachia wimbo wa ‘Itabaki story’ ili kuwapa mashabiki wake alichokiandaa katika albamu hiyo.
“Itabaki story’ ni wimbo ambao upo ndani ya albamu hiyo pia nitaachia nyimbo nyingine mbili kama utambulisho wa albamu yangu ya kwanza toka nimeanza muziki,”...
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Dk Magufuli: Nina deni kubwa kwa Watanzania
11 years ago
Habarileo11 Mar
'Bunge Maalum mna deni kwa Watanzania'
WABUNGE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kuona wana deni kwa Watanzania la kuwapatia katiba nzuri ambayo italeta ustawi kwa miaka mingi ijayo. Hayo yalisemwa jana na Dora Mpilimbi ambaye ni balozi kiongozi katika kitongoji cha Chinangali mtaa wa Nala kata ya Nala wakati wa mahojiano na mwandishi wa habari hizi.
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-blrnkSwZrhE/Va-tl_CTQiI/AAAAAAAD0VY/eXgjYNw2smY/s72-c/Spotted%252Bon%252Ba%252BKenyan%252Broad.jpg)
HATA KAMA MSAFIRI KAFIRI LAKINI HII NI HATARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-blrnkSwZrhE/Va-tl_CTQiI/AAAAAAAD0VY/eXgjYNw2smY/s640/Spotted%252Bon%252Ba%252BKenyan%252Broad.jpg)