Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mamake Beyoncé Knowles,Tina 61, aolewa

Mamake Beyonce Knowles,Tina 61,ameolewa kwa mara ya pili kwa mchumba wake Richard Lawson.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

One Africa: Enos Olik wa Kenya aongoza video ya Butera Knowles wa Rwanda aliyemshirikisha Roberto wa Zambia

12145346_998184826935184_1820880905_n

Kiwanda cha muziki cha Afrika kinazidi kuungana pamoja.

12145346_998184826935184_1820880905_n
Kuanzia Kushoto: Butera Knowles, Enos Olik na Roberto

Miaka ya hivi karibuni wasanii wa Afrika wamekuwa wakishirikiana kwenye nyimbo zao za hivyo kuzidi kuusogeza karibu zaidi muziki wa bara hili.

Baada ya kutoka kuongoza video ya wimbo wa Christian Bella na Alikiba ‘Nagharamia’ iliyofanyika nchini Afrika Kusini, Enos Olik ameongoza tena video ya collabo ya wasanii wa Afrika.

1941275_1656963451187936_1818602726_n
Butera na Roberto walipokuwa wakielekea Nairobi kushoot...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka 2 amuokoa mamake

Mtoto mwenye umri wa miaka 2 pekee amepokea sifa kedekede kwa kuokoa maisha ya mamake kwa kuwapigia simu wahudumu wa afya baada ya mamake kuzimia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa Simba amlilia mamake

Mtoto wa simba aliwaongoza askari wa kulinda wanyama kwenda ulipo mwili wa mama yake ambaye alikuwa ameuawa mbugani India

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Fraga — Dada tina

Wimbo mpya kutoka kwa Producer na pia msanii Fraga ngoma inaitwa “Dada tina” Studio Uprise Music Producer Fraga

 

10 years ago

Bongo5

New Music Video: Beyoncé — 7/11

Alitusurprise kwa kuachia album mpya yenye jina lake mwaka jana, na sasa Beyonce amefanya tena kwa kuachia video ya ngoma yake ‘7/11′ bila hata kutoa taarifa na tayari imekuwa gumzo. Jionee mwenye video hiyo hapo juu.

 

9 years ago

TheCitizen

TINA BELLON : Are refugees a burden or blessing?

While many European countries say asylum seekers could damage their economies if they let in too many, Germany is counting on the record numbers pouring across its borders to save its own.

 

9 years ago

Vijimambo

WIMBO MPYA WA TINA BEIBE-ASUMBA

Tina Christina Mghazo a.k.a ‘Tina Beibe’ni msanii wa kike ambaye anaishi Moshi, Tanzania, anaumri wa miaka 25. Tina ameachia Track yake mpya ambayo inaitwa ‘Asumba’ Feat. King Syrus Produced by King Cyrus Sound Production Moshi. Kwa sasa yupo chini ya management ya Baba yake ambaye anaitwa Nashipai, Hivyo basi Tina wakati akikabidhi kazi yake alifunguka kidogo na kueleza kuwa;

“Muziki wa bongo fleva kwa sasa unamuelekeo mzuri na malengo yangu hapo baadae ni kuhakikisha nafungua Bandi yangu coz...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afariki baada ya kukanyagwa na gari la mamake

Mtoto mwenye umri wa miaka sita amefariki baada ya kukanywagwa na gari la mamake aliyekuwa analiegesha mjini London

 

10 years ago

BBCSwahili

icc yamzuia Gbabo kumzika mamake

Majaji katika mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai na uhalifu wa kivita huko The Hague,yamzuia Gbabo kumzika mamake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani