Mwanamume akataa kumpigia mamake kura India
Mwanamume mmoja nchini India ameshangaza wengi baada ya kukataa kumpigia kura mamake uchaguzini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Soulja Boy kumpigia kura Kanye West
CALFONIA, Marekani
MSANII wa muziki wa rap nchini Marekani, Deandre Cortez maarufu Soulja Boy, ameweka wazi maamuzi yake ya kumpigia kura ya ndiyo rapa, Kanye West, endapo atafanikiwa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha urais mwaka 2020.
Soulja Boy alisema ana imani kubwa na Kanye West na siyo kweli kwamba analipa fadhila mara baada ya Kanye West kumtetea dhidi ya mkongwe wa muziki wa rap, Ice-T alipomponda kwa madai kwamba hajui kurap.
“Nimebahatika kuwa karibu na Kanye West, jamaa ana akili...
10 years ago
Bongo508 Dec
Video: Mtazame Happiness Watimanywa akifafanua jinsi ya kumpigia kura
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Shytown waombwa kumpigia kura kwa wingi NASSIB FONABO BSS 2015
Mshiriki wa Shindano la BSS 2015, Nassib Fonabo pichani
Na Andrew Chale-modewjiblog
Wadau wa Mkoa wa Shinyanga wameombwa kujitokeza kwa wingi kumpigia kura Nassib Fonabo ambaye ni mwakilishi pekee anayeiwakilisha Mkoa katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS) kwa mwaka huu wa 2015.
Fonabo ambaye anatumia namba BSS 103, Ambapo unaweza kumpigia kura kwa wingi kwa kuandika BSS103 kwenda namba 15522. Kumpigia kura kwa wingi Fonabo zitamwezesha kijana huyo kuwa na nafasi...
10 years ago
Bongo517 Oct
BBA Hotshots: Endelea kumpigia kura Laveda wa Tanzania kumuokoa asitoke Jumapili hii
10 years ago
Bongo505 Dec
Idris kushinda $300,000 za Big Brother Jumapili hii? Afrika Mashariki yajiunga kumpigia kura kwa fujo!
11 years ago
Michuzi31 Jul
HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA
![IMG-20140727-WA0011](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG-20140727-WA0011.jpg)
Mpigie Kura Miss Tanzania USA, Joy Kalemera anayeshiriki kinyang'ayiro cha kumtafuta Miss Africa USA. Mtangazaji wa Mimi Na Tanzania Hoyce Temu ambaye pia ni Miss Tanzania 1999 yupo nchini Marekani na amefanya mahojiano na mrembo huyo.Usikose kuangalia marudio ya mahojiano hayo kwenye kipindi cha "Mimi na Tanzania" Jumamosi ya tarehe 2 August ,2014...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG-20140727-WA0011.jpg?width=600)
HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Mtoto wa Simba amlilia mamake
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Mtoto wa miaka 2 amuokoa mamake