Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


THAMINI KURA YAKO, TUNZA KADI UCHAGUE KIONGOZI ANAYEFAA

NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuandika haya nitakayoandika leo kwa manufaa ya nchi yangu ninayoipenda.Watanzania wote tuliojiandikisha tunatarajia kupiga kura Oktoba 25, mwaka huu. Kura ni kitendo cha kumchagua kiongozi ambaye wewe binafsi unaona atafaa kuongoza jamii katika ngazi fulani. Kitendo hicho hufanyika mara moja baada ya muda fulani kufuatana na jinsi mlivyojipangia wenyewe kisheria. Hapa kwetu huwa kila...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Warioba: Magufuli ndiye kiongozi anayefaa

WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema Tanzania ya sasa inahitaji kiongozi mwadilifu, mzalendo na mchapakakazi kama alivyo mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.

 

9 years ago

Mwananchi

Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wapiga kura waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura katika uchaguzi utakaofanyika nchini kote siku ya Jumapili.

 

10 years ago

Michuzi

KIONGOZI WA MWENGE AKABIDHI KADI ZA CHF KWA WAKINA MAMA JIJINI TANGA

Kiongozi wa mbio za Mwenge mwaka 2015,Khatib Chumu akimkabidhi kadi ya CHF Amina Mohamed kwenye viwanja vya Mkwakwani ambazo walikabidhi wakina mama waliolipiwa na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba ,Ummy Mwalimu (hayupo pichani). nyuma yake ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga(NHIF) Ally Mwakababu.Kiongozi wa mbio za Mwenge mwaka 2015,Khatib Chumu akimkabidhi kadi ya CHF Saumu Kombo mkazi wa Ngamiani jijini Tanga kwenye viwanja vya Mkwakwani kadi hizo ambazo walikabidhi...

 

9 years ago

Habarileo

DC akerwa na matapeli wa kadi za kura

MKUU wa wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, Majid Mwanga amewataka wananchi kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama juu ya watu wanaochukua vitambulisho vya kupigia kura kwani ni matapeli.

 

9 years ago

Mtanzania

Akamatwa na kadi 90 za kupigia kura

Na Elias Msuya

MWANAMKE aliyetambuliwa kwa jina la Salome Mahala, amekamatwa hivi karibuni katika Kata ya Nsimbo Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, akiandikisha namba za kadi za kupigia kura.

Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini, mwananchi wa kijiji cha Katumba wilayani humo, alisema Mahala alikamatwa Jumatatu asubuhi akiwa na kadi 93 alizokusanya kwa wananchi akidai anaandikisha wanachama wa CCM.

“Tumemkamata huyo mama na kumfikisha katika kituo cha polisi cha mkoa akiwa na...

 

9 years ago

Mtanzania

Kadi za kura zauzwa 100,000/-

voter*Wanaume wadaiwa kuiba za wake zao

 

NA ARODIA PETER, DAR ES SALAAM

ZIKIWA zimebaki siku 14 kabla ya Watanzania kupiga kura, baadhi ya watu katika Kisiwa cha Goziba wilayani Muleba mkoani Kagera wanadaiwa kununua vitambulisho vya kupigia kura vilivyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Wakazi wa kisiwa hicho walipiga simu katika gazeti la MTANZANIA wakimtuhumu mmoja wa wagombea udiwani wa Kata ya Goziba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Masaba Nkunami, kuwa ndiye kinara wa ununuzi huo...

 

9 years ago

Habarileo

Waaswa kutouza kadi za kupigia kura

WAKAZI wa mkoa wa Lindi wametakiwa kuzitunza kadi zao za kupigia kura na kukataa kurubuniwa ili waziuze, kwani wakifanya hivyo watashindwa kuwachagua viongozi wanaowataka.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC: Marufuku kutoa kadi ya kupigia kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeonya kwamba mtu yoyote haruhusiwi kutoa kadi yake ya kupigakura au taarifa za kadi hiyo kwa ndugu, jamaa au mwajiri wake.

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yadai kunasa kadi 36 za kupigia kura

Chadema Wilaya ya Bariadi kimedai kunasa kadi 36 za kupigia kura zilizokuwa zimetupwa kwenye gofu la nyumba moja mjini Bariadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani