MAGUFULI NDIYE MGOMBEA URAIS WA CCM 2015
![](http://api.ning.com/files/W-BK82a1GsuPmXwWvXnJN5KAm5VtXV5WmFaosWeG2OHkE8lj*z7HRCh3WSwLHXYswTYiJdLIvGPjeZciHwvyJO2dLdBmo0mP/13.gif)
MBUNGE wa Biharamulo Mashariki (CCM) na Waziri wa Ujenzi, Mhe. John Pombe Magufuli ameshinda katika uchaguzi wa kumpata mgombea urais wa CCM kwa mwaka 2015. Magufuli ameshinda baada ya kupata jumla ya kura 2104 sawa na 87.1%, Balozi Amina Salum Ali amepata kura 253 sawa na 10.5% na Dk. Asha-Rose Migiro 59 sawa na 2.4%. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda ndiye aliyepewa jukumu la kutangaza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-6rQQxuMFuZ0/VaI9GqNPwKI/AAAAAAABRjk/Nerkdx0-Ckk/s72-c/CJtKz-nUsAEsr4P.png)
MHE.JOHN MAGUFULI NDIYE MGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUPITIA CCM 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-6rQQxuMFuZ0/VaI9GqNPwKI/AAAAAAABRjk/Nerkdx0-Ckk/s640/CJtKz-nUsAEsr4P.png)
Dr. Asha Rose Migiro amepata jumla ya kura 59 sawa na na asilimia 2.4%
Balozi Amina Ali amepata jumla ya kura 253 sawa na asilimia 10.5%
Mhe. John Magufuli amepata jumla ya kura 2104 sawa na asilimia 87.1%
10 years ago
StarTV13 Jul
Dr.John Magufuli ndiye mgombea urais CCM.
Chama tawala nchini Tanzania Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza daktari John Magufuli kuwa mgombea wake wa kiti cha Urais katika uchaguzi mkuu wa ujao.
Daktari John Magufuli, alisajili asilimia 87 % ya kura za wajumbe, hiyo ikiwa ni kura 2104.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/12/150712095247_ccm_je__dr_john_magufuli__ndiye__624x351_bbc_nocredit.jpg)
Kwa mujibu wa akaunti ya twitter ya CCM ametapata asilimia 87% ya kura za wajumbe
Bi Amina Salulm Ali alimaliza katika nafasi ya pili akiwa na asilimia 10.5 % ya kura zote ikiwa ni sawa na kura 253.
Dk. Asha-Rose Migiro akijizolea asimilia tatu ya...
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Dk Magufuli ndiye mgombea wa urais kupitia CCM Uchaguzi Mkuu
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jty3nj3cM7M/VaEsr8NEYpI/AAAAAAABRho/0XuP9lIQgxQ/s72-c/CJo_IEpWsAAA-LO.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cgFeqyGylw4/VcC04r9_5zI/AAAAAAAAcCQ/omhO-aOQrNk/s72-c/c16.jpg)
PICHA: MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM DKT. JOHN MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA MH. SAMIA SULUHU WACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-cgFeqyGylw4/VcC04r9_5zI/AAAAAAAAcCQ/omhO-aOQrNk/s640/c16.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-283YW3zqPqY/VcC04hc0ZFI/AAAAAAAAcCM/6Yn8L0MksWw/s640/c17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1hklPGs6_4/VcC04dfGx7I/AAAAAAAAcCI/tK03pjoNSxE/s640/c18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dQMFnDG46-o/VcC050ISKbI/AAAAAAAAcCg/wczVQE642p4/s640/c19.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4K6YSo9YezA/VcC06IaqWuI/AAAAAAAAcCk/btgG3CzKLYc/s640/c20.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-C-vbmMMYATo/VcC06oLLGlI/AAAAAAAAcCo/Uf0oA3y06vw/s640/c21.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i0L0gdBbxR0/VcC06wBZ0uI/AAAAAAAAcCs/ilzWOvRdpY8/s640/c22.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mXP8dksn-Zk/VcC07ngiiFI/AAAAAAAAcC8/EDURRoHq4gc/s640/c23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vFq-Sn-LLws/VcC08FuPX5I/AAAAAAAAcDI/2JMLVef8exk/s640/c24.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s72-c/Magufuli.jpg)
Hotuba ya Dr John Pombe Magufuli kukubali kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s640/Magufuli.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kdMJYk0IcuI/XvOFyD83OcI/AAAAAAALvTI/Am3vXUyoQ7E5IcspwdvFkjmll2zWCL-bACLcBGAsYHQ/s72-c/1-47-2048x1353.jpg)
MREMA: RAIS MAGUFULI NDIYE MGOMBEA WETU WA URAIS UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kdMJYk0IcuI/XvOFyD83OcI/AAAAAAALvTI/Am3vXUyoQ7E5IcspwdvFkjmll2zWCL-bACLcBGAsYHQ/s640/1-47-2048x1353.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1b-2-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augistino Lyatonga Mrema akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka huu 2020.
*********************************
Na Mwandishi Wetu, MAELEZO,
DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party, Augustino Mrema amesema chama hicho kinaendelea na msimamo wake wa kumuunga mkono, Rais Dkt. John Magufuli kuwa mgombea wake wa nafasi ya...
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Mfahamu Magufuli mgombea urais wa CCM
10 years ago
Mwananchi16 Jan
‘CCM itateua mgombea bora wa urais 2015’