Shein: Magufuli ndiye kiboko yao
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema uteuzi wa mgombea wa CCM katika nafasi ya rais wa Jamhuri ya Muungano katika uchaguzi mkuu, Dk John Magufuli ndio chaguo sahihi la kupambana na upinzani na kuleta ushindi katika CCM na kushika dola.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 May
Mike Tee ndiye aliyeandika script ya video ya ‘Kiboko Yangu’ ya Mwana FA
Bila shaka unaikumbua video ya ‘Kiboko Yangu’ ya Mwana FA na Alikiba iliyofanyika nchini Kenya na kuongozwa na Kevin Bosco Jr na kutoka January 2015. Script ya video hiyo iliandikwa na rapper Mike Tee ambaye pia ana vipaji vingine vya kutengeneza muziki pamoja na kuongoza video za muziki. Mike Tee a.k.a Mnyalu ameelezea jinsi ilivyokuwa […]
9 years ago
VijimamboLowassa kiboko yao, Jangwani yatapika
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/d3SIRniMrCc/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo26 Jan
DIAMOND THE PLATNUMZ AWARUSHIA BURUNGUTU LA MAMILION MASHABIKI WAKE KWENYE TAMASHA LA TIGO KIBOKO YAO LEADERSCLUB
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-IAc-WM65IRo%2FVMSOENG8BcI%2FAAAAAAAAOwI%2FrF4IY1yWheE%2Fs640%2FPhotoGrid_1422167553805.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh3.ggpht.com%2F-Z6E7iXXV9DA%2FVMSOHxTbqQI%2FAAAAAAAAOwY%2FFE8pn-k2BQw%2Fs640%2FPhotoGrid_1422167628214.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
Magufuli ni kiboko
NA EVA-SWEET MUSIBA, BUNDA.
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amepunguza bei ya kivuko cha MV Mara kutoka sh. 2,000 hadi sh. 500 kwa mtu mmoja.
Magufuli pia ameamuru kivuko hicho kisiwatoze nauli wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanapokuwa wamevaa sare za shule.
Waziri huyo wa ujenzi alitoa agizo hilo jana baada ya kukizindua kivuko kipya cha MV Mara, kitakachoanza kufanya safari zake kutoka kijiji cha Mugala-Kwiramba wilaya ya Bunda kwenda Majita-Kurugee wilayani Butiama.
Kivuko...
9 years ago
MichuziMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
9 years ago
GPLMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akiwahutubia Viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Mjini Unguja na kuwaomba kumpigia Kura ya Ndio Mgombea wa Urais wa CCM Dk Ali Mohamed Shein na Mgombea Urais wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli na Wagombea wote wa CCM. Mke wa Rais wa Zanzibar akiwahutubia Viongozi wa UWT wa Mkoa wa Mjini Unguja wakati wa mkutano wake wa kampeni ya kumuombea...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jty3nj3cM7M/VaEsr8NEYpI/AAAAAAABRho/0XuP9lIQgxQ/s72-c/CJo_IEpWsAAA-LO.png)
9 years ago
Habarileo24 Oct
JK: Magufuli ndiye mshindi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amesema tayari mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli ameshashinda uchaguzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania