Hata Kama ni ‘Used’, Johari Ana Thamani Yake
NENO! Mwigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ameweka wazi kwamba wasanii wengi wachanga wamekuwa wakipenda kutumia jina la ‘used’ kwa wasanii wakongwe lakini kwa upande wake anajiona bado ana thamani kubwa.
Johari ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, japokuwa wanamuita ‘used’ lakini akisimama katika kucheza filamu, thamani yake inakuwa ni kubwa kwani kile anachokifanya anakifahamu vyema wala hawezi kutetereka.
“Sawa, mimi ni ‘used’ lakini thamani...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Oct
AY asema mama yake na Sean Kingston humchukulia kama mwanae,’ hata kwenye Instagram yangu ana comment’
9 years ago
Bongo501 Oct
Hata Kim Kardashian hakujua kama Kanye West ana mpango wa kugombea urais 2020 mpaka alipotangaza kwenye VMA
10 years ago
Bongo Movies05 May
Patcho Mwamba: Hakuna Staa wa Kike Ana Nyota Kama ya Wema Sepetu, Ila Dhambi Yake ni Moja...
Staa wa Bongo movies na mwanamziki wa Fm Academia Patcho Mwamba funguka kuwa staa mwennzake wa bongo movies, Wema Sepetu ana nyota kali zaidi ya mastaa wote wa kike wa hapa Bongo, Pacho ameyasema hayo akiwa anajibu swali aliloulizwa kwenye mahojiano maalumu na Bestizzo "Je unahisi Wema halitendei haki jina lake au kuna sehemu anakosea?"
''Kwanza tuseme ukweli wa Mungu hamna staa wa kike ana nyota kama ya Wema Sepetu, ni star ni star ni star ni star sana upande wa wanawake wote ndani ya bongo...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HEN55I5DKDM/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies24 Mar
Johari: Thamini Kinachokupa Thamani
Kiukweli huyu ni moja kati ya wanawake wanaojituma na kufanya kazi kwenye tasnia hii ya Bongo Movies, amekuwa ni bora kwenye kucheza na kuongoza filamu nyingi, amewasidia wengi kutoboa kwenye tasnia kupitia kampuni yao ya RJ, utakubaliana na mimi huyu moja kati ya wanawake wanaojielewa sana kwenye tasnia, sio mwingine ni Blandina Chagula “Johari”.
Mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu matandaoni, akiwa ofisini kwake aliandika “Thamini kinachokupa thamani” huu ni ujumbe mzito sana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2IEYNAr0Eh7fon*meJeG3xmgj3IoeTZ9ls*T6pYKze4Rx7G0ocX7vnq7dlGd7RjyC3I07PaYy46Pn-H5STU8FE/KUTEMBEA.jpg?width=650)
ANA MIAKA 31, HAJAWAHI KUTEMBEA HATA SIKU MOJA
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Ronaldo ana thamani ya pauni milioni 300
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7MCf1RUFOft9txItklPcEs8MrXxvk4wFHlXMtvsIF57-1aYdgCVCQxLirPpmY0GTICrXkEqqv2kMssvPl--J97K/Johari.jpg)
JOHARI: SIHITAJI MUME STAA KAMA RAY