Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani:

Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]

The post Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Serikali yamzuia Lowassa Jangwani:

Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]

The post Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

NEC;Lowassa Ruhsa Jangwani

Time ya uchaguzi ya Tanzania imeruhusu UKAWA kutumia viwanja vya jangwani kupinga amri ya manispaa ya ilala kuzuia uwanja huo. HABARI ZAIDI zitafuata

The post NEC;Lowassa Ruhsa Jangwani appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli Jangwani, Lowassa Taifa

KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu zinaanza rasmi mwishoni mwa wiki hii ambapo wagombea wa vya

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Vijimambo

Lowassa kiboko yao, Jangwani yatapika

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema kupitia Ukawa, Mh Edward Lowassa akiongea na wakazi wa jiji la Dar waliojitokeza katika uzinduzi wa Kampeni za Ukawa katika viwanja vya Jangwani mapema leo.Mh Lowassa amesema kipaumbele chake kimoja wapo ni Elimu huku akisisitiza kuwa kampeni zao zitakuwa ni za busara na hekima bila kutumia matusi.Mke wa Mgombea Urais kupitia Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Mama Regina Lowassa akitoa salamu kwa wakazi wa Jiji la Dar Waliojitokeza katika uzinduzi wa...

 

9 years ago

GPL

CCM WAFUNIKA JANGWANI, DAR

Umati wa wanachama wa CCM wakiwa katika mkutano huo. Screen kubwa iliyofungwa jukwaani kwa ajili ya kutoa matukio live kwa walio mbali. Bendera za CCM zikiwa zimezunguka uwanjani hapo.…

 

9 years ago

Mwananchi

Fainali: CCM siri, Ukawa Jangwani

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 zikibakiza majuma matatu, vyama viwili vikubwa vimeanza kucheza karata zake kwa uangalifu, huku fainali ikisubiriwa siku ya kufunga kampeni Oktoba 24 kwa kuwahi viwanja na televisheni za kurusha matangazo ya moja kwa moja.

 

9 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA UFUNGUZI WA KAMPENI YA CCM JANGWANI JIJINI DAR

Umati wa wanachama wa CCM wakiwa katika mkutano huo.Screen kubwa iliyofungwa jukwaani kwa ajili ya kutoa matukio live kwa walio mbali.Bendera za CCM zikiwa zimezunguka uwanjani hapo.Wanachama wa CCM wakishangilia mara baada ya kuwasili Jangwani.Wana CCM wakiingia kwa mbwebwe uwanjani.Bango kubwa la mgombea urais kupitia CCM, John Magufuli likiwa pembezoni mwa viwanja vya Jangwani.Wanachuo mbalimbali wakiingia viwanja vya Jangwani.Msululu wa wanachama wa CCM wakiingia uwanjani.  Picha kwa...

 

9 years ago

Vijimambo

ILIKUA NI FUNGA KAZI MKUTANO WA CCM JANGWANI LEO

 Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia  wakazi wa jiji la Dar es Salaam kwenye mkutano wa kampeni za Chama Cha Mapinduzi.  Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikweteakimnadi mgombea wa urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye viwanja vya Jangwani Dar es Salaam. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani