Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEMA KIBOKO

Stori: Mwandishi Wetu
WEMA Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ ameonesha ni kiboko katika sekta ya urembo baada ya kuibuka kidedea kwenye shindano bab’ kubwa la kumsaka staa wa kike Bongo mwenye mvuto ‘Ijumaa Sexiest Girl 2013-14’. Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’akikabidhiwa tuzo ya ‘Ijumaa Sexiest Girl 2013-14’ na msanii Nikki wa Pili. Fainali za shindano hilo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Magufuli ni kiboko


NA EVA-SWEET MUSIBA, BUNDA.
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amepunguza bei ya kivuko cha MV Mara kutoka sh. 2,000 hadi sh. 500 kwa mtu mmoja.
Magufuli pia ameamuru kivuko hicho kisiwatoze nauli wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanapokuwa wamevaa sare za shule.
Waziri huyo wa ujenzi alitoa agizo hilo jana baada ya kukizindua kivuko kipya cha MV Mara, kitakachoanza kufanya safari zake kutoka kijiji cha Mugala-Kwiramba wilaya ya Bunda kwenda Majita-Kurugee wilayani Butiama.
Kivuko...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Ulimwengu, Samatta kiboko’

Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa amewapongeza washambuliaji wakeThomas Ulimwengu na Mbwana Samatta kwa kucheza vizuri licha ya kutopata muda wa kupumzika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiboko mbilikimo azaliwa Australia

Kiboko mbilikimo amezaliwa katika hifadhi moja ya wanyama nchini Australia

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga yasajili kiboko ya Niyonzima

issoufou-boubacar2Mshambuliaji, Issofou Boubacar.

Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofikia tamati Desemba 15, mwaka huu, Yanga imesajili wachezaji wawili tu, straika Paul Nonga na kiungo mshambuliaji, Issofou Boubacar ili kujiimarisha.

NIYONZIMANEW4Haruna Niyonzima.

Lakini jana Ijumaa asubuhi katika mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Yanga ilianza kumfanyia majaribio kiungo Sina Jerome aliyetokea Rayon Sports ya Rwanda.
Yanga inafanya hivyo ili kujiridhisha kuhusu uwezo wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyama ya Kiboko yawaletea maafa

Watu 10 waligongwa na gari na kufariki walipokuwa wanang'ang'ania nyama ya Kiboko Afrika Kusini

 

11 years ago

GPL

JUISI YA MAJANI YA PAPAI: KIBOKO YA DENGUE

Ugonjwa wa Homa ya Dengue (dengi) umeibuka nchini katika siku za hivi karibuni na kuwa tishio. Ripoti za awali kuhusu Dengi kwa mwaka huu, ziliibuka kwa kishindo baada ya kuwakumba hadi wasanii maarufu. Ni ugonjwa ambao umekuwepo kwa miaka mingi na huwa unajirudia mara kwa mara, lakini kwa mwaka huu umekuja kwa kishindo zaidi. Ugonjwa huu husumbua sana katika nchi za Asia zenye watu wengi, hasa nchini Malyasia ambako imeelezwa...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Mwana FA f/ Alikiba — Kiboko Yangu

Mwana FA ameachia wimbo wake mpya aliomshirikisha Alikiba ‘Kiboko Yangu’. Isikilize hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiboko cha fedha za wahisani kituzindue

Hatimaye juzi wahisani wanaofadhili bajeti ya Serikali wamekubali kuruhusu zaidi ya Sh800 bilioni walizogoma kutoa, wakishinikiza Serikali kuchukua hatua stahiki kufuatia kashfa ya uchotwaji wa Sh306 bilioni katika akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Mwananchi

Masanduku ya kura, kiboko ya vyama vikongwe

Makala haya yanaakisi nini mtizamo wangu kuhusu masuala ya vijana na amani. Binafsi naamini kuwa wanasiasa hawapaswi kuwatumia vijana vibaya kwa sababu vijana wetu wengi hawana elimu, hawajui lolote na wanaburuzika kirahisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani