WATIMANYWA AWASHUKURU WATANZANIA KWA KURA
Miss Tanzania 2013/14, Happiness Watimanywa akiwashukuru watanzabia kupitia kikao chake na waandishi wa Habari kilichofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Habari Maelezo Posta jijini Dar es Salaam. Miss namba mbili 2014/15 Jihan Dimack (kushoto), akiwa na Happiness Watimanywa wakati alipokuwa akiwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura katika Ukumbi wa Habari Maelezo Posta jijini Dar es Salaam.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL07 Jan
10 years ago
VijimamboHAPPINESS WATIMANYWA AWASHUKURU WATANZANIA
5 years ago
MichuziRAIS DKT MAGUFULI AWASHUKURU WATANZANIA KWA KULIOMBEA TAIFA
Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 24, 2020) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati akizungumza na waumini wa dini ya kiislam mara baada ya kumaliza kuswali sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. Pia Rais Dkt. Magufuli amewashukuru...
5 years ago
MichuziRais Magufuli awashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuomba dhidi ya Corona
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt....
10 years ago
Bongo508 Dec
Video: Mtazame Happiness Watimanywa akifafanua jinsi ya kumpigia kura
10 years ago
GPLDIAMOND AWASHUKURU WATANZANIA
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Lilian awashukuru Watanzania
NA MWANDISHI WETU
MREMBO aliyeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia yaliyofanyika juzi Sanya nchini China, Lilian Kamazima, amewashukuru Watanzania kwa kumuunga mkono toka alipoanza safari yake ya urembo hapa nyumbani hadi kuingia kwenye kumi bora ya warembo wa dunia wenye mchango kwa jamii.
Akitoa shukrani zake, Lilian alisema licha ya kuwa mpweke ila sapoti ya Watanzania hasa kwenye mitandao ya kijamii katika upigaji kura ulimfanya ajihisi yupo nyumbani na kuna watu...
10 years ago
Habarileo29 Aug
Rais Burundi awashukuru Watanzania
RAIS wa Burundi, Pierre Nkurunzinza, amewashukuru Watanzania wote kwa mchango wao mkubwa katika kuleta amani na utulivu katika nchi hiyo, akisisitiza kuwa hakuna nchi nyingine duniani imechangia amani kwa Burundi kama Tanzania.
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Kocha;Taifa Stars awashukuru watanzania