WIMBO MPYA WA TINA BEIBE-ASUMBA
Tina Christina Mghazo a.k.a ‘Tina Beibe’ni msanii wa kike ambaye anaishi Moshi, Tanzania, anaumri wa miaka 25. Tina ameachia Track yake mpya ambayo inaitwa ‘Asumba’ Feat. King Syrus Produced by King Cyrus Sound Production Moshi. Kwa sasa yupo chini ya management ya Baba yake ambaye anaitwa Nashipai, Hivyo basi Tina wakati akikabidhi kazi yake alifunguka kidogo na kueleza kuwa;
“Muziki wa bongo fleva kwa sasa unamuelekeo mzuri na malengo yangu hapo baadae ni kuhakikisha nafungua Bandi yangu coz...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo524 Nov
Navy Kenzo wazungumzia album mpya, ‘Niroge na wimbo mpya ‘Moyoni’
10 years ago
Vijimambo30 Nov
11 years ago
Dewji Blog27 Jun
Skylight Band wazindua wimbo wao mpya kwa kishindo, leo ndani ya Thai Village hapatoshi njoo ucheze na kufurahi na staili mpya kibaoo!!
Divas wa Skyligth Band toka kushoto Aneth Kushab,Mary Lukos(katikati) na Digna Mpera(kulia)wakilianzisha Taratibuuu Ijumaa Iliyopita huku wakipendeza na kivazi chao cha asili ya Kitanzania
Diva wa Skylight Band Mary Lukos akilitiririsha Vocal kaliiiiii
Diva wa Skylight Band Digna Mpera akilisogeshaaaa taratibuuuuuuuu
Meneja mwenyeweee Aneth Kushaba kwa raha zakeeeee Akiiimba kwa furaha kabisa ndani ya Kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita,ambayo ilikuwa ni uzinduzi Rasmi wa Wimbo wao...
11 years ago
GPLSKYLIGHT BAND WAZINDUA WIMBO WAO MPYA KWA KISHINDO,LEO NDANI YA THAI VILLAGE HAPATOSHI NJOO UCHEZE NA KUFURAHI NA STAILI MPYA KIBAOO!!
11 years ago
Bongo512 Aug
Picha/Audio: Utengenezaji wa video mpya ‘Mr. Oreo’ ya Iyanya, Marekani na sikiliza wimbo wake mpya ‘Story story’
10 years ago
GPL01 Jan
10 years ago
Vijimambo17 Feb
9 years ago
Vijimambo22 Sep
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Wangechi kuachia wimbo mpya na Ne-Yo
NAIROBI, KENYA
MSANII wa muziki nchini Kenya, Wangechi Mutu, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao amefanya na mkali wa RnB kutoka nchini Marekani, Ne-Yo.
Wimbo huo uliandaliwa tangu Agosti mwaka huu, hivyo unatarajiwa kuachiwa mwishoni mwa wiki hii huku jina likitarajiwa kutajwa wakati wa utambulisho wa wimbo huo.
“Wimbo ulikuwa tayari muda mrefu, lakini mambo hayakuwa sawa, ila kwa sasa kila kitu kimekamilika na hii ni wiki ya kuachia ngoma hiyo, jina la wimbo litajulikana wakati wa...