Warioba: Magufuli ndiye kiongozi anayefaa
WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema Tanzania ya sasa inahitaji kiongozi mwadilifu, mzalendo na mchapakakazi kama alivyo mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Jul
Lipumba asema yeye ndiye anayefaa kutawala
WAKATI kitendawili cha sitofahamu cha uwezekano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kusimamisha mgombea mmoja wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa , Profesa Ibrahim Lipumba, ameibuka na kusema taifa linahitaji kuwa na kiongozi mwenye uwezo wa kuinua na kuboresha uchumi kupitia sekta ya viwanda na kilimo.
Alisema uchumi unaosimamiwa na viwanda na sekta ya kilimo ndiyo njia pekee itakayowezesha kuongeza ajira...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yi0TCIBaEFWr7yBkJRgI5w00qargCSvXwUziSgiL7eutd5GxaBwbKTScBhMT2SHpeyCgoqMybSiotRmfKfrfshplnkGN7k-I/Mwenyekiti.jpg?width=650)
THAMINI KURA YAKO, TUNZA KADI UCHAGUE KIONGOZI ANAYEFAA
9 years ago
Habarileo24 Oct
JK: Magufuli ndiye mshindi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amesema tayari mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli ameshashinda uchaguzi.
10 years ago
BBCSwahili12 Jul
9 years ago
Mtanzania23 Oct
Magufuli asema yeye ndiye mshindi
NA BAKARI KIMWANGA, CHALINZE
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema anajua yeye ndiye rais wa awamu ya tano na Watanzania wameshamhakikishia watamchagua keshokutwa wakati wa kupiga kura.
Kwa mujibu wa Dk. Magufuli, anajua Watanzania wamechoshwa na ahadi za uongo, na kwamba sasa wanahitaji ahadi za vitendo.
Dk. Magufuli aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika Chalinze, Mkoa wa Pwani.
“Watu wamechoshwa na ahadi za uongo na wanahitaji...
10 years ago
Habarileo14 Jul
Shein: Magufuli ndiye kiboko yao
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema uteuzi wa mgombea wa CCM katika nafasi ya rais wa Jamhuri ya Muungano katika uchaguzi mkuu, Dk John Magufuli ndio chaguo sahihi la kupambana na upinzani na kuleta ushindi katika CCM na kushika dola.
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Huyu ndiye aliyebuni nembo ya Magufuli
MIEZI michache kabla ya kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (C
Mwandishi Wetu
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BREAKINGNEWS31.gif)
BREAKING NEWS: DK. MAGUFULI NDIYE RAIS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/W-BK82a1GsuPmXwWvXnJN5KAm5VtXV5WmFaosWeG2OHkE8lj*z7HRCh3WSwLHXYswTYiJdLIvGPjeZciHwvyJO2dLdBmo0mP/13.gif)
MAGUFULI NDIYE MGOMBEA URAIS WA CCM 2015