Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


icc yamzuia Gbabo kumzika mamake

Majaji katika mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai na uhalifu wa kivita huko The Hague,yamzuia Gbabo kumzika mamake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa Simba amlilia mamake

Mtoto wa simba aliwaongoza askari wa kulinda wanyama kwenda ulipo mwili wa mama yake ambaye alikuwa ameuawa mbugani India

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka 2 amuokoa mamake

Mtoto mwenye umri wa miaka 2 pekee amepokea sifa kedekede kwa kuokoa maisha ya mamake kwa kuwapigia simu wahudumu wa afya baada ya mamake kuzimia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamake Beyoncé Knowles,Tina 61, aolewa

Mamake Beyonce Knowles,Tina 61,ameolewa kwa mara ya pili kwa mchumba wake Richard Lawson.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afariki baada ya kukanyagwa na gari la mamake

Mtoto mwenye umri wa miaka sita amefariki baada ya kukanywagwa na gari la mamake aliyekuwa analiegesha mjini London

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka 12 ataka kumuua mamake kisa ?

Mtoto wa miaka 12 ameshtakiwa kwa jaribio la kumuua mamake kwa kumpokonya iphone

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamume akataa kumpigia mamake kura India

Mwanamume mmoja nchini India ameshangaza wengi baada ya kukataa kumpigia kura mamake uchaguzini.

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC:''Yebei aliwahonga mashahidi ICC''

Mahakama ya ICC inadai kuwa shahidi aliyeuawa aliwahonga mashahidi wengine. Na Emmanul Igunza

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Serikali yamzuia Lowassa Jangwani:

Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]

The post Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Bongo Movies

Shule Yamzuia Lulu Kujirusha

Staa  mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekiri kuwa ubize wake katika masomo umemzuia kwa kiasi kikubwa kupata muda wa kufikiria mambo ya kijinga na hata kujirusha.

Akiongea na paparazi wa GPL, Lulu alisema mtu akisimamia kwenye masomo hawezi kuwa na mawazo mabovu kama ya kwenda kujirusha au kupata kilevi badala yake unajikuta ukifikiria masomo na mitihani tu.

“Jamani kama mimi sasa hivi sina hata ninachokiwaza zaidi ya masomo yangu na mitihani ninayokutana nayo yaani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani