RAIS DKT MAGUFULI AWASHUKURU WATANZANIA KWA KULIOMBEA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PwGX7BFrTek/XsrTY90r_yI/AAAAAAALrcI/LARPgY95aNUgSwnc2cRHmsCviyrkEKURgCLcBGAsYHQ/s72-c/62008664_908008829540519_65130529049018368_n.jpg)
RAIS Dkt. John Pombe Magufuli amewapongeza waislam wote nchini kwa kumaliza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani na anawashukuru kwa namna walivyoshiriki kuliombea Taifa hasa katika kipindi hiki cha kukabilia na ugonjwa wa COVID-19.
Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 24, 2020) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati akizungumza na waumini wa dini ya kiislam mara baada ya kumaliza kuswali sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. Pia Rais Dkt. Magufuli amewashukuru...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRfWR6A3A0/XspW20SQOKI/AAAAAAACLbg/BbwzfQ8ICO4iEPPkptGX3Ha6IsG25qhHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWAPONGEZA WAISLAM KWA KUMALIZA MFUNGO WA RAMADHANI, AWASHUKURU KWA KULIOMBEA TAIFA DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRfWR6A3A0/XspW20SQOKI/AAAAAAACLbg/BbwzfQ8ICO4iEPPkptGX3Ha6IsG25qhHgCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS Dk. John Magufuli amewapongeza Waislam wote nchini kwa kumaliza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku akiwashuru kwa namna walivyoshiriki kuliombea Taifa hasa katika kipindi hiki cha kukabilia na ugonjwa wa COVID-19.
Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 24, 2020) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati akizungumza na waumini wa dini ya kiislam mara baada ya kumaliza kuswali sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. Pia Rais Dkt. Magufuli...
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ALIHUTUBIA TAIFA KWENYE TAMASHA LA MKESHA WA KULIOMBEA TAIFA, JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ALIHUTUBIA TAIFA KWENYE TAMASHA LA MKESHA WA KULIOMBEA TAIFA,JIJINI DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KjSDqWp6vLo/Xtyb9ntNihI/AAAAAAALs4s/mc-_wjSDJ1s0QYW0HbTxi57ehiwm932KwCLcBGAsYHQ/s72-c/8.jpg)
Rais Magufuli awashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuomba dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-KjSDqWp6vLo/Xtyb9ntNihI/AAAAAAALs4s/mc-_wjSDJ1s0QYW0HbTxi57ehiwm932KwCLcBGAsYHQ/s640/8.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt....
10 years ago
Vijimambo02 Jan
Makamu wa Rais Dkt. Bilal alihutubia kwenye tamasha la mkesha wa kuliombea taifa
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_8405.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_8445.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jan
Makamu wa Rais Dkt. Bilal alihutubia kwenye tamasha la mkesha wa kuliombea taifa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na wananchi alipowasili Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jana usiku Disemba 31, 2014/2015 kwa ajili ya kuhudhuria Tamasha la mkesha wa Mwaka Mpya na Dua maalum ya kuliombea Taifa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia Taifa kwenye Tamasha la Mkesha wa mwaka mpya wa 2015 iliyofanyika Disemba 31, 2014/2015 usiku wa kuamkia mwaka mpya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_1ZVY5iB9CA/Xtyn5oDmW5I/AAAAAAAC6_s/Jy55OAPnHoob8JHXx3TiJ0S61jEoZ8d3ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI NA WATANZANIA WOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-_1ZVY5iB9CA/Xtyn5oDmW5I/AAAAAAAC6_s/Jy55OAPnHoob8JHXx3TiJ0S61jEoZ8d3ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Ametoa shukrani hizo katika Misa takatifu kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imaculata Chamwino Dodoma
Akiwa Kanisani hapo, Rais Magufuli ameendesha harambee ya kuchangia upanuzi wa Kanisa hilo na kufanikiwa kuchangisha zaidi ya Tsh. Mil 17 ikiwemo Tsh. Mil 10 aliyochangia yeye mwenyewe na mifuko 76 ya saruji, ametaka upanuzi wa kanisa uanze kesho.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kCfZzkJ2so/Xtyn5odtjtI/AAAAAAAC6_o/0yqx2kCtkTgsTx7DoO8yhOc0foS10qESgCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
5 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE KUZINDUA PROGRAMU YA KULIOMBEA TAIFA, RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-c2noU-I9vfI/Xkg7vaUqI5I/AAAAAAALdhE/0qFIZlywFj8ED4afuu0gAu9obtSaYKBpQCLcBGAsYHQ/s640/Kiongozi-Mkuu-wa-Huduma-ya-Sauti-ya-Uponyaji-Tanzania-Nabii-Joshua-Aram-Mwantyala-akikagua-Ukumbi-wa-Mwalimu-Nyerere-Chuo-cha-Mipango-Dodoma-kwa-ajili-ya-kongamano..jpg)
Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Joshua Aram Mwantyala akikagua Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Chuo cha Mipango Dodoma kwa ajili ya kongamano.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai kesho anatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Kuliombea Taifa ambayo inalenga kumshirikisha Mungu vipaumbele na sera zinazotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano ili matokeo chanya yazidi kuonekana kila sekta.
Uzinduzi huo utafanyika jijini Dodoma katika Chuo...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Rais Magufuli kuwa mgeni rasmi katika Mkesha Mkubwa wa Kitaifa wa kuliombea Taifa