Johari: Thamini Kinachokupa Thamani
Kiukweli huyu ni moja kati ya wanawake wanaojituma na kufanya kazi kwenye tasnia hii ya Bongo Movies, amekuwa ni bora kwenye kucheza na kuongoza filamu nyingi, amewasidia wengi kutoboa kwenye tasnia kupitia kampuni yao ya RJ, utakubaliana na mimi huyu moja kati ya wanawake wanaojielewa sana kwenye tasnia, sio mwingine ni Blandina Chagula “Johari”.
Mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu matandaoni, akiwa ofisini kwake aliandika “Thamini kinachokupa thamani” huu ni ujumbe mzito sana...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies24 Nov
Hata Kama ni ‘Used’, Johari Ana Thamani Yake
NENO! Mwigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ameweka wazi kwamba wasanii wengi wachanga wamekuwa wakipenda kutumia jina la ‘used’ kwa wasanii wakongwe lakini kwa upande wake anajiona bado ana thamani kubwa.
Johari ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, japokuwa wanamuita ‘used’ lakini akisimama katika kucheza filamu, thamani yake inakuwa ni kubwa kwani kile anachokifanya anakifahamu vyema wala hawezi kutetereka.
“Sawa, mimi ni ‘used’ lakini thamani...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Ndoa ya Ustazi Juma na Johari yanukia. Asema Johari atakuwa mke wake wa pili
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo movies.
Kwa mujibu wa mtandao wa GPL zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.
“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini...
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Thamini ulivyo navyo, ufanikiwe zaidi
CHANGOMOTO kubwa kwa vijana wengi na maswali mengi tunayojiuliza ni kwa jinsi gani tunaweza kutengeneza mafaniko katika maisha yetu. Mtaalamu wa sayansi ya mafanikio, Napoleon hill katika kitabu chake think...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HEN55I5DKDM/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsukbo4pASH22mxbhSUzJTux3J-Of6JFmBLM-3lNHNCIfwkHONMDMGq5A664jHUQ8H*z0WuX-XqsBOK7P0lwptB7u/mahaba.jpg)
ACHA KUMUUMIZA MOYO WAKE, THAMINI HISIA ZAKE!-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yi0TCIBaEFWr7yBkJRgI5w00qargCSvXwUziSgiL7eutd5GxaBwbKTScBhMT2SHpeyCgoqMybSiotRmfKfrfshplnkGN7k-I/Mwenyekiti.jpg?width=650)
THAMINI KURA YAKO, TUNZA KADI UCHAGUE KIONGOZI ANAYEFAA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--QiP0_NgEJY/VDzBm1ub_0I/AAAAAAAGqY8/W-29JvgEvuk/s72-c/UZINDUZI.jpg)
WORD LUNG FOUNDATION NA SERIKALI YA MKOA WA KIGOMA WAZINDUA KAMPENI YA THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO NA MTOTO
SERIKALI ya Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Word Lung Foundation chini ya ufadhili wa Swedish Internatinol Agency (SIDA) wamezindua Mkoani hapa kampeni ya''THAMINI UHAI OKOA MAMA MJAMZITO NA MTOTO''
Mgeni rasmi katika uzinduzi huo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya alisema kuwa lengo la kampeni hiyo kuongeza na huduma kwa akina mama wajawazito waweze kujifungulia katika vituo vya huduma ya afya.
''Hawa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT0Gr3uZwggto*R-lgl6tO7qJJZ3nSTcTxtfvVT5cJc0wyNX5eUzrb9HLoQZYH*Ln0h829Mn9N1b7wzGdTvJBZ4v/UZINDUZI.jpg?width=650)
WORLD LUNG FOUNDATION NA SERIKALI YA MKOA WA KIGOMA WAZINDUA KAMPENI YA THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO NA MTOTO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPuf94ivEr9RAuSPvkAlJW2Orl8cWMsWjzLwZBTQJaDg7yOJ2fgnm20LSLily5nnhe0br8sC7DH2Zf5ilgkeFQJ1/johari.jpg)
JOHARI