Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli ni kiboko


NA EVA-SWEET MUSIBA, BUNDA.
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amepunguza bei ya kivuko cha MV Mara kutoka sh. 2,000 hadi sh. 500 kwa mtu mmoja.
Magufuli pia ameamuru kivuko hicho kisiwatoze nauli wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanapokuwa wamevaa sare za shule.
Waziri huyo wa ujenzi alitoa agizo hilo jana baada ya kukizindua kivuko kipya cha MV Mara, kitakachoanza kufanya safari zake kutoka kijiji cha Mugala-Kwiramba wilaya ya Bunda kwenda Majita-Kurugee wilayani Butiama.
Kivuko...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Shein: Magufuli ndiye kiboko yao

Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk Ali Mohammed Shein akiwapungia mkono wafuasi wa chama hicho mjini Zanzibar.RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema uteuzi wa mgombea wa CCM katika nafasi ya rais wa Jamhuri ya Muungano katika uchaguzi mkuu, Dk John Magufuli ndio chaguo sahihi la kupambana na upinzani na kuleta ushindi katika CCM na kushika dola.

 

11 years ago

GPL

WEMA KIBOKO

Stori: Mwandishi Wetu
WEMA Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ ameonesha ni kiboko katika sekta ya urembo baada ya kuibuka kidedea kwenye shindano bab’ kubwa la kumsaka staa wa kike Bongo mwenye mvuto ‘Ijumaa Sexiest Girl 2013-14’. Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’akikabidhiwa tuzo ya ‘Ijumaa Sexiest Girl 2013-14’ na msanii Nikki wa Pili. Fainali za shindano hilo...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Ulimwengu, Samatta kiboko’

Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa amewapongeza washambuliaji wakeThomas Ulimwengu na Mbwana Samatta kwa kucheza vizuri licha ya kutopata muda wa kupumzika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyama ya Kiboko yawaletea maafa

Watu 10 waligongwa na gari na kufariki walipokuwa wanang'ang'ania nyama ya Kiboko Afrika Kusini

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga yasajili kiboko ya Niyonzima

issoufou-boubacar2Mshambuliaji, Issofou Boubacar.

Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofikia tamati Desemba 15, mwaka huu, Yanga imesajili wachezaji wawili tu, straika Paul Nonga na kiungo mshambuliaji, Issofou Boubacar ili kujiimarisha.

NIYONZIMANEW4Haruna Niyonzima.

Lakini jana Ijumaa asubuhi katika mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Yanga ilianza kumfanyia majaribio kiungo Sina Jerome aliyetokea Rayon Sports ya Rwanda.
Yanga inafanya hivyo ili kujiridhisha kuhusu uwezo wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiboko mbilikimo azaliwa Australia

Kiboko mbilikimo amezaliwa katika hifadhi moja ya wanyama nchini Australia

 

10 years ago

BBCSwahili

Raila Odinga ashambuliwa kwa kiboko

Hali ya taharuki iliibuka katika katika jimbo la Kwale nchini Kenya, baada ya mwanamume mmoja kumchapa Raila Odinga kwa kiboko

 

10 years ago

Mwananchi

Kiboko cha fedha za wahisani kituzindue

Hatimaye juzi wahisani wanaofadhili bajeti ya Serikali wamekubali kuruhusu zaidi ya Sh800 bilioni walizogoma kutoa, wakishinikiza Serikali kuchukua hatua stahiki kufuatia kashfa ya uchotwaji wa Sh306 bilioni katika akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Mwana FA f/ Alikiba — Kiboko Yangu

Mwana FA ameachia wimbo wake mpya aliomshirikisha Alikiba ‘Kiboko Yangu’. Isikilize hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani