WORLD LUNG FOUNDATION NA SERIKALI YA MKOA WA KIGOMA WAZINDUA KAMPENI YA THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO NA MTOTO
![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT0Gr3uZwggto*R-lgl6tO7qJJZ3nSTcTxtfvVT5cJc0wyNX5eUzrb9HLoQZYH*Ln0h829Mn9N1b7wzGdTvJBZ4v/UZINDUZI.jpg?width=650)
Wahudumu wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma maweni pamoja na wananchi wakitembea kwa maandamano kuelekea katika viwanja vya Sekondari ya Mwananchi Mkoani Kigoma kwaajili ya uzinduzi wa kampeni ya ''THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya akizindua kampeni ya ''THAMINI UHAI OKOA MAISHA MAMA MJAMZITO''katika viwanja vya… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--QiP0_NgEJY/VDzBm1ub_0I/AAAAAAAGqY8/W-29JvgEvuk/s72-c/UZINDUZI.jpg)
WORD LUNG FOUNDATION NA SERIKALI YA MKOA WA KIGOMA WAZINDUA KAMPENI YA THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO NA MTOTO
SERIKALI ya Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Word Lung Foundation chini ya ufadhili wa Swedish Internatinol Agency (SIDA) wamezindua Mkoani hapa kampeni ya''THAMINI UHAI OKOA MAMA MJAMZITO NA MTOTO''
Mgeni rasmi katika uzinduzi huo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya alisema kuwa lengo la kampeni hiyo kuongeza na huduma kwa akina mama wajawazito waweze kujifungulia katika vituo vya huduma ya afya.
''Hawa...
10 years ago
Dewji Blog08 May
World Lung Foundation yazindua mradi wa elimu kwa mtandao inayosaidia kuokoa maisha ya akina mama na watoto
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Rashid, akizindua mradi wa elimu kwa mtandao unaosaidia kuokoa maisha ya mama na mtoto ambao unaendeshwa na kusimamiwa na Shirika la World Lung Foundation (WLF) la hapa nchini, ambapo vituo vya Afya 13 vinanufaika na mradi huo.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Rashid (wapili kulia), akipiga makofi mara baada ya kuzindua mradi wa elimu kwa mtandao unaosaidia kuokoa maisha ya mama na mtoto ambao unaendeshwa na kusimamiwa na Shirika la World...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rOG9fmU9KOo/VWQlH0Jhh8I/AAAAAAAHZ4o/Czixuixjh98/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
WORLD LUNG FOUNDATION YAZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA UZAZI WA MPANGO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rOG9fmU9KOo/VWQlH0Jhh8I/AAAAAAAHZ4o/Czixuixjh98/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qIlr-b0EHWw/VWQlIHQv75I/AAAAAAAHZ4s/-I1-iAKUF5s/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TjgPuo53eHc/VBmqmkkYWiI/AAAAAAAGkKQ/kOaJ_-xB1V0/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Changia mafunzo ya wakunga, okoa maisha ya mama na mtoto - Amref health africa
![](http://1.bp.blogspot.com/-TjgPuo53eHc/VBmqmkkYWiI/AAAAAAAGkKQ/kOaJ_-xB1V0/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
GPLWORLD LUNG FOUNDATION YAZINDUA MRADI WA ELIMU KWA MTANDAO (E-LEARNING)
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini
Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.
Na Rabi Hume
Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...
9 years ago
Bongo Movies21 Aug
Mastaa Bongo movie wazindua kampeni ya ‘Mama Ongea na Mwanao’
Siku ya jana, Agosti 20 wasanii kutoka kwenye tasnia ya filamu nchini, Steve Nyerere, Wema Sepetu, Batuli, Snura, Wastara na wengineo wamezindua kampeni mpya iitwayo Mama Ongea Na Mwanao.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa kampeni hiyo Steve Nyerere akizungumza na waandishi wa habari alisema…‘Mimi kama Mwenyekiti wa Mama ongea na mwanao ni kwamba hii Mama ongea na mwanao nadhani mmeona tangu tumepata uhuru nchi yetu haijawahi kuwa na makamu urais mwanamke hii ni historia kwa Tanzania mimi na imani...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkacA*G3eQyx85e8V-Rn7*fRs13sKlCVChMNv6g*0vSWql70oOkxJZ6WjzssogcNO161gRn10y4DfIU6yZuPQ4w0r/SteveNyerereWemanawenzakewakiongeanawaandishijijini.jpg)
MASTAA WAZINDUA KAMPENI YA CCM ‘MAMA SEMA NA MWANAO’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qDVW2jk6RFo/Xqa6eExLT6I/AAAAAAALoUw/11O8w87eh7oFWEiYmEIwrqNi4HJRsl8rgCLcBGAsYHQ/s72-c/kanyasu2.jpg)
SERIKALI: UHAI WA BINADAMU UNA THAMANI KUBWA KULIKO UHAI WA WANYAMAPORI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qDVW2jk6RFo/Xqa6eExLT6I/AAAAAAALoUw/11O8w87eh7oFWEiYmEIwrqNi4HJRsl8rgCLcBGAsYHQ/s640/kanyasu2.jpg)
Akizungumza na viongozi wa vijiji vitano vinavyopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti katika wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Constantine Kanyasu amesema uhai wa binadamu una thamani kubwa na kamwe hauwezi kufananishwa na uhai wa wanyamapori
Amesema licha ya kuwa binadamu anaaminika kuwa akili kuliko...