MASTAA WAZINDUA KAMPENI YA CCM ‘MAMA SEMA NA MWANAO’
![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkacA*G3eQyx85e8V-Rn7*fRs13sKlCVChMNv6g*0vSWql70oOkxJZ6WjzssogcNO161gRn10y4DfIU6yZuPQ4w0r/SteveNyerereWemanawenzakewakiongeanawaandishijijini.jpg)
Steve Nyerere akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani). Wasanii waliokuwa kwenye kampeni hiyo wakiwa kwenye picha ya pamoja. Staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu na wasanii wenzake wa kike leo wamezindua Kampeni ya ‘Mama Sema na Mwanao’ ambayo itafanya tamasha kubwa lenye lengo la kuongea na vijana na litazunguka mikoa kumi ya Tanzania kwa ajili ya kuamsha vijana ikiwa ni moja ya sera za Chama Cha...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies21 Aug
Mastaa Bongo movie wazindua kampeni ya ‘Mama Ongea na Mwanao’
Siku ya jana, Agosti 20 wasanii kutoka kwenye tasnia ya filamu nchini, Steve Nyerere, Wema Sepetu, Batuli, Snura, Wastara na wengineo wamezindua kampeni mpya iitwayo Mama Ongea Na Mwanao.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa kampeni hiyo Steve Nyerere akizungumza na waandishi wa habari alisema…‘Mimi kama Mwenyekiti wa Mama ongea na mwanao ni kwamba hii Mama ongea na mwanao nadhani mmeona tangu tumepata uhuru nchi yetu haijawahi kuwa na makamu urais mwanamke hii ni historia kwa Tanzania mimi na imani...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-L-gxym0UdRU/VeFfAAJ20HI/AAAAAAAH0uw/MyUfvohKwhk/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
Rais Kikwete azindua Kampeni ya Mama Ongea na Mwanao
![](http://4.bp.blogspot.com/-L-gxym0UdRU/VeFfAAJ20HI/AAAAAAAH0uw/MyUfvohKwhk/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UDSryMQxxpE/VeFfACuAYFI/AAAAAAAH0uo/Ev_EQ6hCMo8/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi20 Aug
Wasanii kuipigia debe CCM na tamasha la MAMA ONGEA NA MWANAO 2015.
![Mwenyekiti Msaidizi wa Tamasha la MAMA ONGEA NA MWANAO 2015 litakaloipigia kampeni CCM, Wema Sepetu akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam juu ya tamasha na kampeni zao. Kutoka kulia ni Wellu Sengo (Matilda).](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_00061.jpg)
![Mwenyekiti Msaidizi wa Tamasha la MAMA ONGEA NA MWANAO 2015 litakaloipigia kampeni CCM, Wema Sepetu akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam juu ya tamasha na kampeni zao. Kulia ni Yobnesh Yusuph (Batuli) na kushoto ni Steve Mengele a.k.a Steve Nyerere wakiwa katika mkutano huo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_00041.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--QiP0_NgEJY/VDzBm1ub_0I/AAAAAAAGqY8/W-29JvgEvuk/s72-c/UZINDUZI.jpg)
WORD LUNG FOUNDATION NA SERIKALI YA MKOA WA KIGOMA WAZINDUA KAMPENI YA THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO NA MTOTO
SERIKALI ya Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Word Lung Foundation chini ya ufadhili wa Swedish Internatinol Agency (SIDA) wamezindua Mkoani hapa kampeni ya''THAMINI UHAI OKOA MAMA MJAMZITO NA MTOTO''
Mgeni rasmi katika uzinduzi huo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya alisema kuwa lengo la kampeni hiyo kuongeza na huduma kwa akina mama wajawazito waweze kujifungulia katika vituo vya huduma ya afya.
''Hawa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT0Gr3uZwggto*R-lgl6tO7qJJZ3nSTcTxtfvVT5cJc0wyNX5eUzrb9HLoQZYH*Ln0h829Mn9N1b7wzGdTvJBZ4v/UZINDUZI.jpg?width=650)
WORLD LUNG FOUNDATION NA SERIKALI YA MKOA WA KIGOMA WAZINDUA KAMPENI YA THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO NA MTOTO
9 years ago
Mwananchi13 Sep
CCM Zanzibar wazindua rasmi kampeni, Shein aahidi kudumisha mapinduzi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1DnqvKhO2zE/Ve1myq-cMYI/AAAAAAAH3CU/LP3YDS1ouBI/s72-c/IMG-20150907-WA0035.jpg)
CCM WAZINDUA KAMPENI JIMBO LA MLALO WILAYA YA LUSHOTO MWISHONI MWA WIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-1DnqvKhO2zE/Ve1myq-cMYI/AAAAAAAH3CU/LP3YDS1ouBI/s640/IMG-20150907-WA0035.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jn3oxLpIDo0/Ve1mw5urL8I/AAAAAAAH3B8/Uqo8-VxcSX8/s640/IMG-20150907-WA0029.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WeXYs851mJw/Ve1mxexIZwI/AAAAAAAH3CE/Tsc5C9XSvhI/s640/IMG-20150907-WA0030.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-g06DAd8pWgk/VfWk5jfawPI/AAAAAAAD7Ck/5xxu-p2p0Io/s72-c/1.jpg)
CCM ZANZIBAR WAZINDUA KAMPENI ZAO UWANJA WA DEMOKRASIA KIBANDA MAITI UNGUJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-g06DAd8pWgk/VfWk5jfawPI/AAAAAAAD7Ck/5xxu-p2p0Io/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wFMeLa6Cl_E/VfWk7mN7f0I/AAAAAAAD7DI/gbVIm7klNwE/s640/2.jpg)