RAIS DK. MAGUFULI AWAPONGEZA WAISLAM KWA KUMALIZA MFUNGO WA RAMADHANI, AWASHUKURU KWA KULIOMBEA TAIFA DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRfWR6A3A0/XspW20SQOKI/AAAAAAACLbg/BbwzfQ8ICO4iEPPkptGX3Ha6IsG25qhHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
DODOMA, Tanzania
RAIS Dk. John Magufuli amewapongeza Waislam wote nchini kwa kumaliza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku akiwashuru kwa namna walivyoshiriki kuliombea Taifa hasa katika kipindi hiki cha kukabilia na ugonjwa wa COVID-19.
Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 24, 2020) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati akizungumza na waumini wa dini ya kiislam mara baada ya kumaliza kuswali sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. Pia Rais Dkt. Magufuli...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PwGX7BFrTek/XsrTY90r_yI/AAAAAAALrcI/LARPgY95aNUgSwnc2cRHmsCviyrkEKURgCLcBGAsYHQ/s72-c/62008664_908008829540519_65130529049018368_n.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AWASHUKURU WATANZANIA KWA KULIOMBEA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PwGX7BFrTek/XsrTY90r_yI/AAAAAAALrcI/LARPgY95aNUgSwnc2cRHmsCviyrkEKURgCLcBGAsYHQ/s640/62008664_908008829540519_65130529049018368_n.jpg)
Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 24, 2020) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati akizungumza na waumini wa dini ya kiislam mara baada ya kumaliza kuswali sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. Pia Rais Dkt. Magufuli amewashukuru...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KjSDqWp6vLo/Xtyb9ntNihI/AAAAAAALs4s/mc-_wjSDJ1s0QYW0HbTxi57ehiwm932KwCLcBGAsYHQ/s72-c/8.jpg)
Rais Magufuli awashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuomba dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-KjSDqWp6vLo/Xtyb9ntNihI/AAAAAAALs4s/mc-_wjSDJ1s0QYW0HbTxi57ehiwm932KwCLcBGAsYHQ/s640/8.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NEF6FsL7N-E/XuHkzT2PzdI/AAAAAAACM8c/o5_ZJl4bCm8yS81uRG3E1gG4SMA0J6bNgCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpeg)
KAMATI KUU YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI KWA UMAHIRI ALIOTUMIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA, YARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-NEF6FsL7N-E/XuHkzT2PzdI/AAAAAAACM8c/o5_ZJl4bCm8yS81uRG3E1gG4SMA0J6bNgCLcBGAsYHQ/s400/5.jpeg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imempongeza Rais Dk. John Magufuli kwa Uongozi imara, msimamo thabiti na usioyumba katika kipindi chote cha mapambano dhidi ya ugonjwa wa Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19.
Pongezi hizo zimetolewa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, katika kikao chake kilichofanyika jana katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli.
Pamoja na pongezi hizo Kamati...
5 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE KUZINDUA PROGRAMU YA KULIOMBEA TAIFA, RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-c2noU-I9vfI/Xkg7vaUqI5I/AAAAAAALdhE/0qFIZlywFj8ED4afuu0gAu9obtSaYKBpQCLcBGAsYHQ/s640/Kiongozi-Mkuu-wa-Huduma-ya-Sauti-ya-Uponyaji-Tanzania-Nabii-Joshua-Aram-Mwantyala-akikagua-Ukumbi-wa-Mwalimu-Nyerere-Chuo-cha-Mipango-Dodoma-kwa-ajili-ya-kongamano..jpg)
Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Joshua Aram Mwantyala akikagua Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Chuo cha Mipango Dodoma kwa ajili ya kongamano.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai kesho anatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Kuliombea Taifa ambayo inalenga kumshirikisha Mungu vipaumbele na sera zinazotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano ili matokeo chanya yazidi kuonekana kila sekta.
Uzinduzi huo utafanyika jijini Dodoma katika Chuo...
5 years ago
MichuziWAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA JINSI ANAVYOLIONGOZA VEMA TAIFA, AGUSIA CORONA , MAFURIKO
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango ametoa pongezi za dhati kwa Rais Dk.John Magufuli kwa jinsi alivyoendelea kuliongoza vema Taifa letu huku akifafanua kwa kipindi cha miaka minne na nusu ya utawala wake tumeshuhudia kuimarika kwa uchumi , mfumuko wa bei umethibitiwa na miradi mikubwa ya maendeleo imetekelezwa.
Pia amesema wajibu katika utumishi wa umma umeimarika na kero za wananchi wanyonge zimetatuliwa, hivyo kwa kipekee kumuamini kuongoza Wizara ya...
5 years ago
MichuziWAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA JINSI ANAVYOLIONGOZA VEMA TAIFA, AGUSIA CORONA , MAFURUKO
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango ametoa pongezi za dhati kwa Rais Dk.John Magufuli kwa jinsi alivyoedelea kuliongoza vema Taifa letu huku akifafanua kwa kipindi cha miaka minne na nusu ya utawala wake tumeshuhudia kuimarika kwa uchumi , mfumumo wa bei umethibitiwa na miradi mikubwa ya maendeleo imetekelezwa.
Pia amesema wajibu wa katika utumishi wa umma umeimarika na kero za wananchi wanyonge zimetatuliwa, hivyo kwa kipekee kumuamini kuongoza Wizara ya...
5 years ago
MichuziTAASISI YA HAKI FURSA YAMUOMBA SPIKA WA BUNGE KUANDAA TUZO MAALUM KWA AJILI YA KUTAMBUA MCHANGO WA RAIS DK.MAGUFULI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Ofisa Mipango wa Taasisi ya Haki Fursa Kwagilwa Reuben (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi habari leo Mei 27 , 2020 jijini Dar es Salaam kuhusu umuhimu wa Rais Dk.John Magufuli kupewa tuzo maalumu ya kutambua na kuthamini mchango wake katika kupambana na janga la Corona nchini.Kushoto ni Katibu Mtendaji wa taasisi hiyo Ntimi Charles na kulia ni Ofisa Ustawi wa Jamii wa taasisi hiyo Lwitiko Mwakikuti.
Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Haki Fursa Ntimi Charles (katikati) akisikiliza kwa...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Rais Magufuli kuwa mgeni rasmi katika Mkesha Mkubwa wa Kitaifa wa kuliombea Taifa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI YA AMANI KWA WAISLAMU TANZANIA YAMPONGEZA RAIS MAGUFULI MAPAMBANO DHIDI YA CORON, YATOA RAI KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI ya Amani kwa Waislamu Tanzania (TIPF) kupitia Mwenyekiti wake Sadiki Godigodi imeipongeza hotuba ya Rais Dk. John Magufuli ambayo ameitoa siku za karibuni kuhusu hali halisi ya janga la ugonjwa wa Covid-19 nchini.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo ni kwamba hotuba ya Rais Magufuli imejaa matumaini hususn katika matumizi ya dawa za kujifukiza huku akiwataka wataalamu wa kitaifa na kimataifa kuhakikisha wanafanyia kazi dawa hizo za asili zilizoonesha matumaini...