Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Mtazame Happiness Watimanywa akifafanua jinsi ya kumpigia kura

Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa ambaye kwa sasa yupo kwenye kinyang’anyiro cha Miss World nchini Uingereza, amewatumia ujumbe Watanzania jinsi anavyoendelea na mashindapo pamoja njia za kumfanya aibuke kidedea na taji hilo. Pia ameaitumia ujumbe Bongo5 akisema: Asanteni sana kwa wote mnaoendelea kuniunga mkono. Hadi sasa tunafanya vizuri Miss World. Tunaweza kufanya vizuri zaidi.”

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Miss World 2014: Tazama utambulisho wa Happiness Watimanywa (Video)

Mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Miss World 2014, Happiness Watimanywa amewasili jijini London, Uingereza kwaajili ya shindano hilo. “Ndugu zangu Watanzania, I am safe in London for Miss World 2014. I am immensely honoured to represent my country Tanzania,” amesema Happy. Miss World 2014, ambalo ni shindano la 64, litafanyika December 14 jijini London. […]

 

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Watanzania tumpe support Miss Tanzania Happiness Watimanywa kwenye shindano la Miss World 2014‏‎

MISS TANZANIA 2014

 Happiness Watimanywa (20) aliyekuwa Redds Miss Tanzania 2013 sasa yuko jijini London Uingereza kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World 2014.

Happiness ambaye kwa sasa anashikilia taji la Miss World Tanzania 2014 amesema ana kila sababu ya kurudisha taji nyumbani ikiwa watanzania watamuunga mkono kwa kusambaza video zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

“Hebu angalia uzuri wa taifa letu, amani, upendo na vivutio mbalimbali vya utalii. Hebu niangalie na mimi...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPINESS WATIMANYWA AWASHUKURU WATANZANIA

Na Hans MloliALIYEKUWA mshiriki wa Miss World 2014 kutoka Tanzania, Happiness Watimanywa, amerudisha fadhila kwa Watanzania.Pamoja ya kwamba Happiness hakubahatika kuwemo kwenye 10 bora ya washiriki waliokuwa kwenye kinyang’anyiro hicho ambapo taji lilikwenda kwa Rolene Strauss wa Afrika Kusini, lakini alibahatika kushika namba mbili kwenye kipengele cha People’s Choice Awards kati ya washiriki 121 waliokuwa wakishiriki na namba moja ikatua kwa mshiriki wa Thailand, Maeya...

 

10 years ago

Michuzi

WATANZANIA TUMPE SUPPORT MISS TANZANIA HAPPINESS WATIMANYWA KWENYE SHINDANO LA MISS WORLD 2014‏‎


    Happiness Watimanywa (20) aliyekuwa Redds Miss Tanzania 2013 sasa yuko jijini London Uingereza kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World 2014. Happiness ambaye kwa sasa anashikilia taji la Miss World Tanzania 2014 amesema ana kila sababu ya kurudisha taji nyumbani ikiwa watanzania watamuunga mkono kwa kusambaza video zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii."Hebu angalia uzuri wa taifa letu, amani, upendo na vivutio mbalimbali vya utalii. Hebu niangalie na mimi...

 

10 years ago

GPL

WATIMANYWA AWASHUKURU WATANZANIA KWA KURA

Miss Tanzania 2013/14, Happiness Watimanywa akiwashukuru watanzabia kupitia kikao chake na waandishi wa Habari kilichofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Habari Maelezo Posta jijini Dar es Salaam. Miss namba mbili 2014/15 Jihan Dimack (kushoto), akiwa na Happiness Watimanywa wakati alipokuwa akiwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura katika Ukumbi wa Habari Maelezo Posta jijini Dar es Salaam.… ...

 

9 years ago

Mtanzania

Soulja Boy kumpigia kura Kanye West

2011 American Music Awards - ArrivalsCALFONIA, Marekani

MSANII wa muziki wa rap nchini Marekani, Deandre Cortez maarufu Soulja Boy, ameweka wazi maamuzi yake ya kumpigia kura ya ndiyo rapa, Kanye West, endapo atafanikiwa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha urais mwaka 2020.

Soulja Boy alisema ana imani kubwa na Kanye West na siyo kweli kwamba analipa fadhila mara baada ya Kanye West kumtetea dhidi ya mkongwe wa muziki wa rap, Ice-T alipomponda kwa madai kwamba hajui kurap.

“Nimebahatika kuwa karibu na Kanye West, jamaa ana akili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani