Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lilian awashukuru Watanzania

lilian_kamazimaNA MWANDISHI WETU

MREMBO aliyeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia yaliyofanyika juzi Sanya nchini China, Lilian Kamazima, amewashukuru Watanzania kwa kumuunga mkono toka alipoanza safari yake ya urembo hapa nyumbani hadi kuingia kwenye kumi bora ya warembo wa dunia wenye mchango kwa jamii.

Akitoa shukrani zake, Lilian alisema licha ya kuwa mpweke ila sapoti ya Watanzania hasa kwenye mitandao ya kijamii katika upigaji kura ulimfanya ajihisi yupo nyumbani na kuna watu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIAMOND AWASHUKURU WATANZANIA

Diamond akisikiliza masali kutoka kwa waandishi wa habari. … Akijibu maswali. …Bab Tale akiwakaribisha waandishi wa habari (hawapo pichani) muda mfupi kabla ya kuanza kwa mkutano huo.…

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPINESS WATIMANYWA AWASHUKURU WATANZANIA

Na Hans MloliALIYEKUWA mshiriki wa Miss World 2014 kutoka Tanzania, Happiness Watimanywa, amerudisha fadhila kwa Watanzania.Pamoja ya kwamba Happiness hakubahatika kuwemo kwenye 10 bora ya washiriki waliokuwa kwenye kinyang’anyiro hicho ambapo taji lilikwenda kwa Rolene Strauss wa Afrika Kusini, lakini alibahatika kushika namba mbili kwenye kipengele cha People’s Choice Awards kati ya washiriki 121 waliokuwa wakishiriki na namba moja ikatua kwa mshiriki wa Thailand, Maeya...

 

10 years ago

Habarileo

Rais Burundi awashukuru Watanzania

RAIS wa Burundi, Pierre Nkurunzinza, amewashukuru Watanzania wote kwa mchango wao mkubwa katika kuleta amani na utulivu katika nchi hiyo, akisisitiza kuwa hakuna nchi nyingine duniani imechangia amani kwa Burundi kama Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha;Taifa Stars awashukuru watanzania

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa amewashukuru watanzania walio sapoti katika mchezo dhidi ya Uganda.

 

10 years ago

GPL

WATIMANYWA AWASHUKURU WATANZANIA KWA KURA

Miss Tanzania 2013/14, Happiness Watimanywa akiwashukuru watanzabia kupitia kikao chake na waandishi wa Habari kilichofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Habari Maelezo Posta jijini Dar es Salaam. Miss namba mbili 2014/15 Jihan Dimack (kushoto), akiwa na Happiness Watimanywa wakati alipokuwa akiwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura katika Ukumbi wa Habari Maelezo Posta jijini Dar es Salaam.… ...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI NA WATANZANIA WOTE

Rais Dkt.Magufuli amewashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuitikia wito wa kumuomba mwenyezi Mungu aepushe Corona.
Ametoa shukrani hizo katika Misa takatifu kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imaculata Chamwino Dodoma


Akiwa Kanisani hapo, Rais Magufuli ameendesha harambee ya kuchangia upanuzi wa Kanisa hilo na kufanikiwa kuchangisha zaidi ya Tsh. Mil 17 ikiwemo Tsh. Mil 10 aliyochangia yeye mwenyewe na mifuko 76 ya saruji, ametaka upanuzi wa kanisa uanze kesho.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT MAGUFULI AWASHUKURU WATANZANIA KWA KULIOMBEA TAIFA

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli amewapongeza waislam wote nchini kwa kumaliza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani na anawashukuru kwa namna walivyoshiriki kuliombea Taifa hasa katika kipindi hiki cha kukabilia na ugonjwa wa COVID-19.

Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 24, 2020) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati akizungumza na waumini wa dini ya kiislam mara baada ya kumaliza kuswali sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. Pia Rais Dkt. Magufuli amewashukuru...

 

5 years ago

Michuzi

Rais Magufuli awashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuomba dhidi ya Corona

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza wakati alipokuwa akiendesha Harambee ya Papo kwa papo kwa ajili ya upanuzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Bikira Maria Imaculata Chamwino Ikulu mkoani Dodoma leo tarehe 7 Juni 2020. Katika Harambee hiyo jumla ya Shilingi Milioni 17 zilipatikana pamoja na mifuko 76 ya Saruji na Mhe. Rais Magufuli alichanga peke yake kiasi cha Shilingi Milioni 10.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani