Mfahamu Magufuli mgombea urais wa CCM
Dr. John Pombe Pombe Joseph Magufuli Mgombea urais kupita CCM kitaaluma ni Mwalimu na mtalaamu wa Kemia aliyezaliwa October 29 mwaka 1959 huko Chato mkoani Kagera Kaskazini magharibi mwa Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
PICHA: MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM DKT. JOHN MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA MH. SAMIA SULUHU WACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS









10 years ago
GPL
MAGUFULI NDIYE MGOMBEA URAIS WA CCM 2015
10 years ago
StarTV13 Jul
Dr.John Magufuli ndiye mgombea urais CCM.
Chama tawala nchini Tanzania Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza daktari John Magufuli kuwa mgombea wake wa kiti cha Urais katika uchaguzi mkuu wa ujao.
Daktari John Magufuli, alisajili asilimia 87 % ya kura za wajumbe, hiyo ikiwa ni kura 2104.

Kwa mujibu wa akaunti ya twitter ya CCM ametapata asilimia 87% ya kura za wajumbe
Bi Amina Salulm Ali alimaliza katika nafasi ya pili akiwa na asilimia 10.5 % ya kura zote ikiwa ni sawa na kura 253.
Dk. Asha-Rose Migiro akijizolea asimilia tatu ya...
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Dk Magufuli ndiye mgombea wa urais kupitia CCM Uchaguzi Mkuu
10 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
MJUE KWA UNDANI MGOMBEA URAIS WA CCM, MHE. JOHN POMBE MAGUFULI
10 years ago
Michuzi
SAFARI YA KUJITAMBULISHA YA MGOMBEA URAIS WA CCM DKT MAGUFULI KUTOKA CHATO MPAKA DODOMA



10 years ago
Vijimambo
SAFARI YA KUJIMBULISHA YA MGOMBEA URAIS WA CCM DKT MAGUFULI KUTOKA CHATO MPAKA DODOMA



10 years ago
Michuzi
NEWS UPDATE: DKT. JOHN POMBE MAGUFULI NDIE MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM
