WIMBO MPYA WA ANNABEL FT BARNABA
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo17 Oct
WIMBO MPYA WA ANNABEL-JITOKEZE
Kuelekeza watu jinsi ya kuupata wimbo wanaweza kudowload
https://mkito.com/song/jitokeze/16804
Lakini nimekutumia wimbo mzima usikilize...
9 years ago
Bongo528 Sep
Music: Annabel Ft. Barnaba — Unanionea
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6RqdPVOHWUc/VgYVgTzF9fI/AAAAAAAH7NY/BAO38b_lnPM/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
introducing "UNANIONEA" - Annabel ft Barnaba
![](http://4.bp.blogspot.com/-6RqdPVOHWUc/VgYVgTzF9fI/AAAAAAAH7NY/BAO38b_lnPM/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 May
Download na Sikiliza wimbo mpya msanii Wiz Tayson Ft Barnaba — Sijutii
Barnaba ameingia katika list ya wasanii wakubwa walioshiriki katika kazi za wasanii wengine na ndiye msanii anayeongoza kusaidia wasanii wanaochipukia katika muziki wa Bongo Fleva kwa mwaka 2015.
Safari hii Barnaba anasikika kwenye kiitikio cha wimbo mpya kabisa wa Hip Hop alioshirikiswa na Wiz Tayson kutoka Maskan ya B.O.B Click.
Wiz Tayson wimbo wake mpya huu ameupatia jina la SIJUTII alioufanyia katika studio za Kir record chini ya muandaaji Rash Don.
Sijutii Wiz anazungumzia maisha ya...
9 years ago
Bongo509 Nov
Barnaba: Video ya wimbo wangu na Jose Chameleone itachelewa kwasababu ninauogopa wimbo
![Barnaba c](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Barnaba-c-300x194.jpg)
Wimbo mpya wa Barnaba Classic aliomshirikisha staa wa Uganda, Jose Chameleone ndio collabo ya kwanza ya kimataifa kwa Barnaba.
Barnaba ambaye anauachia wimbo huo ‘Nakutunza’ leo November 9, amesema kuwa video ya wimbo huo itachelewa kutokana na kwamba yeye binafsi anauogopa wimbo huo, akimaanisha ni wimbo mkubwa hivyo anaogopa kukosea.
“Video yangu imechelewa kwasababu wimbo huu ndio collabo yangu ya kwanza inayonipeleka International na ndio collabo yangu kubwa” alisema Barnaba kupitia...
9 years ago
Bongo521 Oct
Barnaba arekodi wimbo na Jose Chameleone
9 years ago
Bongo530 Oct
Music: Barnaba aonjesha wimbo wake na Jose Chameleone ‘Nakutunza’ utakaotoka Nov.5
11 years ago
Michuzi27 Feb
Video: Mr. Blue, Dyna, Barnaba Boy na Amini warekodi wimbo wa kampeni ya dereva makini 2014
Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Barnaba Boy na Dyna Nyange wameshiriki kurekodi wimbo wao utakaotumika kwenye kampeni ya dereva makini inayolenga kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri.
Wimbo huo umerekodiwa na...