Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba: Magufuli ndiye kiongozi anayefaa

WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema Tanzania ya sasa inahitaji kiongozi mwadilifu, mzalendo na mchapakakazi kama alivyo mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Lipumba asema yeye ndiye anayefaa kutawala

WAKATI kitendawili cha sitofahamu cha uwezekano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kusimamisha mgombea mmoja wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa , Profesa Ibrahim Lipumba, ameibuka na kusema taifa linahitaji kuwa na kiongozi mwenye uwezo wa kuinua na kuboresha uchumi kupitia sekta ya viwanda na kilimo.

Alisema uchumi unaosimamiwa na viwanda na sekta ya kilimo ndiyo njia pekee itakayowezesha kuongeza ajira...

 

10 years ago

GPL

THAMINI KURA YAKO, TUNZA KADI UCHAGUE KIONGOZI ANAYEFAA

NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuandika haya nitakayoandika leo kwa manufaa ya nchi yangu ninayoipenda.Watanzania wote tuliojiandikisha tunatarajia kupiga kura Oktoba 25, mwaka huu. Kura ni kitendo cha kumchagua kiongozi ambaye wewe binafsi unaona atafaa kuongoza jamii katika ngazi fulani. Kitendo hicho hufanyika mara moja baada ya muda fulani kufuatana na jinsi mlivyojipangia wenyewe kisheria. Hapa kwetu huwa kila...

 

9 years ago

Habarileo

JK: Magufuli ndiye mshindi

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amesema tayari mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli ameshashinda uchaguzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

CCM: Dr.John Magufuli ndiye !

Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM atakuwa ni daktari John Magufuli.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli asema yeye ndiye mshindi

mtz1FINALNA BAKARI KIMWANGA, CHALINZE

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema anajua yeye ndiye rais wa awamu ya tano na Watanzania wameshamhakikishia watamchagua keshokutwa wakati wa kupiga kura.

Kwa mujibu wa Dk. Magufuli, anajua Watanzania wamechoshwa na ahadi za uongo, na kwamba sasa wanahitaji ahadi za vitendo.
Dk. Magufuli aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika Chalinze, Mkoa wa Pwani.
“Watu wamechoshwa na ahadi za uongo na wanahitaji...

 

10 years ago

Habarileo

Shein: Magufuli ndiye kiboko yao

Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk Ali Mohammed Shein akiwapungia mkono wafuasi wa chama hicho mjini Zanzibar.RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema uteuzi wa mgombea wa CCM katika nafasi ya rais wa Jamhuri ya Muungano katika uchaguzi mkuu, Dk John Magufuli ndio chaguo sahihi la kupambana na upinzani na kuleta ushindi katika CCM na kushika dola.

 

9 years ago

Raia Mwema

Huyu ndiye aliyebuni nembo ya Magufuli

MIEZI michache kabla ya kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (C

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

GPL

BREAKING NEWS: DK. MAGUFULI NDIYE RAIS

Dk. John Pombe Magufuli. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa ndiye Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 8,882,935  sawa na asilimia 58.46%.

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI NDIYE MGOMBEA URAIS WA CCM 2015

MBUNGE wa Biharamulo Mashariki (CCM) na Waziri wa Ujenzi, Mhe. John Pombe Magufuli ameshinda katika uchaguzi wa kumpata mgombea urais wa CCM kwa mwaka 2015. Magufuli ameshinda baada ya kupata jumla ya kura 2104 sawa na 87.1%, Balozi Amina Salum Ali amepata kura 253 sawa na 10.5% na Dk. Asha-Rose Migiro 59 sawa na 2.4%. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda ndiye aliyepewa jukumu la kutangaza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani