Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hata kama ni jiwe tutalichagua!

KURA za maoni zilizotolewa kuonyesha Dk.

Privatus Karugendo

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Iyobo: Hata Kama Aunt Amenizidi Umri

DANSA  wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo amenyanyua kinywa chake na kusema hata kama mpenzi wake, Aunt Ezekiel amemzidi umri, ataendelea kumpenda hivyohivyo.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL juzikati, Iyobo.

alisema watu wengi wamekuwa wakihoji yeye kumpenda Aunt
ambaye ana umri wa miaka 29, hawajui tu mapenzi hayaangalii umri kwani miaka ni namba tu za kuhesabika.

“Age is just a number, mimi sioni tatizo kuwa  na Aunt. Nategemeaanizalie, awe mama wa watoto wangu. Kuhusu wale...

 

10 years ago

Mtanzania

Hemed: Nitatoa albamu hata kama hazilipi

hemedNA CHRISTOPHER MSEKENA

MWIGIZAJI Hemed Suleiman ‘PHD’ anatarajia kuachia albamu aliyoiita Virgo mapema mwakani tofauti na wasanii wengine wanaodai albamu hazilipi.

Albamu hiyo itakuwa ya kwanza tangu alipoingia katika muziki na anatarajia kuachia wimbo wa ‘Itabaki story’ ili kuwapa mashabiki wake alichokiandaa katika albamu hiyo.

“Itabaki story’ ni wimbo ambao upo ndani ya albamu hiyo pia nitaachia nyimbo nyingine mbili kama utambulisho wa albamu yangu ya kwanza toka nimeanza muziki,”...

 

10 years ago

Vijimambo

HATA KAMA MSAFIRI KAFIRI LAKINI HII NI HATARI

Jikumbushe na hiki kibao hapa chini kiroho safi unaweza kujipakulia 

 

10 years ago

GPL

IYOBO: HATA KAMA AUNT AMENIZIDI UMRI, HAIHUSU

Dansa grade one wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo akiwa na  Aunt Ezekiel. Stori: mwandishi wetu/Risasi
DANSA grade one wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo amenyanyua kinywa chake na kusema hata kama mpenzi wake, Aunt Ezekiel amemzidi umri, ataendelea kumpenda hivyohivyo.
Akizungumza na mwanahabari wetu juzikati, Iyobo. alisema watu wengi wamekuwa wakihoji yeye kumpenda Aunt
ambaye ana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuwaache wastaafu wakemee, waonye hata kama inauma 

CHAMA Chama Cha Mapinduzi (CCM) hivi karibuni kiliwapa onyo kali baadhi ya vigogo wake kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni kuanza mapema kampeni za kusaka kuteuliwa kugombea urais wa Jamhuri...

 

11 years ago

GPL

DENTI: HATA MIMI NILIPENDA KUWA KAMA NINYI

Kijana Amos Ng’arare Sasi mwenye umri wa miaka 21, mkazi wa Kijiji cha Kizaru, Kata ya Mryaza, Musoma vijijni anyesumbuliwa na uvimbe. Ni mateso makubwa.
Kwa karibu miaka 17 sasa, kijana Amos Ng’arare Sasi mwenye umri wa miaka 21, mkazi wa Kijiji cha Kizaru, Kata ya Mryaza, Musoma vijijni anataabika kwa ugonjwa ambao umempeleka katika hospitali nyingi bila mafanikio. Kama angeendelea na masomo yake vizuri, hivi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hata Kama Una Fedha, Kwa Wolper Ulie Tu

KAMA una fedha na kisha ukawa ni mume wa mtu wala usihangaike kumfuata binti anayeitwa Wolper.

Jacqueline Masawe ‘Wolper ’ amedai hawapendi  wanaume wenye fedha kwani wengi wao ni waume za watu na si rahisi kuonyesha mapenzi yao ya dhati kwake, pia hawezi kutembea nao hadharani kwa kuhofia ndoa zao.

“Unajua unapokuwa na mtu mwenye fedha zake halafu mtu mzima hivi unakosa penzi la kweli. Mapenzi yenu yatakuwa ya chumbani tu,” alisema.

“Hamtaweza kutembea pamoja, lakini ukiwa na...

 

9 years ago

Bongo Movies

Hata Kama ni ‘Used’, Johari Ana Thamani Yake

NENO! Mwigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ameweka wazi kwamba wasanii wengi wachanga wamekuwa wakipenda kutumia jina la ‘used’ kwa wasanii wakongwe lakini kwa upande wake anajiona bado ana thamani kubwa.

Johari ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, japokuwa wanamuita ‘used’ lakini akisimama katika kucheza filamu, thamani yake inakuwa ni kubwa kwani kile anachokifanya anakifahamu vyema wala hawezi kutetereka.

“Sawa, mimi ni ‘used’ lakini thamani...

 

9 years ago

Bongo5

Nitaimba hata Taarab kama itanilipa – Nay wa Mitego

nay

Baada ya kutoa wimbo mpya, Nyumbani Kwetu, Nay wa Mitego amedai kuwa amepokea changamoto za baadhi ya wasanii kumdiss kuwa amehama kwenye hip hop na kufanya muziki mwingine.

nay

Nay ameiambia Bongo5 kuwa anafanya muziki unaohitajika na mashabiki wake na yupo tayari kuimba hata Taarab kama itamlipa.

“Wapo ambao wanaendelea kudiss nimetoka kabisa kwenye Hip Hop na sipaswi kujiita mwanahiphop. Muziki ndio kazi yangu na ninafanya kile wanachohitaji mashabiki, nitaimba hata Taarab kama itakuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani