Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yamzuia Lowassa Jangwani:

Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]

The post Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani:

Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]

The post Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

NEC;Lowassa Ruhsa Jangwani

Time ya uchaguzi ya Tanzania imeruhusu UKAWA kutumia viwanja vya jangwani kupinga amri ya manispaa ya ilala kuzuia uwanja huo. HABARI ZAIDI zitafuata

The post NEC;Lowassa Ruhsa Jangwani appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli Jangwani, Lowassa Taifa

KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu zinaanza rasmi mwishoni mwa wiki hii ambapo wagombea wa vya

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Vijimambo

Lowassa kiboko yao, Jangwani yatapika

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema kupitia Ukawa, Mh Edward Lowassa akiongea na wakazi wa jiji la Dar waliojitokeza katika uzinduzi wa Kampeni za Ukawa katika viwanja vya Jangwani mapema leo.Mh Lowassa amesema kipaumbele chake kimoja wapo ni Elimu huku akisisitiza kuwa kampeni zao zitakuwa ni za busara na hekima bila kutumia matusi.Mke wa Mgombea Urais kupitia Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Mama Regina Lowassa akitoa salamu kwa wakazi wa Jiji la Dar Waliojitokeza katika uzinduzi wa...

 

10 years ago

GPL

LULU MASOMO YAMZUIA KUJIRUSHA

Imelda Mtema
STAA wa filamu  Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekiri kuwa ubize wake katika masomo umemzuia kwa kiasi kikubwa kupata muda wa kufikiria mambo ya kijinga na hata kujirusha. Staa wa filamu  Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akichonga na paparazi wetu juzikati, Lulu alisema mtu akisimamia kwenye masomo hawezi kuwa na mawazo mabovu kama ya kwenda kujirusha au kupata kilevi badala yake...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shule Yamzuia Lulu Kujirusha

Staa  mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekiri kuwa ubize wake katika masomo umemzuia kwa kiasi kikubwa kupata muda wa kufikiria mambo ya kijinga na hata kujirusha.

Akiongea na paparazi wa GPL, Lulu alisema mtu akisimamia kwenye masomo hawezi kuwa na mawazo mabovu kama ya kwenda kujirusha au kupata kilevi badala yake unajikuta ukifikiria masomo na mitihani tu.

“Jamani kama mimi sasa hivi sina hata ninachokiwaza zaidi ya masomo yangu na mitihani ninayokutana nayo yaani...

 

10 years ago

BBCSwahili

icc yamzuia Gbabo kumzika mamake

Majaji katika mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai na uhalifu wa kivita huko The Hague,yamzuia Gbabo kumzika mamake.

 

11 years ago

GPL

Uganda yamzuia Okwi kuzungumza na Yanga

Mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya kauli ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji kuwa klabu hiyo inamdai mamilioni ya fedha mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi kutokana na kushindwa kuitumikia timu hiyo kwa wakati mara baada ya kusajiliwa, suala hilo sasa limewekwa kiporo. Katibu Mkuu wa Yanga, Beno Njovu ameliambia Championi Ijumaa kuwa, bado hawajaamua cha kufanya juu ya Okwi kwa kuwa wanamsubiri...

 

11 years ago

GPL

SIMBA YAMZUIA LOGA KURUDI KWAO

Kocha wao mkuu, Zdravko Logarusic. Na Nicodemus Jonas
UONGOZI wa Klabu ya Simba umegoma kumpa ruhusa ya kupumzika kocha wao mkuu, Zdravko Logarusic, baada ya kocha huyo kuomba mapumziko ya muda. Msemaji wa Simba, Asha Muhaji, amesema Loga aliomba likizo fupi wiki kadhaa zilizopita, lakini ikashindikana kutokana na ratiba ya ligi kubana.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani