CCM WAZINDUA KAMPENI JIMBO LA MLALO WILAYA YA LUSHOTO MWISHONI MWA WIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-1DnqvKhO2zE/Ve1myq-cMYI/AAAAAAAH3CU/LP3YDS1ouBI/s72-c/IMG-20150907-WA0035.jpg)
Katibu wa chama hicho wilayani Lushoto, ndugu Mahanyu, akizungumza wakati wa kuzindua kampeni za chama hicho katika viwanja vya Lwandai Mlalo wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga, akiwa na Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi,CCM jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi wishoni mwa wiki.
Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi,CCM jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi akisaini kitabu cha wageni alipowasili katika viwanja vya Lwandai Mlalo, kulia ni Mgombea wa udiwani wa kata ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXSl2s8NkHz4bXBkO6k973UcLHYwLI8JxrUt675icPcE3rTdBr7m5kjeRD2N-0qIn4-0NzVvQgG*2cPGeiMo3836/02.jpg?width=650)
NAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA(TAMISEMI)MH.KASSIM MAJALIWA AZINDUA RASMI KAMPENI YA FISTULA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
VijimamboMAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAFIKIA KILELE MJINI DODOMA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Viwanjani mwishoni mwa wiki
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Ray C kufanya shoo Kenya mwishoni mwa wiki
MWANAMUZIKI aliyepitia changamoto za matumizi ya dawa za kulevya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, mwishoni mwa wiki anatarajiwa kufanya onyesho nchini Kenya.
Onyesho hilo la kumrudisha mwanadada huyo aliyewahi kujizolea umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa kukata kiuno na kuimba litafanyika katika mji wa Malindi.
Umbo na uwezo wake wa kunengua kwa madoido na sauti nzuri aliyokuwa nayo ndivyo vilivyompa umaarufu kwa idadi kubwa ya wapenda burudani nchini Kenya, Uganda na Tanzania.
Lakini hata...
11 years ago
Michuzi17 Feb
WAZEE WA NGWASUMA WALIVYOWAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA MWISHONI MWA WIKI
![DSCF2780](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/4kmjN7xTPf20TTTqwx1y0cS5k01p2BCxX8ZyiCzghoxCZrwklYLpqITI5YIvIZZfpxWW29wbKaEPFWUKAo1PtzTS_lIYrRPwrrGI1W5fUbKyp5IFDNVK1Xq0aTwiTQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2780.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2770](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/VXHesam46xP_k5Isch4ZASILVf1P7Fusj89hJR40jdCc-ZcswK8ICCFbNJkMqN1lCa22Sc9rNCcRon8FsR1X0nBTQxLFX9u3vhta7BiXo4kf-LKb4i2RlO4Qvf64cQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2770.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2783](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/BBd_xO5q9hYFKA-2icj3dsLOdOn9t0sut6NuRgvdz0dbjbMasQLOpR8qsVP7BAT98LXBYcmXT9xP9T0BSFP-PpWT41EGl7Snxr8Mqhkxa9_uDsf_SAYQZ0ufCsmu-g=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2783.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2778](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/QDnp3ONur2FlRAUBdcO8bEKRfo1CqK58N2gVA-EW3SHzVWWqhXDHC9vASEoQCUEUpIL-XuZGox_Uv3uOcEGeZzmMNi1ZUS5k1SruXANfmBw-peCrAMUVA3LKoScUcA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2778.jpg?w=627&h=470)
10 years ago
GPLTIMU YA VODACOM YALALA 1-0 KWA CBA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
Hii ni zaidi ya burudani ya Tamasha la Tigo Welcome Pack wilayani Kahama mwishoni mwa wiki
Msanii wa vichekesho Lucas Mhavile a.k.a Joti akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa vichekesho Masanja akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa vichekesho mpoki akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa Bongo fleva Mwana FA akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gJ55FVSXTh8/VOIHCVxB12I/AAAAAAAHEBk/bOFQeTaf9ys/s72-c/pic%2B8.jpg)
AIRTEL YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA YATOSHA ZAIDI MKOANI MTWARA MWISHONI MWA WIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gJ55FVSXTh8/VOIHCVxB12I/AAAAAAAHEBk/bOFQeTaf9ys/s1600/pic%2B8.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh, Wilman Kapenjama akikabidi funguo ya gari kwa Mshindi wa Promosheni Airtel yatosha Zaidi mkoani Mtwara bw, Sefu Namtapika (60) ambae ni mwalimu mstaafu aliyeibuka na ushindi wa Toyota IST kupitia droo ya kwanza ya promosheni Yatosha zaidi inayoendesha na Airtel. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni toka kushoto nyuma ni Meneja mauzo wa Airtel mkoa wa Mtwara Bw, Batlomeo Masatu, Afisa Masoko wa Airtel Bi Aminata Keita, na Meneja Biashara wa kanda ya Pwani Bw Albert...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m2dop3vQlLmRrsOerQTtF4EZhtP*mW9MjxFbCVDymGXGbas8aviyS49*q85FmoX7vU1QZMZp6qUxIBMXN0UV08CJeFRK*nOw/pic8.jpg?width=750)
AIRTEL YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA YATOSHA ZAIDI MTWARA MWISHONI MWA WIKI