Lowassa kiboko yao, Jangwani yatapika
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema kupitia Ukawa, Mh Edward Lowassa akiongea na wakazi wa jiji la Dar waliojitokeza katika uzinduzi wa Kampeni za Ukawa katika viwanja vya Jangwani mapema leo.Mh Lowassa amesema kipaumbele chake kimoja wapo ni Elimu huku akisisitiza kuwa kampeni zao zitakuwa ni za busara na hekima bila kutumia matusi.
Mke wa Mgombea Urais kupitia Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Mama Regina Lowassa akitoa salamu kwa wakazi wa Jiji la Dar Waliojitokeza katika uzinduzi wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog30 Aug
Uzinduzi wa kampeni za UKAWA, Jangwani yatapika
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-QTCsqUg4u0w/Ve3RqJ96FiI/AAAAAAAAY9o/dyIrD-gGWzM/s72-c/OTH_8093.jpg)
LOWASSA "AITIKISA" TENA DAR, KIBAMBA YATAPIKA PEOPLE'S WAMWAMBIA "ULIPO TUPO"
![](http://1.bp.blogspot.com/-QTCsqUg4u0w/Ve3RqJ96FiI/AAAAAAAAY9o/dyIrD-gGWzM/s640/OTH_8093.jpg)
10 years ago
Habarileo14 Jul
Shein: Magufuli ndiye kiboko yao
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema uteuzi wa mgombea wa CCM katika nafasi ya rais wa Jamhuri ya Muungano katika uchaguzi mkuu, Dk John Magufuli ndio chaguo sahihi la kupambana na upinzani na kuleta ushindi katika CCM na kushika dola.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/d3SIRniMrCc/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo26 Jan
DIAMOND THE PLATNUMZ AWARUSHIA BURUNGUTU LA MAMILION MASHABIKI WAKE KWENYE TAMASHA LA TIGO KIBOKO YAO LEADERSCLUB
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-IAc-WM65IRo%2FVMSOENG8BcI%2FAAAAAAAAOwI%2FrF4IY1yWheE%2Fs640%2FPhotoGrid_1422167553805.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh3.ggpht.com%2F-Z6E7iXXV9DA%2FVMSOHxTbqQI%2FAAAAAAAAOwY%2FFE8pn-k2BQw%2Fs640%2FPhotoGrid_1422167628214.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
Serikali yamzuia Lowassa Jangwani:
Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]
The post Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Aug
NEC;Lowassa Ruhsa Jangwani
Time ya uchaguzi ya Tanzania imeruhusu UKAWA kutumia viwanja vya jangwani kupinga amri ya manispaa ya ilala kuzuia uwanja huo. HABARI ZAIDI zitafuata
The post NEC;Lowassa Ruhsa Jangwani appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Magufuli Jangwani, Lowassa Taifa
KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu zinaanza rasmi mwishoni mwa wiki hii ambapo wagombea wa vya
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani:
Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]
The post Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.