Magufuli ni kiboko
NA EVA-SWEET MUSIBA, BUNDA.
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amepunguza bei ya kivuko cha MV Mara kutoka sh. 2,000 hadi sh. 500 kwa mtu mmoja.
Magufuli pia ameamuru kivuko hicho kisiwatoze nauli wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanapokuwa wamevaa sare za shule.
Waziri huyo wa ujenzi alitoa agizo hilo jana baada ya kukizindua kivuko kipya cha MV Mara, kitakachoanza kufanya safari zake kutoka kijiji cha Mugala-Kwiramba wilaya ya Bunda kwenda Majita-Kurugee wilayani Butiama.
Kivuko...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jul
Shein: Magufuli ndiye kiboko yao
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema uteuzi wa mgombea wa CCM katika nafasi ya rais wa Jamhuri ya Muungano katika uchaguzi mkuu, Dk John Magufuli ndio chaguo sahihi la kupambana na upinzani na kuleta ushindi katika CCM na kushika dola.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVWAKI6hZD7YDvhJFVsptWj96XLl-gNwpVlQBK05wmHXLe5BjGrfou5UON9rg3IjpLC9iTUkmpISQrZvTTOlm4yY/wema.jpg?width=650)
WEMA KIBOKO
9 years ago
Mwananchi09 Oct
‘Ulimwengu, Samatta kiboko’
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Nyama ya Kiboko yawaletea maafa
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Yanga yasajili kiboko ya Niyonzima
Mshambuliaji, Issofou Boubacar.
Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofikia tamati Desemba 15, mwaka huu, Yanga imesajili wachezaji wawili tu, straika Paul Nonga na kiungo mshambuliaji, Issofou Boubacar ili kujiimarisha.
Haruna Niyonzima.
Lakini jana Ijumaa asubuhi katika mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Yanga ilianza kumfanyia majaribio kiungo Sina Jerome aliyetokea Rayon Sports ya Rwanda.
Yanga inafanya hivyo ili kujiridhisha kuhusu uwezo wa...
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Kiboko mbilikimo azaliwa Australia
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Raila Odinga ashambuliwa kwa kiboko
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Kiboko cha fedha za wahisani kituzindue
10 years ago
Bongo522 Oct
New Music: Mwana FA f/ Alikiba — Kiboko Yangu