Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Changia mafunzo ya wakunga, okoa maisha ya mama na mtoto - Amref health africa

Mkurugenzi mkazi wa Amref Health Africa Dkt. Festus  Ilako akizungumzia maendeleo ya kampeni hiyo toka ilipozinduliwa mwaka 2011 na  uwatangaza mabalozi wapya wawili wa kampeni hiyo kuwa ni wasanii mashuhuri, Banana Zoro na Mwasiti Almasi  Nchini Tanzania, wanawake 7,900 hupoteza maisha kila mwaka wakati wa kujifungua. Zaidi ya asilimia 80 ya vifo hivi vingeweza kuepukika endapo wahudumu wa afya  wenye utaalamu wangetoa huduma kwa wakina mama wajawazito wakati wa kujifungua.  Kwa kuamini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

WORLD LUNG FOUNDATION NA SERIKALI YA MKOA WA KIGOMA WAZINDUA KAMPENI YA THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO NA MTOTO

Wahudumu wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma maweni pamoja na wananchi wakitembea kwa maandamano kuelekea katika viwanja vya Sekondari ya Mwananchi Mkoani Kigoma kwaajili ya uzinduzi wa kampeni ya ''THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya akizindua kampeni ya ''THAMINI UHAI OKOA MAISHA MAMA MJAMZITO''katika viwanja vya… ...

 

11 years ago

Michuzi

WORD LUNG FOUNDATION NA SERIKALI YA MKOA WA KIGOMA WAZINDUA KAMPENI YA THAMINI UHAI OKOA MAISHA YA MAMA MJAZITO NA MTOTO

Na Editha Karo wa Globu ya Jamii, Kigoma
SERIKALI ya Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Word Lung Foundation chini ya ufadhili wa Swedish Internatinol Agency (SIDA) wamezindua Mkoani hapa kampeni ya''THAMINI UHAI OKOA MAMA MJAMZITO NA MTOTO''
Mgeni rasmi katika uzinduzi huo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya alisema kuwa lengo la kampeni hiyo kuongeza na huduma kwa akina mama wajawazito waweze kujifungulia katika vituo vya huduma ya afya.
''Hawa...

 

11 years ago

Michuzi

Amref kuandaa hafla ya chakula cha jioni kuchangia mafunzo ya wakunga nchini Tanzania

Meneja Mradi Uboreshaji wa Uzazi Salama wa Chama cha Wakunga Tanzania (Tama), Martha Rimoy, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam leo, wakati Taasisi ya Amref Health Africa, ilipokuwa ikielezea kuhusu kuandaa hafla ya chakula cha jioni, Oktoba 9 kwenye Hoteli ya Serena, kwa ajili ya kuchangisha fedha za kufundishia wakunga ili kuokoa afya ya  mama na mtoto, katika kampeni ijulikanayo kama 'Stand up for African Mother'. Wengine pichani ni Mkurugenzi...

 

11 years ago

GPL

MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA -TANZANIA CHANGIA DAMU OKOA MAISHA

Bango kwa ajili ya uhamasichaji wa uchangiaji damu.
Hapa ni kwa aajili ya kupimwa presha, ushauri na kutolewa damu.
Hatua ya kwanza kwa mchangia damu.…

 

11 years ago

Dewji Blog

AMREF Health Africa Launch Its New Identity

Untitled 1

Country Director, AMREF, Dr. Festus Illako cutting the ribbon during the AMREF Health Africa launch new identity. The frame Ceremony held yesterday April 10, 2014 AMREF office in Dar es Salaam, Tanzania.

Country Director, AMREF, Dr. Festus Illako with Amref Health Africa staff during the new identity launch

AMREF, the leading international African organisation in health today rebranded to Amref Health Africa after 57 years as the African Medical and Research Foundation.

A key reason...

 

11 years ago

GPL

AMREF HEALTH AFRICA LAUNCH ITS NEW IDENTITY‏

Country Director, AMREF, Dr. Festus Illako cutting the ribbon during the AMREF Health Africa launch new identity. The frame Ceremony held yesterday April 10, 2014 AMREF office in Dar es Salaam, Tanzania.
Country Director, AMREF, Dr. Festus Illako with…

 

10 years ago

Michuzi

Amref Health Africa Appoints New Chief Executive Officer

Amref Health Africa has announced the appointment of Dr Githinji Gitahi as its new Chief Executive Officer. Dr Gitahi joined the organisation on June 1, 2015, and will be based at the global headquarters in Nairobi.
Making the announcement, the chair of Amref Health Africa’s International Board of Directors, Mr Omari Issa, said that Dr Gitahi was selected through an extensive, competitive international search and after a rigorous process of assessment, interviews and review of reports from...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani