Tuwaache wastaafu wakemee, waonye hata kama inaumaÂ
CHAMA Chama Cha Mapinduzi (CCM) hivi karibuni kiliwapa onyo kali baadhi ya vigogo wake kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni kuanza mapema kampeni za kusaka kuteuliwa kugombea urais wa Jamhuri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
Iyobo: Hata Kama Aunt Amenizidi Umri
DANSA wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo amenyanyua kinywa chake na kusema hata kama mpenzi wake, Aunt Ezekiel amemzidi umri, ataendelea kumpenda hivyohivyo.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL juzikati, Iyobo.
alisema watu wengi wamekuwa wakihoji yeye kumpenda Aunt
ambaye ana umri wa miaka 29, hawajui tu mapenzi hayaangalii umri kwani miaka ni namba tu za kuhesabika.
“Age is just a number, mimi sioni tatizo kuwa na Aunt. Nategemeaanizalie, awe mama wa watoto wangu. Kuhusu wale...
9 years ago
Mtanzania21 Sep
Hemed: Nitatoa albamu hata kama hazilipi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MWIGIZAJI Hemed Suleiman ‘PHD’ anatarajia kuachia albamu aliyoiita Virgo mapema mwakani tofauti na wasanii wengine wanaodai albamu hazilipi.
Albamu hiyo itakuwa ya kwanza tangu alipoingia katika muziki na anatarajia kuachia wimbo wa ‘Itabaki story’ ili kuwapa mashabiki wake alichokiandaa katika albamu hiyo.
“Itabaki story’ ni wimbo ambao upo ndani ya albamu hiyo pia nitaachia nyimbo nyingine mbili kama utambulisho wa albamu yangu ya kwanza toka nimeanza muziki,”...
9 years ago
Bongo Movies24 Nov
Hata Kama ni ‘Used’, Johari Ana Thamani Yake
NENO! Mwigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ameweka wazi kwamba wasanii wengi wachanga wamekuwa wakipenda kutumia jina la ‘used’ kwa wasanii wakongwe lakini kwa upande wake anajiona bado ana thamani kubwa.
Johari ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, japokuwa wanamuita ‘used’ lakini akisimama katika kucheza filamu, thamani yake inakuwa ni kubwa kwani kile anachokifanya anakifahamu vyema wala hawezi kutetereka.
“Sawa, mimi ni ‘used’ lakini thamani...
9 years ago
Habarileo05 Jan
‘Watoto waende shule hata kama hawana sare’
MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Magalulla Said Magalulla amewataka wazazi na walezi mkoani humo kuhakikisha watoto wao wenye sifa za kuanza masomo wanakwenda shule mara tu zitakapofunguliwa hata kama hawana sare.
10 years ago
GPLIYOBO: HATA KAMA AUNT AMENIZIDI UMRI, HAIHUSU
11 years ago
GPLDENTI: HATA MIMI NILIPENDA KUWA KAMA NINYI
9 years ago
Bongo527 Nov
Nitaimba hata Taarab kama itanilipa – Nay wa Mitego
![nay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nay-300x194.jpg)
Baada ya kutoa wimbo mpya, Nyumbani Kwetu, Nay wa Mitego amedai kuwa amepokea changamoto za baadhi ya wasanii kumdiss kuwa amehama kwenye hip hop na kufanya muziki mwingine.
Nay ameiambia Bongo5 kuwa anafanya muziki unaohitajika na mashabiki wake na yupo tayari kuimba hata Taarab kama itamlipa.
“Wapo ambao wanaendelea kudiss nimetoka kabisa kwenye Hip Hop na sipaswi kujiita mwanahiphop. Muziki ndio kazi yangu na ninafanya kile wanachohitaji mashabiki, nitaimba hata Taarab kama itakuwa...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Za escrow hata kama ni za mtu, deni lingelipwa na Watanzania